At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,533
- 3,595
Tuonane Oktoba. [emoji2221][emoji2221][emoji2221][emoji2221]Hakuna cha wakati apo alipo kwenyewe yupo hoi lazima apigwe chini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuonane Oktoba. [emoji2221][emoji2221][emoji2221][emoji2221]Hakuna cha wakati apo alipo kwenyewe yupo hoi lazima apigwe chini
Ningekuwa IGP namchenjia tu kwamba tulia haki itendeke, nikiwa Mwenyekiti wa tume namzingua tu haki itendeke ningekuwa mkuu wa majeshi namchana tu mzee tulia haki itendeke hapo asingekuwa na jinsi zaidi ya kukimbilia jimboni Gisenyi alikotokaBy design mifumo yote inawabeba hawa jamaa hawahitaji kuiabudu.
Ana haki ya kuteua na kutengua wakati wowote. Amini nakwambia ktk siku za mwisho mwisho za kampeni wakuu wa taasisi zote za kijeshi wataongea na vyombo vya habari wakitoa jumbe zinazo saidia CCM kushinda!. Mark my words.Ningekuwa IGP namchenjia tu kwamba tulia haki itendeke, nikiwa Mwenyekiti wa tume namzingua tu haki itendeke ningekuwa mkuu wa majeshi namchana tu mzee tulia haki itendeke hapo asingekuwa na jinsi zaidi ya kukimbilia jimboni Gisenyi alikotoka
Si mpaka muwe na hizo kura za kuibiwa?Nakuhakikishia hakuna Kura itakayoibiwa mwaka huu.Mlizoea Sasa mmekutana na Mwamba msidhani ni Lowassa huyu
Alipelekwa Kenyata mwenye akili timamu itakuwa huyu mshamba mwendawazimu we mbulula kweliHahahaha [emoji23]
Eti the Hague, subirini kama mna kipelekesheo , [emoji16]
Trh 28/10 msije tu kuanguka kwa presha nasikia kuna wengine tayari zimeanza kupanda.Si mpaka muwe na hizo kura za kuibiwa?
Mtu anategemewa kupata asilimia 20 unamuibia kitu gani hapo?
Kuna wa kumpeleka sasa.Alipelekwa Kenyata mwenye akili timamu itakuwa huyu mshamba mwendawazimu we mbulula kweli
Huyo mpaka akanywe supu ya kongoro, huwezi kujua alikunywa nini na kiasi gani jana!Hujui kusoma ndugu?
Mwaka huu loketo atarudi ubelgiji akiwa analiaTrh 28/10 msije tu kuanguka kwa presha nasikia kuna wengine tayari zimeanza kupanda.
Kenyata ana akili akili gani? Kawambie wakenya hayo maneno uone kitakachokutokea!Alipelekwa Kenyata mwenye akili timamu itakuwa huyu mshamba mwendawazimu we mbulula kweli
Mkuu Molemo, hawa watoto watakupotezea muda wako wa maana! Anasema hakuwepo, kwa sababu hamjui, na hata hajui kilicho mpata! Tumshukuru Melo, hili jukwaa watu wote ni ruksa kuingia!Unamfahamu kwanza?
Mlizoea vya kunyonga this time maji mtaita mma.Mwaka huu loketo atarudi ubelgiji akiwa analia
Usiache kuleta mrejeshoNitakwenda. Sababu mbili zinazonifanya niende japo sikuwa na mpango tokea mwanzo wa kampeni Ni.
1. Taarifa zinabaniwa. Mfano TBC 1 hawajisumbui hata kutoa taarifa japo ya dakika moja kuhusu mkutano wa Lisu. Na DSTV hawana Cha ITV Wala StarTV. Hivyo TBC 1 ndiyo channel pekee ya Habari ndani ya dish.
2. Kuna mgombea alisema picha za mikutano ya Lisu ni edit ya zile za 2015. Nami nikiwa Tomaso, siamini mpaka nipapase, nakwenda ku-verify kama kweli Wana CHADEMA huwa Wana edit picha wanazotuma mtandaoni, au huwa Ni za kweli.
Nikishaona na kumsikiliza, nitabaki na uamuzi ndani yangu wa kura yangu nimpigie nani tarehe 28/10.
Sumu ya kijani imemukolea huyo. Achaneni naye.Huyo mpaka akanywe supu ya kongoro, huwezi kujua alikunywa nini na kiasi gani jana!
Kwani sheria zinazotungwa haziwagusi hao polisi. Kikokotoo hakiwahusu polisi, JKT,JW . Mishahara kutoongezwa.Ningekuwa mchora katuni ningechora jinsi ccm na meko wakiiabudu tume na polisi na jw ili wabebwe.
1995 Mrema alikuwa anabebwa kabisa.Wewe una uhakika gani juu ya hilo
Au una jeshi lako?
Mgombea Urais kupitia Chadema Tundu Lissu yupo Mkoani Geita akiendeleza kampeni zake za kuingia Ikulu.
Lissu aliyewasili mkoani Geita hapo Jana na kupata mapokezi yaliyovunja Rekodi ya Tanzania katika mji wa Katoro Jimbo la Busanda.
Mkoa wa Geita ni nyumbani kwa mgombea wa CCM John Magufuli Lakini shauku ya wananchi kumuunga mkono mgombea wa Chadema inakitia hofu kubwa chama tawala Cha CCM.
Lissu aliwasili usiku mjini Geita na kulakiwa na halaiki kubwa ya watu wanaokadiriwa kufikia elfu 10
Umati wa huo wa watu ulimsindikiza mpaka Hotelini alikofikia na ulikesha nje ya Hoteli hiyo kwa kile walichodhani wanamlinda Rais wao.
Mapokezi ya Lissu Geita ni salaam tosha kwa chama tawala na mgombea wake kwamba Zama zao zinaelekea ukingoni
Molemo Media itawaletea yatakayojiri katika mkutano wa Hadhara mjini Geita
Video ya kwanza chini inaonyesha mapokezi yake ya Jana alipotua kwa Mara ya kwanza mkoani Geita Jimbo la Busanda.
Molemo video Hiyo hapo ipandishe, lissu wakati anaingia Geita mjini usiku SAA 2
Ukimuona mtu anakataliwa kwao ujuwe huyo hafai.
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
https://l.facebook.com/l.php?u=http...fTmGJYzEcAA96NJLPCxAJBSSELR4ApThpMtVUDc-pkvSw