Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Wakuu Mungu amesikia maombi yetu, UKAWA hiyooooo namuona Dr Silaa akipanga baraza la mawaziri Waziri Mkuu Mbatia, mwanasheria mkuu Tundu Lisu, Waziri wa ardhi Harima Mdee waziri mambo ya ndani Godbless Lema na....
 
Hilo hata mimi naliona. Huenda team Lowasa wakampigia debe Magufuri kwa hasira ya Membe kupitishwa. Mbali na hapo naona Magufuri anaweza kukukwama maana Membe naye ana watu NEC na mkutano mkuu.

Kama wafuasi wa lowasa wataamua kumsapoti magufuli ni dhahiri membe hana chake next presdaaa ni magufuli
 
Sijui mimi ni mnafiki. Sikuwahi kuwa shabiki wa EL lkn kwa tano bora hii mara laki moja EL. Wamaana hapo ni Magufuli tuu.
 
Uchambuzi mzuri ulichosahau kusema ni kuwa wote ni team Membe
 
Sipati picha Wale wapambe wa Mamvi sijui sasa hivi watakuwa na jipya gani?,Eti ooh!,safari ya matumaini,wengine ni waimbaji wa nyimbo zq injili wakampamba kana kwamba hawajui mapesa ya wananchi yaliyo ibwa na huyu mzee,wengine wanafunzi wa vyuo vikuu nao wakajifanya kumpenda kwelikweli!,eti atatengeneza ajira za vijana wapi na wapi!,wengine viongozi wa dini.
 
Hijawahi kutokea, mbwembwe zoote, pesa zoote na nguvu zoote alizotumia mh Edward lowasa na sasa ametolewa nje!

Janja ya lowasa ilionekana toka zamani alijifanya kuwa na upendo kwa makundi mengi ya kijamii ilhali akijulikana dhahiri kuwa hafai ktk urais.

Nimefurahi sana anguko la ufalme huu wa Giza CCM!
 
Ahsante Mungu kwa kusikia kilio cha watanzania, manake angepitishwa huyu mamvi waja wako tungepata shida sana.
Membe iz our new prezidaaaaaaaaa

Kura ziko kanda ya ziwa,hatutaki tena watu legelege !Maana tabia yao huwa kuwatisha raia kwa mabomu ili wawe na hofu na hivyo wasipingane na maamuzi yao yoyote hata kama ni mabaya!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Kumekuwa na ubaguzi wa hali ya juu sana ndani ya cm kuhusu watu wanaotoka kanda ya kaskazini na kihistoria watu wanaotoka kanda ta kaskazini wanapopewa nafasi za juu huwa wana deliver sana.
Mfano, sokoine, msuya nk

napenda niseme mwaka huu ni mwaka wa kaskazi piga ua galagaraza ni kaskazini dr.slaa,makamba,lowassa
 
Nami nasema piga ua URAIS ni Nyanda za juu kusini.
Utake Usitake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…