Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Katika Mapokezi ya Tundu Lissu Dodoma na Singida

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Katika Mapokezi ya Tundu Lissu Dodoma na Singida

Fix hakuna Tanzania nzima kijiji chenye watu wengi hivyo hakipo

Uongo uongo uongo

Pekekeni hiyo picha kudanganya wazungu na wao wanajua iwe ulaya au marekani au afrika hakuna kijiji hata kimoja chaweza kuwa na watu wengi hivyo

Uongo wenu uko wazi mno
Acha umalaya wa kisiasa utakufa muda siyo mrefu!Unaye mnadi Magufuli ata kuachia ugonjwa wa moyo na akili.Tundu Lissu ni habari nyingine.Hakuna wasanii Wala malori lakini nyomi ni zaidi ya Magufuli
 
Fix hakuna Tanzania nzima kijiji chenye watu wengi hivyo hakipo

Uongo uongo uongo

Pekekeni hiyo picha kudanganya wazungu na wao wanajua iwe ulaya au marekani au afrika hakuna kijiji hata kimoja chaweza kuwa na watu wengi hivyo

Uongo wenu uko wazi mno
Unaumia na nini vumilia ndo ukubwa huo
 
Fix hakuna Tanzania nzima kijiji chenye watu wengi hivyo hakipo

Uongo uongo uongo

Pekekeni hiyo picha kudanganya wazungu na wao wanajua iwe ulaya au marekani au afrika hakuna kijiji hata kimoja chaweza kuwa na watu wengi hivyo

Uongo wenu uko wazi mno
Hujui Kama wapiga kura ni milioni 29+
 
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Mlio wengi wewe na Nani, kwani wenyewe tumegawanyika vipande vipande. Hata Sasa tuna tegemea msaada kutoka vyanzo mbeleko mbalimbali.
 
Waliogawanyika vipande ni kile kikundi cha ufipa

Ila Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Mlio wengi wewe na Nani,kwani wenyewe tumegawanyika vipande vipande.Hata Sasa tuna tegemea msaada kutoka vyanzo mbeleko mbalimbali.
 
Back
Top Bottom