Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Katika Mapokezi ya Tundu Lissu Dodoma na Singida

ni ndoto za mchana wa saa sita kufikiria eti Lisu atashinda kwa kura...na....eti akawa Rais wa nchi hii ya Tanzania!!
Urais sio jambo la kukurupuka na kutamani....uwe Rais
 
Tundu kwa maana nyengine ni Tobo.

Kwa hiyo tundu wenu ni tobo.
 
Aliyeisaliti Nchi yake ndiye shetani
Kama haumjui shetani subiri September 7 yako.

Wanaopona na September 7 ni wachache wateule wa bwana wakina Lisu.

Wengine wote bensaanane, Anzory, viroba vya baharia ya Hindi, Alphonse mawazo, na (katibu mwenezi chadema - huyu sjajua hatima yake Kama kafariki au Naye ni mteule wa Bwana)

Huruma ya Kristu izisamehe roho za marehemu wote wapumzike kwa amani - amina
 
Hiyo ni kazi ya Chadema, huyo mropkaji wenu na msaliti wa Nchi atajuta mwaka huu
 
Hizi picha 2015 enzi za Lowassa CDM acheni kututisha.
 
Unalalamika Ukiukwaji wa sheria za uchaguzi na wakati huo huo unamuita mgombea wako Mh. Rais. Mahaba bwana.
 
Kama Chama cha mapinduzi kimeshindwa kuleta mapinduzi kitawezaje kuendelea kubaki madarakani?
Kumbuka watanzania wa sasa sio wale wa zile awamu zote zilizotangulia maboya na mapoyoyo wamepita waliopo sasa ni wenye kujitambua, jibu utalipata Oct 28 mataga wewe
ni ndoto za mchana wa saa sita kufikiria eti Lisu atashinda kwa kura...na....eti akawa Rais wa nchi hii ya Tanzania!!
Urais sio jambo la kukurupuka na kutamani....uwe Rais
 
Huyo Lissu katumwa na huyo Robert Amstadarm, ww sasa kazana kumpigia debe utaona yajayoView attachment 1595538
Hivi kweli hadi miaka hii bado kuna watu mnatumia cheap propaganda kama hizi?!!!! Kwani ni kitu gani ambacho beberu amekikosa toka awamu hii iwe madarakani?!!

Mikataba hiyo ya madini mlijifanya kubadirisha baadhi ya vipengere, baada ya beberu kukohoa tu, mnavirudisha!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…