Uchaguzi 2020 Yaliyojiri katika mapokezi ya Tundu Lissu leo Oktoba 19 mikoa ya Kilimanjaro na Arusha

acha ujinga wewe...muandalie mwanao huyo kwenye picha mazingira mazuri huko mbeleni ..mnadhani haya tunafanya kwa ajili ya nani..kama si watoto wetu hawa ukombozi wa watanzania na vizazi vyetu vijavyo umewadia
Ujinga ni kutoamini ukweli, mpaka hakujatokea mbadala wa chama tawala ambao umejiandaa kuchua mamlaka! Issue ya kukurupuka kurupuka utegemee kukabidhiwa nchi? Vyama ambavyo havisadiki hata majina yao wanaanzaje kukabidhiwa nchi! Jifarijini kijinga hivyo hivyo!
 
ukweli ni Huu kua rais ni Lissu, sasa nyie makapi ambao mnakalisha mapumbu kwa mashemeji zenu hamuwez kufanya reasoning endeleeni kulishwa makapi mkiamini watanzania wa zamani ndio wa sasa kwamba mtawadanganya

Lissu kipenzi cha Tanzania na dunia kwa ujumla wake, hutaki jikate mapumbu ule.
 
Shehe ubwabwa yupo
 
Ya Magufuli Babalaooo pale Mkata ni haya hapa akielekea Korongwe!
Your browser is not able to display this video.
 
Imani potofu, ila muda haudanganyi, soon utaelewa nani pimbi kati yangu nawe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…