Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe 26 Jan 2022. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi wake

Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe 26 Jan 2022. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi wake

Huu upuuzi kila shahidi anayekuja anauzungumzia halafu hakuna evidence yoyote.

"Watu wa kukata miti pembezoni mwa barabara ya Mikoa ya Dar es Salaam, Mbeya, Arusha, Mwanza, Kilimanjaro hasa Mji wa Moshi na Barabara Kuu ya Morogoro - Iringa,kuchoma vituo vya mafuta mijini na masokoni na kwenye mikusanyiko ya watu na kudhuru viongozi wa serikali."

Watu wa kufanya Hii kazi mbona ni zaidi 1,000 huyu afisa ndio aitwe na Mbowe kufanikisha hawa watu?halafu mbona kazi yenyewe haihitaji makomandoo sasa?kukata miti?Hii kazi mbona hata Red Brigade wangeweza kama kweli ndio ilikuwa lengo.

Hapa anasema hakuambiwa hata idadi,mtu aliyepanga kufanya nchi isitawalike hajui anahitaji wanajeshi wangapi?

Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi Tuambie, yeye alikwambia anataka Wangapi

Shahidi: Hakuna Kikomo cha Watu, Ni wale Watakaopatikana.

Nasubiri maswali ya Kibatala aisee
 
Hakuna mahakama yoyote duniani inayoweza kuchukua maneno kama haya ya Urio kama yalivyo ukawa ushahidi iliojitosheleza maana,

1. Mpaka sasa maneno yake hayana muanganiko wa karibu na ushahidi wa wengine

2. Labda baadaye watuletee sauti za mazungumzo au utoshelevu mwingine juu ya ushahidi huu.
Mbowe- urio- adamo+wenzake
urio- dci- kingai+ wenzake
airtel, tigo
forensic
Kaaya- sabbaya- mbowe-sabaya
huoni huo muunganiko
 
Huu upuuzi kila shahidi anayekuja anauzungumzia halafu hakuna evidence yoyote.

"Watu wa kukata miti pembezoni mwa barabara ya Mikoa ya Dar es Salaam, Mbeya, Arusha, Mwanza, Kilimanjaro hasa Mji wa Moshi na Barabara Kuu ya Morogoro - Iringa,kuchoma vituo vya mafuta mijini na masokoni na kwenye mikusanyiko ya watu na kudhuru viongozi wa serikali."

Watu wa kufanya Hii kazi mbona ni zaidi 1,000 huyu afisa ndio aitwe na Mbowe kufanikisha hawa watu?halafu mbona kazi yenyewe haihitaji makomandoo sasa?kukata miti?Hii kazi mbona hata Red Brigade wangeweza kama kweli ndio ilikuwa lengo.

Hapa anasema hakuambiwa hata idadi,mtu aliyepanga kufanya nchi isitawalike hajui anahitaji wanajeshi wangapi?

Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi Tuambie, yeye alikwambia anataka Wangapi

Shahidi: Hakuna Kikomo cha Watu, Ni wale Watakaopatikana.

Nasubiri maswali ya Kibatala aisee
evidence ni nini?
 
Yaani huu ushahidi wa kitoto haswa. Mtu hamja juana tabia akurupuke tuu kukuambia natka kufnya nchi isitawalike.. This is bulls sheet.
Hivi hizo gharama za hii kesi ya mchongo hizo pesa si wapewe yatima?? Na rais ana angalia tuu huu urojo kweli??
 
Eti Shahidi baada ya kuambiwa hizo taarifa "akashindwa kulimeza" 😬😬😬 hivyo akampigia simu DCI Boaz majira ya saa tatu usiku! 😁😁😁

Wakili wake anamuuliza kuhusu hiyo namba ya DCI kama anaikumbuka, eti anasema sijaikariri kichwani! 😁😁😁 Inawezekana kweli? Hata aina tu ya mtandao wake, kama ni ya voda/airtel/ tigo, nk!!!

