Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwa sababu Mbowe si mgonjwa wa akili na wala hajachoka kama huyo unaemshindanisha ambaye katangaza wazi kuwa amechoka. HAKUNA CHUKI WALA WOGACHADEMA Inahitaji mabadiliko makubwa ya kiuongozi, kifikra, kisera na kimkakati, vinginevyo 2020 kitakufa kabisa.
Mbowe hawezi Tena, hana mbinu mpya wala mbinu mbadala za kukabiliana na kasi ya Magufuli
Tuliza nanii wewe dawa ingie sindano itakatikia, uipe familia yako shidabasi mlete baba yako agombee
Go straight to the point!sema wewe unataka Mwambe achagulie na siyo Mbowe manake naona umezunguka sana 😀😀😀CHADEMA Inahitaji mabadiliko makubwa ya kiuongozi, kifikra, kisera na kimkakati, vinginevyo 2020 kitakufa kabisa.
Mbowe hawezi Tena, hana mbinu mpya wala mbinu mbadala za kukabiliana na kasi ya Magufuli
Lete mchanganuo wa matumizi ya mil. 326 kwa mwezi! Mbowe na baba mkwe wanatia kibindoni!
Kwani Zito alisema nini?Lete mchanganuo wa 1.5T pesa ya Taifa la Tanzania ambayo haionekani kwenye vitabu.
Tupia clip hapaNimeona CNN wakiunadi mkutano huo .
Bendera za rangi ya mboga mboga huwa hazichafui mazingira ila ni kichefu chefu tu kwa wananchi. PoaU
Hilo ndio tatizo lenu,mkipata tatizo mnataka kulinganisha na ccm
Nyie mmelipia ukumbi sio kuchafua mazingira kwa mibendera
Serikali yako ya chuma haijawapeleka mahakamani kwa uhujumu uchumi?Lete mchanganuo wa matumizi ya mil. 326 kwa mwezi! Mbowe na baba mkwe wanatia kibindoni!
Mkuu. Mwambie Mh Rais Magufuli aamlishe HAKI itendeke kwenye uchaguzi alafu baada ya hapo utakuwa na la kuongea kuhusu kufa kwa chadema.Mpaka sasa Chadema umepoteza mwelekeo, haina uhakika hata na kiti kimoja cha udiwani. Anahutajika mtu wa kuivusha Chadema, Mbowe hana jipya, mbinu za Magufuli haziwezi kabisaaaaaa