Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Katika Mapokezi ya Tundu Lissu Dodoma na Singida

Unazungumzia Mlimani City Mall au K/koo.
 
Sasa aanze kujifunza busara katika uchaguzi wa maneno yake; akiendelea kuropoka atajikuta matatizoni tena. Kuwa rais wa nchi ni jukumu linalohitaji busara sana
 
Dodoma hana chake pale. Ataambulia aibu tu
Lissu hakuna mkoa ambao hana chake may be Magufuli ndiye kuna mikoa anachechemea kwetu MARA ikiwa mmojawapo. Mwaka huu mmeshikwa pabaya mpaka NEC, Msajili wa vyama vya siasa, Polisi wameishalegea na tunakoelekea mnaleta JWTZ.
 
Sasa hii mbona rahisi tu kuiandika..tataaminije kama hujaandika geto kwako tu hapo...
Anyway..umejitahidi kuandika yai..sio kama lile yai la juzi
I just finished writing it in my spare bedroom. Any more questions?
 
Lissu hakuna mkoa ambao hana chake may be Magufuli ndiye kuna mikoa anachechemea kwetu MARA ikiwa mmojawapo. Mwaka huu mmeshikwa pabaya mpaka NEC, Msajili wa vyama vya siasa, Polisi wameishalegea na tunakoelekea mnaleta JWTZ.
Jpm atapona kwa nguvu ya ibilisi tu.
 
Sikio la kufa halisikii dawa! Ila masisie vichwa maji na hayajifunzi!

Tulishaambiwa miaka 5 waliyozuia mikutano ya siasa imeongeza hamu kwa wananchi kusikia upinzani hususani TL
Sasa imerudia tena kosa lilelile, kumsimamisha TL imeongeza hamu kwa wananchi, pia imeongeza chuki, hasira kwa wananchi sasa wanajua CDM na TL wanaonewa!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…