Yaliyojiri katika Mkutano Mkuu wa CHADEMA Desemba 18, 2019 katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar

Yaliyojiri katika Mkutano Mkuu wa CHADEMA Desemba 18, 2019 katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar

Uchaguzi tu mdogo wa Mwenyeki mnakesha usiku kucha chadema hopeless
Yehodaya, do not be stupid, afadhali huku mwambe amempinga Mbowe, CCM kuna wa kusimama na Magufuli? Kuna wa kusema hapana kwa jiwe? be serious sometimes!
Membe watu kusema kuwa anafaa kuwa Rais (wala siyo yeye membe) ameitwa kwenye vikao
 
nimeona Mbowe Lisu kidedea,,,, the expected of course1
Wenzetu ukishindwa uchaguzi mkuu kupata Raisi viongozi wa chama hujiuzulu kupisha timu mpya yenye mawazo na mikakati mipya Sisi huku tunawapa waendelee .Hii timu chadema kinaenda kuwafia mikononi
 
Uongo haya TV singizia zimegoma mumeshindwa live streaming online?

Chadema kwa uongo hamjambo.Live streaming online kawazuia Nani? Nanajitia ohh chadema digital ,digital wapi uongo mtupu
najua unahasira sana maana umekosa kufatilia mambo muhimu sana ya chama chako pendwa ndiyo maana unahaaira iliyopitiliza tutalifanyiakazi ila nikuulize uchaguzi wa chama kile kilichokufa kimebaki kutumia dola tbccm huwa inakosekana? lakini kwa chama kikuu hata kwa kulipwa wamekataa..
 
Kwa sababu maendeleo hayana vyama,kwanini magufuli hakuhudhuria mkutano wa CHADEMA? Nimewaona viongozi wa vyama vingine kama Shibuda na Dovutwa, au Magufuli hakupewa mualiko?
vyama vyote 19 vipipewa mwaliko..
 
Wenzetu ukishindwa uchaguzi mkuu kupata Raisi viongozi wa chama hujiuzulu kupisha timu mpya yenye mawazo na mikakati mipya Sisi huku tunawapa waendelee .Hii timu chadema kinaenda kuwafia mikononi
CDM Jiwe ameiimarisha zaidi kwa sababu ya udikiteita wake! Watu wana chuki naye.. walimu, wafanyakazi, waliofukuzwa vyeti, na wewe pia!
 
Chadema maskini uchaguzi wa kuswahili tu hakuna mtu.mweupe toka Chama chochote rafiki Duniani aliyekanyaga kwenye mkutano wao.

Mgeni pekee kiongozi wa Chama mjumbe toka nje ya nchi Ni wa Chama cha FNL Cha Burundi.Diplomasia ya kimataifa Chadema Ni zero Kama division zero aliyopata Mbowe form six

Slaa ndie alikuwa gwiji la diplomasia ya kimataifa Chadema.

Chadema inatia huruma sio siri

Akina Lisu na kuzurura kote nje hamna kitu
 
Hahaha Msajili msaidizi wa vyama vya siasa aliuona moto wa CHADEMA akajiuliza hili ni jeshi au chama cha siasa?!
 
MATOKEO YA UCHAGUZI CHADEMA.

Makamu Mwenyekiti Zanziba.
1. Kura za NDIO 839 (88%)
2. Kura za HAPANA 95

Makamu Mwenyekiti Bara
1. Tundu Antipus Lissu 930 (98.8%)
2. Sofia Mwakagenda 11

Mwenyekiti Taifa
1. Freeman Mbowe 886 (93.5%)
2. Cecil Mwambe 59
 
YEHODAYA,
Kwa hiyo angekuwepo mtu mweupe CHADEMA isingekuwa zero,😀😀 Jana mchana kutwa unafuatilia mkutano,Leo hujalala kukifuatolia chama Zero,au zeero kwa matamshi ya jiwe!
Basi wewe NI zeero mpumbavu!
 
Chadema Kwisha.Chama kilichokuwa kimesheni viongozi wa dini wa maana kimeishia kuwa na Akina kundecha na Mwamakula aiseee
Ni kweli ....Wamebaki wenye roho ngumu tu,wengine wamekimbia kibano Cha Kiwe!
 
Chadema maskini uchaguzi wa kuswahili tu hakuna mtu.mweupe toka Chama chochote rafiki Duniani aliyekanyaga kwenye mkutano wao.

Mgeni pekee kiongozi wa Chama mjumbe toka nje ya nchi Ni wa Chama cha FNL Cha Burundi.Diplomasia ya kimataifa Chadema Ni zero Kama division zero aliyopata Mbowe form six

Slaa ndie alikuwa gwiji la diplomasia ya kimataifa Chadema.

Chadema inatia huruma sio siri

Akina Lisu na kuzurura kote nje hamna kitu
Unadhani chadema ni sawa na maccm? Mnajaza wachina kwenye uchaguzi na kampeni zenu. Hatuwezi kufanana wote, haya hayawahusu. Ni shubiri kwenu, vumilieni tu yatapita.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
■ Katika mkutano mkuu wa taifa kuna hawa watu, tumeshindwa kabisa kuwaona Mh. silinde na Nassari. Kuna mwenye taarifa zao wako wapi hawa wapambanaji wetu???

☆Tafadhari CCM na Wachokonoko wengine Hii Post si yenu tafadhari sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa Maulid Mtulia wa Kinondoni yeye ushawahi kumuona??
 
Back
Top Bottom