Halafu hajasema hiyo namba aliipata wapi!! Ni aibu na fedheha kubwa sana kuwa na aina hii ya wanajeshi!
 
Eti Shahidi baada ya kuambiwa hizo taarifa "akashindwa kulimeza" 😬😬😬 hivyo akampigia simu DCI Boaz majira ya saa tatu usiku!

Wakili wake anamuuliza kuhusu hiyo namba ya DCI, anasema sijaikariri kichwani! 😁😁😁 Inawezekana kweli? Halafu hajasema hiyo namba aliipata wapi!! Ni aibu na fedheha kubwa sana kuwa na aina hii ya wanajeshi!
Airtel log ipo na Mh. Kibatala keshaipata inaonyesha Mbowe alimpigia
 
Airtel log ipo na Mh. Kibatala keshaipata inaonyesha Mbowe alimpigia
Mimi namuongelea Shahidi! Baada ya kushindwa kulimeza, na kuamua kumpigia simu DCI majira ya saa tatu usiku, namba yake aliipata wapi?

Na ilikuwaje ameshindwa kuikariri mahakamani kama zile namba alizo pigiwa na watu wa Mbowe?
 
Mbowe- urio- adamo+wenzake
urio- dci- kingai+ wenzake
airtel, tigo
forensic
Kaaya- sabbaya- mbowe-sabaya
huoni huo muunganiko
Muanganiko unaoleta wazo moja la kuonesha nia ya kula njama ya ugaidi haipo.

Mashahidi wa mwanzo wote ukiacha huyu Urio walionesha wazo la namna walivyo wakamata watuhumiwa hakuna mahali wamethibitisha kuwakuta wakiwa ktk harakati zozote ama za mipango, fikra, au vitendo vinavyoashiria ugaidi.

Huyu Urio hadi sasa yeye tu ndiye ameonesha kuelekea kwenye msingi wa kesi, hata hivyo katika maelezo yake hadi sasa hayajapata "support" yenye nguvu ya uthibitisho wa kile anachohadithia kwa maana nyingine hii yaweza kuwa kama "story" za kutungwa labda tusubiri wengine.
 
Upande wa utetezi huyu watamgonga mpaka ijumaa!Yaani Leo ni zamu ya mashtaka tu!Kesho ajiandae vizuri asijepatwa na kiharusi!
 
Kwa hiyo mahakama inaweza kuamini hizo porojo za huyo Luteni Urio!

Yaani kirahisi tu, tulikutana CASA Motel pale Mikocheni, akaniuliza kuhusu mifumo ya mawasiliano, na bla bla nyingine!! Halafu tuamini!

Aweke mezani ushahidi usiotia shaka, badala ya huo ushahidi wa nadharia! na muendelezo ule ule wa porojo za Rau Madukani! Sijui kukata magogo, kuzua taharuki!!
Hivi hizi hotel kwanini hazinaga CCTV, nafikiri ingetungwa sheria ya kuwalazimisha wafunge cctv.
 
Muanganiko unaoleta wazo moja la kuonesha nia ya kula njama ya ugaidi haipo.

Mashahidi wa mwanzo wote ukiacha huyu Urio walionesha wazo la namna walivyo wakamata watuhumiwa hakuna mahali wamethibitisha kuwakuta wakiwa ktk harakati zozote ama za mipango, fikra, au vitendo vinavyoashiria ugaidi.

Huyu Urio hadi sasa yeye tu ndiye ameonesha kuelekea kwenye msingi wa kesi, hata hivyo katika maelezo yake hadi sasa hayajapata "support" yenye nguvu ya uthibitisho wa kile anachohadithia kwa maana nyingine hii yaweza kuwa kama "story" za kutungwa labda tusubiri wengine.
Kwa mjibu wa sheria ya kuzuia na kupambana na ugaidi ya 2002- nia tu inatosha kuweka hatiani kwa ugaidi
 
Back
Top Bottom