Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 17, 2021: Kesi yaahirishwa mpaka tarehe 18/11/2021 saa tatu asubuhi

Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 17, 2021: Kesi yaahirishwa mpaka tarehe 18/11/2021 saa tatu asubuhi

Na kwasababu alishatoa tamko jaji kwamba shahidi haitaji ruhusa kuingia na diary kizimbani basi itatafsirika kua hizo content hazina madhara kwenye hii kesi

Ikumbukwe kwamba jaji anakubali kua shahidi kafanya violation ila violation hiyo kaona haina madhara kisheria
Mkuu endelea kutupa updates
 
Na kwasababu alishatoa tamko jaji kwamba shahidi haitaji ruhusa kuingia na diary kizimbani basi itatafsirika kua hizo content hazina madhara kwenye hii kesi

Ikumbukwe kwamba jaji anakubali kua shahidi kafanya violation ila violation hiyo kaona haina madhara kisheria
Hapo kuna utata na jaji anatuchanganya tu.

Sasa aingie na diary kizimbani bila kuitumia? Yani kama urembo?

Kama wakiikaguwa na kukuta ameitumia akiwa kizimbani, basi ina maana hakuomba ruhusa kuitumia. Lakini nina wasiwasi sana na huyu jaji. Yeye aliichukuwa hiyo diary na kubaki nayo kwa siku tano huku akipiga kesi danadana tu. Kuna uwezekano wanaichakachua diary ili kuwa favor upande wa mashitaka.
 
Mkuu endelea kutupa updates
Jaji kaisha kataa pingamizi la kina kibatala japo amekiri kua shahidi kafanya violation

Na sasa anataka pande mbili za mawakili wajiridhishe kwa kuangalia ile diary, lakini hii haitakua na msaada wowote kwa upande wa utetezi kwasababu jaji ametafsiri sheria kua shahidi anaweza kuingia na diary kizimbani bila ruhusa ila atapohitaji kufanya marejeo ndio atahitaji ruhusa ya mahakama
 
Hapo kuna utata na jaji anatuchanganya tu.

Sasa aingie na diary kizimbani bila kuitumia? Yani kama urembo?

Kama wakiikaguwa na kukuta ameitumia akiwa kizimbani, basi ina maana hakuomba ruhusa kuitumia. Lakini nina wasiwasi sana na huyu jaji. Yeye aliichukuwa hiyo diary na kubaki nayo kwa siku tano huku akipiga kesi danadana tu. Kuna uwezekano wanaichakachua diary ili kuwa favor upande wa mashitaka.
Kwanza watakua na hakika gani kwamba ile diary aliyokutwa nayo siku tano nyuma ndio hiyo ambayo imeletwa leo mahakamani?

Kumbuka mahakama hii shahidi alikutwa na nyaraka ambayo kimsingi inatunzwa na mahakama, kibali ambacho endapo kitahitajika basi itabidi kibali maalumu lazima kitolewe huku pande zote mbili za watuhumiwa na utetezi zikishuhudia.

Lakini shahidi alikutwa na hiyo nyaraka ambayo haikupitia sheria kuja mikononi mwake, hapo inatupa tafsiri kua hata hiyo diary kuna mengi maovu ambayo yamefanyika ili kuficha ukweli. Hatuna imani kabisa na huyu jaji
 
Jaji kaisha kataa pingamizi la kina kibatala japo amekiri kua shahidi kafanya violation

Na sasa anataka pande mbili za mawakili wajiridhishe kwa kuangalia ile diary, lakini hii haitakua na msaada wowote kwa upande wa utetezi kwasababu jaji ametafsiri sheria kua shahidi anaweza kuingia na diary kizimbani bila ruhusa ila atapohitaji kufanya marejeo ndio atahitaji ruhusa ya mahakama
Mawakili wa utetezi wamekubali kuikagua hiyo diary ama wamegoma
 
Kwanza watakua na hakika gani kwamba ile diary aliyokutwa nayo siku tano nyuma ndio hiyo ambayo imeletwa leo mahakamani?

Kumbuka mahakama hii shahidi alikutwa na nyaraka ambayo kimsingi inatunzwa na mahakama, kibali ambacho endapo kitahitajika basi itabidi kibali maalumu lazima kitolewe huku pande zote mbili za watuhumiwa na utetezi zikishuhudia.

Lakini shahidi alikutwa na hiyo nyaraka ambayo haikupitia sheria kuja mikononi mwake, hapo inatupa tafsiri kua hata hiyo diary kuna mengi maovu ambayo yamefanyika ili kuficha ukweli. Hatuna imani kabisa na huyu jaji

Hicho kitendo sio tu kimemvua nguo jaji, kimeinajisi mahakama. Hadi hapo unauhakika gani kama vielelezo vinavyoshikiliwa na mahakama havikarabatiwi kuendana na mwenendo wa kesi kuwapendelea upande wa mashtaka?
 
Soma mwenye hapa:

Screenshot_20211117-113640_Twitter.jpg
 
Ku refresh ni lazima kupata ruhusa toka kwa jaji/hakimu hapa Kuna sarakasi Fulani zinapigwa
 
Back
Top Bottom