data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Mbowe amesikitishwa na hali iliyofikia sasa ya vyombo vya Habari kuogopa kutangaza habari za Chadema ambapo amesema waliwasiliana na vituo vyote vya Telesheni ili kutangaza mubashara mkutano mkuu Lakini wote waliogopa na kusema ni vigumu kwao kutangaza mkutano wa Chadema.