Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

mazingira yote ya kumla kichwa edo ni kumjenga membe...leo..humo ndani kura zinapigwa tu kukidhi sheria na katiba ila wenzio wana matokeo mkononi...
Kumbe hadi humo uchakachuaji upo?
 
mazingira yote ya kumla kichwa edo ni kumjenga membe...leo..humo ndani kura zinapigwa tu kukidhi sheria na katiba ila wenzio wana matokeo mkononi...
Membe keshakatwa mkuu. Makamba pia.
 

Membe ni Muislamu pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…