Bepari la Kinyambo
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 852
- 1,081
Akili zako zimejaa mavYeye anasema aliambiwa atafute vijana.
Anasema alishindwa kukataa kwa sababu za kiusalama.
Anasema hata Kama angemkatalia mbowe kumtafutia vijana mbowe angeweza kuwatafuta wengine.
Kwa hyo kamanda anasema angekuwa hajasaidia kuilinda nchi.
Kwa hyo alikubali ili kumuwekea mtego mbowe
Akili zako zimejaa mav
Hahahaha simu zote wanazo mbowe alirekodiwa subilia mvua za kutoshaBasi kama Mbowe hakutaka mazungumzo ya simu, Urio kama alivyojinasibu kuwa ni mwelevu alitakiwa kutafuta namana yoyote ya kuwa na ushahidi kwani anaonesha kuwa alikuwa na nia kwenda kumtaarifu DCI.
Litakuwa ni jambo la ajabu Sana na aibu kubwa kama DCI alipokea mashtaka haya akayafanyia kazi akiwa hana viambata toshelevu vya ushahidi.
Kiapo chake unakijua, au unaropokwa tu? Amekwambia hakuaga kazini kwake? Kiwango cha hatari husika unakifahamu? What if aliona mahali pekee pa kupeleka suala lake likashughulikiwa haraka na kikamilifu ni kwa DCI?Naungana na wewe kumtaka DCI ajiuzulu. Haiwezekani suala la kuhatarisha Usalama wa nchi liachwe mikononi mwa Askari mmoja tena Asiyeweza hata kujeshimu wakubwa zake jeshini. Yaani Mwalimu wa darasa apate Taarifa mwanafunzi wa kike darasani kwake ana mimba, aache kumwambia Kwanza Mwalimu Mkuu aende akamwambie Bwanashamba? Afisa wa JW unapata Taarifa ya kuteteresha Usalama wa nchi unakimbilia Polisi Dar bila hata kumuaga mkubwa wako wa kazi?
Shahidi alinichanganya aliposema alitumiwa kwenye cm tshs 500,000/= alipoenda kuitoa akapewa cash tshs 499,000/=.
Kuwa makato yalikuwa tshs buku pekee. Hayo makato siyo hapa bongo,au labda kwa vile ni cm ya luten komandoo
Hii ni pointi kubwa sana inayomlinda Luteni Urio!Yeye anasema aliambiwa atafute vijana.
Anasema alishindwa kukataa kwa sababu za kiusalama.
Anasema hata Kama angemkatalia mbowe kumtafutia vijana mbowe angeweza kuwatafuta wengine.
Kwa hyo kamanda anasema angekuwa hajasaidia kuilinda nchi.
Kwa hyo alikubali ili kumuwekea mtego mbowe
Yeye anasema aliambiwa atafute vijana.
Anasema alishindwa kukataa kwa sababu za kiusalama.
Anasema hata Kama angemkatalia mbowe kumtafutia vijana mbowe angeweza kuwatafuta wengine.
Kwa hyo kamanda anasema angekuwa hajasaidia kuilinda nchi.
Kwa hyo alikubali ili kumuwekea mtego mbowe
Kwahyo Denis urio aliwatafuta kina bwire Ili awakamatishe kwa polis kabla hawajalipua vituo vya mafutaπ€π€π€
Mbona haimake sense yn umewatafuta watu kwa ajil ya Kaz flan lkn kabla ya hyo Kaz ukawakamatisha kwa polis na wakat polis pia wanajua hao watu umewatafuta ww
Kwnn wasisubir barabaran wakiwa wanakata magogo ndo wawakamate
Bc Kwa maana hyo kina bwire hawana hatia maana walitumika kama chambo si ndio???JIBU LAKO HAPA JUU
Yaani nikwambie tu Mimi Sheria nimeisoma siyo kwamba natokea jalalani. Awali nilijua Urio atakuwa na Jambo la maana, lakini tangu Goodluck atoe ushahidi wa majumuisho nilifuta uwezekano huo.Mbona leo makasiriko ni mengi hivi?
Comte Kibatala angeomba huruma kwa lipi?Mkuu Urio anaunga mkono ushahidi wa mtaalam wa mawasiliano na ule wa Kaaya. KESI IMESIHA HAPO. Ingekuwa Ulaya au USA Mh. Kibatala angetupa taulo mahakamani na kuomba huruma ya mahakama
Nani mwenye hatia hapo?Bc Kwa maana hyo kina bwire hawana hatia maana walitumika kama chambo si ndio???
Sawa tunasubiri.Hahahaha simu zote wanazo mbowe alirekodiwa subilia mvua za kutosha
USSR
Inategemea na jibu lao watakapoulizwa: ^Hivi mngemweka Mstaafu Ole Sabaya ndani ya 18 zenu, mngemla kichwa au mngetunza kiapo chenu cha jeshi?^Bc Kwa maana hyo kina bwire hawana hatia maana walitumika kama chambo si ndio???
Soma na ueleweYule m2 wa IT alisema alitrack sms za urio na mbowe kwa namba zao,leo Shahid anasema walikua wanachat telegram sehem ambayo huwez kutrack chcht
Hawa jamaa wamechanganyikiwa maana mteremko walioutegemea leo, ghafla umekuwa mpando mkali. Hawawezi kureason tena. Unawatesa bure na maswali!Uenda alikuwa na vichenji chenji kwenye simu.
Unataka kusema hakuwa na hela nyingine kwenye simu yake?
Huyu shahidi huenda ana aiba ya mwendawazimu wa namna fulani.Ni kama vile unavyowekewa mtego wa rushwa ili mtandao mzima upatikane!