Acha umalaya wa kisiasa utakufa muda siyo mrefu!Unaye mnadi Magufuli ata kuachia ugonjwa wa moyo na akili.Tundu Lissu ni habari nyingine.Hakuna wasanii Wala malori lakini nyomi ni zaidi ya MagufuliFix hakuna Tanzania nzima kijiji chenye watu wengi hivyo hakipo
Uongo uongo uongo
Pekekeni hiyo picha kudanganya wazungu na wao wanajua iwe ulaya au marekani au afrika hakuna kijiji hata kimoja chaweza kuwa na watu wengi hivyo
Uongo wenu uko wazi mno
Aende Bahi akaone. Yaani hakuna maeneo nilishayakatia tamaa kama Dodoma. Lakini leo wameamkaComments nyingine huwa mtu utataman uje usikute manake zunakudhalilisha
Unataka kupona kiroho na kimwili just follow TALAcha umalaya wa kisiasa utakufa muda siyo mrefu!Unaye mnadi Magufuli ata kuachia ugonjwa wa moyo na akili.Tundu Lissu ni habari nyingine.Hakuna wasanii Wala malori lakini nyomi ni zaidi ya Magufuli
Aisee chini Ya Lissu historia ya mikoa hiyo imebadilika sana. Nimeona mafuriko ya Leo ni hatari sanaMkoa wa wenyeji wasiojitambua, ni kati ya mikoa 3 ambayo haijawahi kuchagua wapinzani kama sijakosea ( Dodoma, Ruvuma na Pwani)
Unaumia na nini vumilia ndo ukubwa huoFix hakuna Tanzania nzima kijiji chenye watu wengi hivyo hakipo
Uongo uongo uongo
Pekekeni hiyo picha kudanganya wazungu na wao wanajua iwe ulaya au marekani au afrika hakuna kijiji hata kimoja chaweza kuwa na watu wengi hivyo
Uongo wenu uko wazi mno
Uchizi sio mpaka uokote makopo.
Hata dodoma wamemfanyia hivi Jpm?? Duuh Lissu anatishaLissu atau watu kwa pressure
Mpaka kielewekeeee[emoji373][emoji373][emoji373]
Hujui Kama wapiga kura ni milioni 29+Fix hakuna Tanzania nzima kijiji chenye watu wengi hivyo hakipo
Uongo uongo uongo
Pekekeni hiyo picha kudanganya wazungu na wao wanajua iwe ulaya au marekani au afrika hakuna kijiji hata kimoja chaweza kuwa na watu wengi hivyo
Uongo wenu uko wazi mno
Tarehe 28 Oktoba 2020 tunapotoa 5 tena kwa JPM tusikimbiane!Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atajuta huu mwaka
Unawasemea na akina nani?Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Hata sifuri,hastahili kwani tano tu.imetugawa badala ya kutujenga.Tarehe 28 Oktoba 2020 tunapotoa 5 tena kwa JPM tusikimbiane!
Unawasemea na akina nani?
Kesho nitakuwa Mtwara, tutawasiliana nikupe nondo za kutosha, nitafute kwenye inbox yangu nikutumie na picha.Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atajuta huu mwaka
Kesho nitakuwa Mtwara, tutawasiliana nikupe nondo za kutosha, nitafute kwenye inbox yangu nikutumie na picha.
Mlio wengi wewe na Nani, kwani wenyewe tumegawanyika vipande vipande. Hata Sasa tuna tegemea msaada kutoka vyanzo mbeleko mbalimbali.Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Mlio wengi wewe na Nani,kwani wenyewe tumegawanyika vipande vipande.Hata Sasa tuna tegemea msaada kutoka vyanzo mbeleko mbalimbali.