Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Aliekwambia Kiingereza ndio nembo ya taifa hili nani?Boss wenu anachekesha Taifa kwa kiingereza cha aina yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliekwambia Kiingereza ndio nembo ya taifa hili nani?Boss wenu anachekesha Taifa kwa kiingereza cha aina yake
Phd holder halafu mwalimu basi itakuwa alikuwa anadanganya wanafunzi kwa kiingereza kileAliekwambia Kiingereza ndio nembo ya taifa hili nani?
Happy mentor disorder day Mwamba naona unaitumia ipasavyo siku yako
Shetani Hana rfk mwamba
mbona nyomi ivo?? Kuna wasanii?
Dodoma hana chake pale. Ataambulia aibu tu
Labda kwako ndiko ataambulia aibu! Shenziii sana!
Tundu kwa maana nyengine ni Tobo.Uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho? Acheni kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni, jina na hoja zilizopo vina uhusiano gani? Umeana wenye Akili timamu wanajadili jina lako au jina la yeyote? Acha ufala wako komaa na hoja na kama huna hoja endelea kuvuta Bangi mpaka cyprian Musiba atakaporejea toka kwa le mutuz kuchukua ujinga zaidi.
Kama haumjui shetani subiri September 7 yako.Aliyeisaliti Nchi yake ndiye shetani
Kama haumjui shetani subiri September 7 yako.
Wanaopona na September 7 ni wachache wateule wa bwana wakina Lisu.
Wengine wote bensaanane, Anzory, viroba vya baharia ya Hindi, Alphonse mawazo, na (katibu mwenezi chadema - huyu sjajua hatima yake Kama kafariki au Naye ni mteule wa Bwana)
Huruma ya Kristu izisamehe roho za marehemu wote wapumzike kwa amani - amina
View attachment 1596012Hizi picha 2015 enzi za Lowassa CDM acheni kututisha.
Aliyeisaliti Nchi yake ndiye shetani
Magufuli sio nchi dogo.
ni ndoto za mchana wa saa sita kufikiria eti Lisu atashinda kwa kura...na....eti akawa Rais wa nchi hii ya Tanzania!!
Urais sio jambo la kukurupuka na kutamani....uwe Rais
Hivi kweli hadi miaka hii bado kuna watu mnatumia cheap propaganda kama hizi?!!!! Kwani ni kitu gani ambacho beberu amekikosa toka awamu hii iwe madarakani?!!Huyo Lissu katumwa na huyo Robert Amstadarm, ww sasa kazana kumpigia debe utaona yajayoView attachment 1595538