Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 18, 2021. Kesi imeahirishwa hadi Novemba 22, 2021

Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 18, 2021. Kesi imeahirishwa hadi Novemba 22, 2021

Mbowe na genge lake wanapaswa wawe na nidhamu ya kuheshimu Mahakama.

Kama wataendelea kuleta mchezo wa kitoto wa kuichafua mahakama kwa kuleta Sarakasi zisizo na kichwa wala miguu watajiweka pabaya sana.

Jaji wa kwanza walimchafua na kumkataa.

Jaji wa pili alijitoa kwa sababu ya majukumu lkn walimchafua na kumkejeli.

Sasa Jaji huyu watatu naye wameanza kumchafua na kumkejeli.

Wanacho kifanya mawakili na wafuasi w mboe ni kutaka kuivuruga mahakama au kuishinikiza ifanye maamuzi kama wanavyo taka wao na sio vinginevyo.

Mahakama haipaswi kuingia ktk mtego huo wanao ufanya hao watuhumiwa na wafuasi wao.
Haki itendeke na ionekane ikitendeka.Najaribu kuwaza endapo na Lissu angekuwa hapo na akina Kibatala.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Cremia, Iboya, comte, nyie nyote ni sehemu ya timu bambikizi, pengine miongoni mwa wapiga chabo 24.
Siasi zilivyo za ajabu unawezakuta hawa ni Watu wa karibu sana na Mbowe au ukute ni MDEE na MNYIKA. Ukiangalia jinsi Iboya anavyochangia mijadala muda wote inawezekana akawa ni LEMA anam SNITCH jamaa
 
Yaani haviishi! Matokeo yake, jamaa wanasota ndani bila sababu ya msingi. Wangekuwa WAMEDHAMINIKA, ingekuwa nafuu!

Sijui aliyebuni issue hii anajisikiaje, anapoona wenzie wanateseka kwa UBUNIFU wake!
Bebe nang'we nkoi, iiiiiihh...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mambo yanazidi kuwa magumu kwenye kesi hii - tutashuhudia mengi.
FUSO, lakini mimi naona Jamhuri kwa ushirikiano na jaji ndio wanayafanya mambo yazidi kuwa magumu. Bahati mbaya yanakuwa magumu kwa upande wao wenyewe. Wanajichanganya sana. Pingamizi likiwekwa leo kesho uamuzi unasema halina mashiko siku ya tatu kitu hicho hicho upande wa utetezi wakikitumia Jaji na Jamhuri wanasema wanakikataa. Kwahiyo wanabaki kujichanganya tu hadi jaji anashindwa kutoa ruling kwa kitu chepesi kama kukutwa na nyaraka ambayo utaratibu haujafuatwa kupanda nacho kizimbani.
 
Mbowe na genge lake wanapaswa wawe na nidhamu ya kuheshimu Mahakama.

Kama wataendelea kuleta mchezo wa kitoto wa kuichafua mahakama kwa kuleta Sarakasi zisizo na kichwa wala miguu watajiweka pabaya sana.

Jaji wa kwanza walimchafua na kumkataa.

Jaji wa pili alijitoa kwa sababu ya majukumu lkn walimchafua na kumkejeli.

Sasa Jaji huyu watatu naye wameanza kumchafua na kumkejeli.

Wanacho kifanya mawakili na wafuasi w mboe ni kutaka kuivuruga mahakama au kuishinikiza ifanye maamuzi kama wanavyo taka wao na sio vinginevyo.

Mahakama haipaswi kuingia ktk mtego huo wanao ufanya hao watuhumiwa na wafuasi wao.
Dogo, hata Kama una shida na hiyo buku Saba basi jitahidi kuficha upumbavu wako kwenye mvungu wa mwili wako! Unajichoresha mno kwenye haya mambo ya mahakama na ni Bora usome TU na kupita kwani hutachekwa!
Hii kesi ni darasa tosha lenye majibu ya mtihani na watahiniwa wakapepea na A+ hasa wale wa masters ya llb hivyo usiwavuruge wenye kusoma nondo za mawakili wasomi! Hata huyo jaji wa Sasa ameingizwa darasani na anazinyatia nondo za kina Mtobesya na Kibatala! Wewe pita kuleeeee!!!!!!!!!!
 
Bora yeye mwizi kuliko wewe mbakaji
255700647_1311325942717254_7172539134059229450_n.jpg
 
Wameshasoma mchezo ushahidi wote ukipokelewa dikiteta hachomoki,dawa ni kuweka pingamizi ushahidi ukipokelewa.

Kwa mapingamizi haya kesi inaweza chukua mwaka mzima.
Hujui lolote ungekaa kimya unhesaidia kuficha ujinga wako. Kupinga kupolelewa Kwa vielelezo feki ni wajibu wa Utetezi. Kwa ukosefu wa akili ulionao unajiona umetoa point ya maana?
 
Wewe utakua uko kazini ili kuvuruga public opinion au naturally a fool

Hujui impact ya hi kesi kwa taifa hili, inaweza kusabaratisha serikali kabisa, au kufanya chama tawala kutawanyika au Amani ya nchi kupotea kabisa the earlier the better kwa vyovyote hi kesi imelizike haraka iwezekanavyo.
Shemeji yake ni diwani wa CCM, Kwa hiyo anatetea maslahi ya Dada yake wala hajui lolote.
 
Functus officio is a Latin maxim which means that the jurisdiction of the designated authority comes to an end once he has performed his functions for which he was appointed. Once the award is delivered to the parties, the arbitral tribunal cannot review their own award and becomes functus officio.

Kwa muktadha wa kesi hii mawakili wa utetezi wanasema kidhibiti kinachotakiwa kuwa- kilishwa mahakamni hakiwezi kupokelewa kwa sababu kilisha tumika kwenye kesi ndogo na mahakama kukitolea uamuzi na kwa kufanya hivyo imejifunga.

Upande wa serikali wanasema kielelezo hicho kilitumika kwenye kesi ndogo ndani ya kesi kubwa- hivyo mlango wa kutumiwa tena upo na hiyo FUNCTUS OFFICIO hajafikiwa kwa hiyo haiwezi kuwabana wao wala mahakama
Una kisu kama kielelezo kwenye kesi ya mauaji, unaleta Shahidi wa Kwanza ku tender kielelezo hicho upande wa Utetezi unapinga upatikanaji wake Hadi kufikia kuletwa mahakamani. Unaleta Shahidi wa pili unamtaka Ku tender kielelezo kilekile ambacho Mahakama awali ilisema hakikufika mahakamani kihalali, hiyo ndo hoja ya Utetezi. Ni mtego Kwa Mahakama maana wakiruhusu wataonekana lile pingamizi la juzi walilipokea wakijua mbele wataruhusu Shahidi mwingine kuingiza kielelezo hichohicho.
 
Back
Top Bottom