nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,624
Daaaaah kwa hiyo jamaa kaamua kumuweka mtu wake... Zidumu fikra za mwenyekitiiiii ha ha ha ha haaaaa kumekucha ngoja nikaongeze pop corn..muvie ndio kwanza limeanza
Kaanzisheni chama chenu, kwenye CCM kundi la Lowassa ni kundi lla vibaka waliovamia chama kwa mujibu wa Makongoro
haa haa huyo mmasai usishangae akawekewa ulinzi maalumu asifurukute. mtanzania anayejitambua hawezi kumpa membe kura kamwe. kura ni ukawa...
Mkuu,
Mimi siku ile anatangaza nia ya kuwa mgombea niliangalia/kusoma body language nikagundua kuna mtu/kikundi kiko nyuma ya Makongoro Nyerere.
Makongoro alikuwa ni proxy solder huku akitumia majukwaa ya kuomba udhamini kama uwanja wa kumwaga sumu ambayo viongozi wa juu wa CCM walishindwa kuimwaga.
Hata mdahalo maalum wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere lililofanyika juzi lilikuwa na malengo yale yale aliyokuwa akiyatafuta Makongoro.
Butiku, Warioba na Polepole walitumia muda mwingi kwenye mdahalo kumshambulia Lowassa na watu wake.
Hii ni video ya yaliyosemwa katika Mdahalo huo maalum
[video]https://youtu.be/d8SdnhJNOlM[/video]
WAMETUWEKEA BABA MDOGO!!
IS THIS A FAMILY COUNTRY?
WAJUMBE WA NEC SUSIENI UJINGA HUU,THIS IS QUIET NOT FAIR!!
CHAGUO LA WENGI NI LAZIMA AREJESHWE!!
WE ARE NOT A SULTANATE COUNTRY!!
MKAPA,MWINYI SAIDIENI KUTUONDOLEA UDIKTETA HUU!!
THIS IS TOO MUCH!!/
**DEMOKRASIA ITUMIKE ZAIDI WENGI WAPE**
**TAIFA INAELEKEA WAPI? ENDAPO DEMOKRASIA INAPUUZWA**/ii
haa haa yaani jk kafanya kila awezalo kuhakikisha ndugu yake membe anapita ili nape apate ubunge mtama. duh kazi ipo...
Hama chama....Ama kaanzisheni chama chenu
JK is really strategic thinker, will have peaceful retirement
Jamani ndo nimekurupuka usingizini, eti Lowasa kakatwa? Kwikwikwikwi.... ndo maana naona wastaarabu tu humu ndani, dah mbwembwe zote zile! Walahi ningehama nchi, kwikwikwi....
Mkuu,
Mimi siku ile anatangaza nia ya kuwa mgombea niliangalia/kusoma body language nikagundua kuna mtu/kikundi kiko nyuma ya Makongoro Nyerere.
Makongoro alikuwa ni proxy solder huku akitumia majukwaa ya kuomba udhamini kama uwanja wa kumwaga sumu ambayo viongozi wa juu wa CCM walishindwa kuimwaga.
Niliuliza maswali kwenye Thread hii,
Hata mdahalo maalum wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere lililofanyika juzi lilikuwa na malengo yale yale aliyokuwa akiyatafuta Makongoro.
Butiku, Warioba na Polepole walitumia muda mwingi kwenye mdahalo kumshambulia Lowassa na watu wake.
Hii ni video ya yaliyosemwa katika Mdahalo huo maalum
[video]https://youtu.be/d8SdnhJNOlM[/video]
Tumekuwa tunaambiwa Lowassa ana 'maamuzi magumu', tunayasubiri kwa sasa hayo maamuzi magumu!
Namsubiri kwa hamu sana Mzee Kingunge jinsi atakavyotoa maagizo sehemu gani ianze kuchimbika,teh teh teh....
ccm wamebugi hayo majina huyo migiro u.n ilimshinda, makamba bado mtoto, magufuli ni mtekelezaji na sio kiongozi, membe hamna kitu hapo na huyo asha sijawai kumsikia, ukawa jiandaeni kuchukua nchi. PEOPLEES