Baada ya Jina la aliyekuwa akiaminiwa na watu wengi kuwa atakuja kuwa Kiongozi mzuri ndani ya chama cha mapinduzi CCM, ambayo watu wengi walianza kupoteza uaminifu haswa vijana kukatwa jina, Vijana na wasiovijana zaidi ya 10,000
wajipanga kuhamia UKAWA kutokana na utaratibu mbovu wa wanachama wa chama chicho tawala kuonekana kushindwa kufuata kanuni na taratibu za chama.
CCM go the Hell.......
Kundi hili la vijana walikuwa wameunda TEAM Lowassa, wamedai kuwa walikuwa UKAWA lakini wakahamia CCM baada ya kusikia kwamba Mhe,Lowassa anachukua Fomu.
Pia wamedai kuwa endapo lowasa atafanya maamuzi magumu na kuhamia chama chochote cha siasa,hatuna budi kuongozana naye.
Ili mradi aachane kabisa na SISIEM!!