Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
Huu upuuzi kila shahidi anayekuja anauzungumzia halafu hakuna evidence yoyote.
"Watu wa kukata miti pembezoni mwa barabara ya Mikoa ya Dar es Salaam, Mbeya, Arusha, Mwanza, Kilimanjaro hasa Mji wa Moshi na Barabara Kuu ya Morogoro - Iringa,kuchoma vituo vya mafuta mijini na masokoni na kwenye mikusanyiko ya watu na kudhuru viongozi wa serikali."
Watu wa kufanya Hii kazi mbona ni zaidi 1,000 huyu afisa ndio aitwe na Mbowe kufanikisha hawa watu?halafu mbona kazi yenyewe haihitaji makomandoo sasa?kukata miti?Hii kazi mbona hata Red Brigade wangeweza kama kweli ndio ilikuwa lengo.
Hapa anasema hakuambiwa hata idadi,mtu aliyepanga kufanya nchi isitawalike hajui anahitaji wanajeshi wangapi?
Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi Tuambie, yeye alikwambia anataka Wangapi
Shahidi: Hakuna Kikomo cha Watu, Ni wale Watakaopatikana.
Nasubiri maswali ya Kibatala aisee
"Watu wa kukata miti pembezoni mwa barabara ya Mikoa ya Dar es Salaam, Mbeya, Arusha, Mwanza, Kilimanjaro hasa Mji wa Moshi na Barabara Kuu ya Morogoro - Iringa,kuchoma vituo vya mafuta mijini na masokoni na kwenye mikusanyiko ya watu na kudhuru viongozi wa serikali."
Watu wa kufanya Hii kazi mbona ni zaidi 1,000 huyu afisa ndio aitwe na Mbowe kufanikisha hawa watu?halafu mbona kazi yenyewe haihitaji makomandoo sasa?kukata miti?Hii kazi mbona hata Red Brigade wangeweza kama kweli ndio ilikuwa lengo.
Hapa anasema hakuambiwa hata idadi,mtu aliyepanga kufanya nchi isitawalike hajui anahitaji wanajeshi wangapi?
Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi Tuambie, yeye alikwambia anataka Wangapi
Shahidi: Hakuna Kikomo cha Watu, Ni wale Watakaopatikana.
Nasubiri maswali ya Kibatala aisee