Acha umalaya wa kisiasa utakufa muda siyo mrefu!Unaye mnadi Magufuli ata kuachia ugonjwa wa moyo na akili.Tundu Lissu ni habari nyingine.Hakuna wasanii Wala malori lakini nyomi ni zaidi ya MagufuliFix hakuna Tanzania nzima kijiji chenye watu wengi hivyo hakipo
Uongo uongo uongo
Pekekeni hiyo picha kudanganya wazungu na wao wanajua iwe ulaya au marekani au afrika hakuna kijiji hata kimoja chaweza kuwa na watu wengi hivyo
Uongo wenu uko wazi mno