Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Katika Mapokezi ya Tundu Lissu na Mkutano Mkubwa wa Hadhara Geita Mjini

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Katika Mapokezi ya Tundu Lissu na Mkutano Mkubwa wa Hadhara Geita Mjini

Nipo mkoani kuanzia alipoingia nipo beneti na yeye ,hakuna lolote zaidi ya waendesha baikeli alimaarufu (daladala),mlipaji hao daladala na waendesha (bodaboda ),majina kapuni

Nikwambie bila kuwapa ujira hao vijana msafara wa Lissu unazidiwa na Diamond Platnum ,gari zake mbili vx nyeupe aliyomo yeye na ile ya walinzi +ya jeshi la polisi ,over ,danganya wasiokuwepo eneo la tukio kwa picha za kutengeneza kwa sababu unalipwa
 
Nipo mkoani kuanzia alipoingia nipo beneti na yeye ,hakuna lolote zaidi ya waendesha baikeli alimaarufu (daladala),mlipaji hao daladala na waendesha (bodaboda ),majina kapuni ,
Nikwambie bila kuwapa ujira hao vijana msafara wa Lissu unazidiwa na Diamond Platnum ,gari zake mbili vx nyeupe aliyomo yeye na ile ya walinzi +ya jeshi la polisi ,over ,danganya wasiokuwepo eneo la tukio kwa picha za kutengeneza kwa sababu unalipwa
Tuliza mshono, wew ambaye hutengenezi picha, rusha ulizopiga hapo.
 
UONGO OVER, kama ni kweli tuma walau video ikionyesha hivyo ulivyovitaja nitakupa millioni,edited sio hizi tunazoziona. kubalini ukweli ili mjipange na muongeze bidii kulikwamua jahazi,mambo si shwali kaka kuna shida!
 
Molemo bana!

Hujachoka tu kuandika thread kama hizi kuanzia mwaka 2010.

Nakumbuka wakati wa kampeni mwaka 2010 ulivyokuwa unaleta thread kuhusu Dk. Slaa.

Mwaka 2015 kwenye Uchaguzi Mkuu pia ukaleta tena thread kama hizi!

Mwaka huu hujachoka pia lakini tatizo lako kila ukileta thread kama hizi mgombea wako hupigwa chini!

Jiandae na mwaka huu kama ilivyotokea miaka ya nyuma!
Buchosa
 

Attachments

  • Buchosa ( 352 X 640 ).mp4
    2 MB
Buchosa tena
 

Attachments

  • Mapokezi ya Lissu Wilaya ya Sengerema Jimbo la Buchosa ( 352 X 640 ).mp4
    3.2 MB
Hebu acha kuweka UPUUZI WAKO. Haki na uhuru HUSTAWISHA Taifa lolote lile duniani. Watanzania tunataka HAKI NA UHURU na Kiongozi anayeheshimu Watanzania, Katiba, Bunge na Mahakama si kama huyo dhalimu anayedhani ana hati miliki ya Tanzania hivyo anaweza kufanya kila aina ya maovu Nchini.

 
Hebu acha kuweka UPUUZI WAKO. Haki na uhuru HUSTAWISHA Taifa lolote lile duniani. Watanzania tunataka HAKI NA UHURU na Kiongozi anayeheshimu Watanzania, Katiba, Bunge na Mahakama si kama huyo dhalimu anayedhani ana hati miliki ya Tanzania hivyo anaweza kufanya kila aina ya maovu Nchini.
Tutamkomesha mwaka huu.....
 
Hebu acha kuweka UPUUZI WAKO. Haki na uhuru HUSTAWISHA Taifa lolote lile duniani. Watanzania tunataka HAKI NA UHURU na Kiongozi anayeheshimu Watanzania, Katiba, Bunge na Mahakama si kama huyo dhalimu anayedhani ana hati miliki ya Tanzania hivyo anaweza kufanya kila aina ya maovu Nchini.
Wacha buana😆😆😆😆😆
 
Waliokotwa kwenye viroba kama kungekuwa na anayekuhusu usingeandika huo upuuzi. Waliobomolewa nyumba zao pamoja na kuwa mahakama ilizuia ubomoaji wangekuwa wanakuhusu usingeandika huo upuuzi. Ben Saanane, Azory au Lissu mmoja angekuwa anakuhusu usingeandika huo upuuzi. Hayo ni baadhi tu ya maovu chungu nzima ya huyo anayejiita MWENDAWAZIMU.

Wacha buana😆😆😆😆😆
 
Mwaka huu tumeleta mwamba atakayewahenyesha ole wenu mjaribu kuiba kura! Safari hii hatuibiwi kiboya, tukishinda lazima mtangaze! Magufuli usicheze na uchaguzi huu utaishia the Hague, Simon Sirro usicheze na uchaguzi huu utaishia the Hague, Kaijage na Mahera msicheze na uchaguzi huu utaishia the Hague!!
Kwa taarifa yako kuibiwa mtaibiwa na hamna ubavu wa kufanya chochote Kama tumewaengua madiwani wenu karibu 400 na mko kimya mnafikiri mnaweza kufanya nini?

Yaani ni hivi kura mtaibiwa na mkireta chokochiko tunafunua marinda kuanzia ya shangazi zenu.
 
Back
Top Bottom