Ujinga ni kutoamini ukweli, mpaka hakujatokea mbadala wa chama tawala ambao umejiandaa kuchua mamlaka! Issue ya kukurupuka kurupuka utegemee kukabidhiwa nchi? Vyama ambavyo havisadiki hata majina yao wanaanzaje kukabidhiwa nchi! Jifarijini kijinga hivyo hivyo!acha ujinga wewe...muandalie mwanao huyo kwenye picha mazingira mazuri huko mbeleni ..mnadhani haya tunafanya kwa ajili ya nani..kama si watoto wetu hawa ukombozi wa watanzania na vizazi vyetu vijavyo umewadia
Hatari na Nusu
ukweli ni Huu kua rais ni Lissu, sasa nyie makapi ambao mnakalisha mapumbu kwa mashemeji zenu hamuwez kufanya reasoning endeleeni kulishwa makapi mkiamini watanzania wa zamani ndio wa sasa kwamba mtawadanganyaUjinga ni kutoamini ukweli, mpaka hakujatokea mbadala wa chama tawala ambao umejiandaa kuchua mamlaka! Issue ya kukurupuka kurupuka utegemee kukabidhiwa nchi? Vyama ambavyo havisadiki hata majina yao wanaanzaje kukabidhiwa nchi! Jifarijini kijinga hivyo hivyo!
Shehe ubwabwa yupoMgombea wa Urais CHADEMA Tundu Lissu leo ataendelea na Kampeni zake katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini.
Arusha na Kilimanjaro ngome Kuu za CHADEMA tangu mfumo wa vyama vingi uanze wanatarajiwa kufanya mapokezi ya kufuru kwa Mgombea huyo ambaye tathmini zote zinaonyesha atapata ushindi wa zaidi ya asilimia 60%.
Jimbo la Hai anakogombea Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ni moja ya sehemu atakazotua Tundu Lissu kumnadi Jemadari wa Siasa za Upinzani Tanzania.Ni wiki iliyopita tu Kamanda wa Polisi Hai bila aibu alimropokea Mbowe hadharani kwamba hatashinda ubunge jimboni humo.Wananchi wa Hai walisema Mungu amemuumbua OCD huyo akaropoka hadharani kilichokuwa kimepangwa nyuma ya Pazia.
Katika mkutano wa Hai CHADEMA inatarajiwa kumkaribisha Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif Sharrif Hamad ambaye atapanda Jukwaani kumnadi Mwenyekiti mwemzake ambao ni marafiki wakubwa katika siasa za Tanzania
Pia baada ya kutoka Hai mgombea huyo wa Urais atatua Moshi mjini Jimbo ambalo limekuwa Upinzani kwa miaka 25 sasa
----------------
Maalim atikisa Moshi
Mwenyekiti wa ACT Maalim Seif ametinga viwanja vya mashujaa Moshi kumnadi Tundu Lissu kuwa Rais wa JMT.Katika salaam zake huku akishangiliwa kwa Malaki ya watu Maalim Seif alisema Hakuna ubishi Sasa kwamba Tundu Lissu ndiye Rais skate wa Tanzania.
Picha 2 za Mwanzo ni Lissu na Sheikh Ponda wakiwa Mto wa Mbu Monduli
Ya Magufuli Babalaooo pale Mkata ni haya hapa akielekea Korongwe!Mgombea wa Urais CHADEMA Tundu Lissu leo ataendelea na Kampeni zake katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini.
Arusha na Kilimanjaro ngome Kuu za CHADEMA tangu mfumo wa vyama vingi uanze wanatarajiwa kufanya mapokezi ya kufuru kwa Mgombea huyo ambaye tathmini zote zinaonyesha atapata ushindi wa zaidi ya asilimia 60%.
Jimbo la Hai anakogombea Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ni moja ya sehemu atakazotua Tundu Lissu kumnadi Jemadari wa Siasa za Upinzani Tanzania.Ni wiki iliyopita tu Kamanda wa Polisi Hai bila aibu alimropokea Mbowe hadharani kwamba hatashinda ubunge jimboni humo.Wananchi wa Hai walisema Mungu amemuumbua OCD huyo akaropoka hadharani kilichokuwa kimepangwa nyuma ya Pazia.
Katika mkutano wa Hai CHADEMA inatarajiwa kumkaribisha Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif Sharrif Hamad ambaye atapanda Jukwaani kumnadi Mwenyekiti mwemzake ambao ni marafiki wakubwa katika siasa za Tanzania
Pia baada ya kutoka Hai mgombea huyo wa Urais atatua Moshi mjini Jimbo ambalo limekuwa Upinzani kwa miaka 25 sasa
----------------
Maalim atikisa Moshi
Mwenyekiti wa ACT Maalim Seif ametinga viwanja vya mashujaa Moshi kumnadi Tundu Lissu kuwa Rais wa JMT.Katika salaam zake huku akishangiliwa kwa Malaki ya watu Maalim Seif alisema Hakuna ubishi Sasa kwamba Tundu Lissu ndiye Rais skate wa Tanzania.
Picha 2 za Mwanzo ni Lissu na Sheikh Ponda wakiwa Mto wa Mbu Monduli
Magufuli BabalaooooLete picha tuone
Imani potofu, ila muda haudanganyi, soon utaelewa nani pimbi kati yangu nawe!ukweli ni Huu kua rais ni Lissu, sasa nyie makapi ambao mnakalisha mapumbu kwa mashemeji zenu hamuwez kufanya reasoning endeleeni kulishwa makapi mkiamini watanzania wa zamani ndio wa sasa kwamba mtawadanganya
Lissu kipenzi cha Tanzania na dunia kwa ujumla wake, hutaki jikate mapumbu ule.
mmekwishaaaa nyieImani potofu, ila muda haudanganyi, soon utaelewa nani pimbi kati yangu nawe!
We mzee ndo kusema umekubaliana na matokeo, unatumia akaunti nyingine au na wewe ulikufa kwenye maandamano!Arusha kuna kimbunga tuko hapa tokea jana