YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Hakuna uchaguzi katika historia zote za uchaguzi chadema ambao ukifanyika huiacha CHADEMA ikiwa imesambaratika. Haijawahi tokea uchaguzi CHADEMA ukiacha Chama salama.Tumrona Kanda ya Pwani uchaguzi wa CHADEMA umeleta zahama Sumaye kaondoka
Sasa umemalizika kinachofuata ni kuhama kwa viongozi na wanachama.
Stay tuned
Sasa umemalizika kinachofuata ni kuhama kwa viongozi na wanachama.
Stay tuned