Pole kwa maumivu makali unayopitia, huu utopolo mliusema hata kipindi kile anaenda Geita lakini akapata mapokezi ya kihistoria huko Chato.Dodoma jiji ambalo halina muda a Lisu anaenda kuadhirika Leo
Dar na Dodoma ni miji nuksi kwake anapoteza muda tu
Unateseka sana. Lisu anawanyooshaHana jipya kibaraka wa wabelgiji
TAL anajinyoosha mwenyewe.Unateseka sana. Lisu anawanyoosha
Unazungumzia Mlimani City Mall au K/koo.Kuna umri ukifika ukawa una vijistory vya kuungauunga unaonekana upeo wako finyu. Hii sio kweli nasema nilikuwepo mpaka anaingia ndani supermarket huku nje kulikuwa na umati wa watu wanataka angalau kumshika mkono na kupiga nae picha.Njoo na uongo mwingine
Imbecile
At least you know the meaning.Imbecile
Sasa hii mbona rahisi tu kuiandika..tataaminije kama hujaandika geto kwako tu hapo.
Lissu hakuna mkoa ambao hana chake may be Magufuli ndiye kuna mikoa anachechemea kwetu MARA ikiwa mmojawapo. Mwaka huu mmeshikwa pabaya mpaka NEC, Msajili wa vyama vya siasa, Polisi wameishalegea na tunakoelekea mnaleta JWTZ.Dodoma hana chake pale. Ataambulia aibu tu
I just finished writing it in my spare bedroom. Any more questions?Sasa hii mbona rahisi tu kuiandika..tataaminije kama hujaandika geto kwako tu hapo...
Anyway..umejitahidi kuandika yai..sio kama lile yai la juzi
Jpm atapona kwa nguvu ya ibilisi tu.Lissu hakuna mkoa ambao hana chake may be Magufuli ndiye kuna mikoa anachechemea kwetu MARA ikiwa mmojawapo. Mwaka huu mmeshikwa pabaya mpaka NEC, Msajili wa vyama vya siasa, Polisi wameishalegea na tunakoelekea mnaleta JWTZ.
Hatarii sana kwa Taifa letu! Harafu unasema umpigie kura!
Fake....!!!
Kweli, Mie ni shuhuda kwa Jiji la Dar es salaam.
Nilikuwa hapa Mlimani City Mall, Jamaa akafika aisee hakuamini kila mtu alikuwa hana shobo na yeye.
Baada ya kutoka wakaanza kuzungumza huyu boya kutuletea Nuksi hapa ndani.
Nilicheka sana.
Huwezi kubetray our motherland kwa wazungu.Tukabaki kucheka na wewe.