Yaliyojiri katika Mkutano Mkuu wa CHADEMA Desemba 18, 2019 katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar

Yaliyojiri katika Mkutano Mkuu wa CHADEMA Desemba 18, 2019 katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar

CHADEMA Inahitaji mabadiliko makubwa ya kiuongozi, kifikra, kisera na kimkakati, vinginevyo 2020 kitakufa kabisa.
Mbowe hawezi Tena, hana mbinu mpya wala mbinu mbadala za kukabiliana na kasi ya Magufuli
Kife 2020? Mbona Mkuu alishatangaza kitakufa kabla ya 2020 mmeamua kusogeza Mbele tena? Tangu kilipo tabiriwa kufa kwa Mara ya kwanza sahizi kingekuwa kimeoza kabisa.Lakini tunaona kinazidi kusonga Mbele kwa kasi ya ajabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna chama kinachochafua mazingira kama ccm.ccm wanaweka Bendera mpaka sehemu isiyostahili.huu Ni ubaguzi mkubwa sana.


Tena ubaguz uliopitiliza juzjuz hapa katibu wa sisiemu alienda Hai kilimanjaro waliweka vibendera vyao hadi kwenye nguzo za umeme,na hakuna aliyewakemea wala kutoa hivyo vibendera
 
Ama kweli ukishagongwa na nyoka hata ukiona gamba tu la nyoka mwili hufa ganzi. Yaani Bendera tu imewafanya ccm waweseke namna hii? Vp wakiwaona Makamanda na magwanda yao mitaani??
Hongereni sana Chadema Mola wetu yu nanyi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenzetu ukishindwa uchaguzi mkuu kupata Raisi viongozi wa chama hujiuzulu kupisha timu mpya yenye mawazo na mikakati mipya Sisi huku tunawapa waendelee .Hii timu chadema kinaenda kuwafia mikononi
Kwenye uchaguzi huru na haki sawa, lakini kwenye uchafuzi kama wa serikali za mitaa majuzi utakuwa kichaa kumuwajibisha kiongozi wa chama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema mlikua katika mtihani ambao kwangu nawambia Mmefeli,Mngefaulu kama mwenyekiti angebadilika ningeona kweli 2020 mkiamua mnaweza ila kwa uamuzi huu nawambia nyie white house mtaiona kwenye gazeti tu na kuishia kualikwa.

mmemrudisha mbowe ili muendelee kupata hela za mabeberu na mnajua fika bila mbowe hamna beberu la kuwapa hata senti kwenye hicho chama,hvyo tunarudi pale pale mmeangalia PESA badala ya uongozi.

POLENI na HONGERENI
 
Chadema mlikua katika mtihani ambao kwangu nawambia Mmefeli,Mngefaulu kama mwenyekiti angebadilika ningeona kweli 2020 mkiamua mnaweza ila kwa uamuzi huu nawambia nyie white house mtaiona kwenye gazeti tu na kuishia kualikwa.

mmemrudisha mbowe ili muendelee kupata hela za mabeberu na mnajua fika bila mbowe hamna beberu la kuwapa hata senti kwenye hicho chama,hvyo tunarudi pale pale mmeangalia PESA badala ya uongozi.

POLENI na HONGERENI
Mbadala wa mbowe pale chadema sijauona

Ka fight sana

It's Scars
 
Hata kama ka fight chama sio chake
Haki haichagui nani wakumfata bali humfata yeyote ambaye anastahili

Kuna njama nyingi sana zilipangwa kuhakikisha hicho chama kinakufa, na njama kuu ni pamoja ya kuweka kiongozi dhaifu ambaye ni chimbuko la ccm
 
kitakuwa na uwezo wa kukusanya shilingi bilioni 15 kwa mwaka
Ndo maana hataki kuachia madaraka kumbe ameshapiga faida atakayoipata huyu jamaa, CDM chama cha wajanja na matapeli wanaojificha kwenye nguzo ya upinzani
 
Hakuna mtu wa kumtoa Mbowe kwenye kiti anachotaka na baada ya Uchaguzi kumalizika, Mwambe atafukuzwa ndani ya CHADEMA!

Yaliyomkuta Zitto mwaka 2014 yanaenda kumpata Cecil Mwambe! Baada ya Uchaguzi wa ndani aanze kutafuta chama kingine mapema!
Wakiambiwa huyu jamaa ni dikteta wanaanza kutokwa povu, MBOWE DIKTETA NAMBA MOJA
 
.Lissu kasema tayari amepona na amekuomba chama kiandae mazingira salama ya yeye kurejea nyumbani.
Kumbe chama ndiyo kina mtengenezea mazingira mabaya ya yeye kurudi?, mbona anashinikiza serikali imuandalie mazingira?
 
Wenzetu ukishindwa uchaguzi mkuu kupata Raisi viongozi wa chama hujiuzulu kupisha timu mpya yenye mawazo na mikakati mipya Sisi huku tunawapa waendelee .Hii timu chadema kinaenda kuwafia mikononi
Unafahamu vyama hivyo vina umri gani kwenye ulingo wa siasa!!!? Miaka 500, 300, 200 n.k. Fikiri kabla hujapanua shimo lako la kutemea makohozi!!!
 
Back
Top Bottom