Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Katika Mapokezi ya Tundu Lissu Dodoma na Singida

Akina Crimea na bint Lowassa ni watoto wa waliokua wapinzani fake baada ya kutishwa na jiwe walirudi CCM Sasa hivi simu, Email na chat zao zote zinadukuliwa Ndio maana wanazungumza bila ridhaa ya nafsi zao kumridhisha jiwe lakini bado wanahali ngumu
Hawa watu wanaishi kinyonge Sana
Wanatia huruma wamekua watumwa ndani ya nchi yao wenyewe
 
Wafuasi Wa chadema ni watu peace sana kwenye hizi picha hapo nimeona moja bango LA magufuli,nyingine nimeona bendera ya ccm,ingekuwa ni meko anapita hapo,usingekuta bendera ya chadema ccm wangeshusha zote.
 
Msaliti wa Nchi Lissu atajuta huu mwaka

Yale Mabeberu aliyokuwa anayetetea bungeni kutuibia rasmali zetu kama sio Magufuli lissu angeuza Nchi
Anayesaliti nchi ni yule asiyetaka kushauriwa mkuu. Urais ni taasisi lazima ushauriwe.
 
Msaliti wa Nchi Lissu atajuta huu mwaka

Yale Mabeberu aliyokuwa anayetetea bungeni kutuibia rasmali zetu kama sio Magufuli lissu angeuza Nchi
Kiukweli ukoo wangu wote hauwezi kumpa kura huyu aliyeua private sector na kuwauliza uliza vijisenti vidogo tunavyowatumia kutoka ughaibuni ili wanunue chumvi tu. Hayo ni maisha ya kishamba, kijima na kitumwa.
 
Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Kiukweli ukoo wangu wote hauwezi kumpa kura huyu aliyeua private sector na kuwauliza uliza vijisenti vidogo tunavyowatumia kutoka ughaibuni ili wanunue chumvi tu. Hayo ni maisha ya kishamba, kijima na kitumwa.
 
Pole sana hatukujui wala hatuhitaji kutuma mtu wa aina yako.
Watz tuliochoka na ngonjera za madaraja na midege, tunaohitaji maendeleo ya WATU kwa kutumia kodi zetu , utatusikia na kutuona 28/10 kwenye sanduku la kura.
 
Kwanza hawa washabiki wa Lissu wangejiuliza tangu tuingie mfumo wa vyama vingi 1992, hakuna mgombea yeyote wa upinzani aliyeletwa na wazungu na kusaidiwa waziwazi kama Lissu, kuna nini nyuma ya pazia!?
Kawadanganye wapumbaf wenzako huko Lumumba, watanzania sio wajinga kuwachota kwa propaganda za kijinga hivyo.
 
Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Amka ndugu acha kulala, kumekucha huku!

Your browser is not able to display this video.
 
Mimi ningeamini ungeleta taarifa ukiwa huna upande maana umeanza vema ila kumalizia rangi yako ikaonekana.

Hivi pale Mlimani city ulitaka watu wajazane kumfuata kama kariokoo umesahau yale ni maeneo yenye hadhi tofauti?
Kwahiyo unataka kudhibitisha kwa wanaCHADEMA kuwa Tundu Lissu ni Hadhi ya Chini??

Sio, Diamond platnumz tu..Hata Zuchu tu akifika pale utakuta upepo umechange kila mtu anatamani apate nae mambo mawili,matatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…