Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Kazi sio ndogo..
 

Attachments

  • 1436553457858.jpg
    1436553457858.jpg
    60.7 KB · Views: 672
Mpaka dakika hii moshi bado ni mweusi huko dodoma ikiashilia bado majina matano hayajapatikana

Watu kutoka maeneo mbali mbali ya nchi wameelekeza maskio na macho yao huko dodoma kuangalia kama moshi mweupe umetoka kutoka kwenye ofisi kuu za ccm mjini dodoma
 
Mpaka sasa atakuwa katenganishwa kichwa na kiwiliwili?
 
Haya sasa, habari ndiyo hiyo. Lowasa kapita 5 bora.

Nilipost post asubuhi juu ya ukweli kuhusu Lowasa kupita na sasa anajiandaa kutafuta 1bora uzi ukafutwa baada ya Nape kulalamika kuwa tunapotosha wakati anajua kuwa ukweli tumeupata.

Wana bod narudia tena Lowasa kapenya 5 bora na hii ni taarifa niliyoipata tena muda huu toka kwa reporter wangu aliopo dodoma.

Narudia tena kama nimedanganya nilimwe ban

Edward Sambai naona unaleta mahaba yako na hapo hapo unachanganya na Utabiri wako halafu unadai ni tetesi za ukweli.
Kikao cha Kamati kuu ambacho ndio kinachuja majina ya wagombea wa urais wa CCM kilianza leo saa kumi jioni, sasa wewe unadai umetonywa toka asubuhi kuwa tayari Lowassa amepenya top 5, how?
 
Last edited by a moderator:
Hivi nyie mnavyohisi lowassa sasa hivi yupo wapi?
Kalala?
Anakunywa kahawa?
Yupo na watu wakumtia moyo?
Au yupo peke yake sebleni anaangalia kipima joto?
 
Haya sasa, habari ndiyo hiyo. Lowasa kapita 5 bora.

Nilipost post asubuhi juu ya ukweli kuhusu Lowasa kupita na sasa anajiandaa kutafuta 1bora uzi ukafutwa baada ya Nape kulalamika kuwa tunapotosha wakati anajua kuwa ukweli tumeupata.

Wana bod narudia tena Lowasa kapenya 5 bora na hii ni taarifa niliyoipata tena muda huu toka kwa reporter wangu aliopo dodoma.

Narudia tena kama nimedanganya nilimwe ban
Invisible plz pita hapa na like hii post
 
Last edited by a moderator:
by Ritz;
UKAWA mtakesha?



Ritz, UKAWA tunachochea KUNI ili mpigane na KUUANA kabsA ili october KIULAINIIIIII ukawa magogoni!

"HAKATWI MTU HAPA"!
 
Last edited by a moderator:
Moshi tena? Bila shaka baadaye utaanzisha uzi mwingine kutujuza chanzo cha moshi huo na kama kuna madhara yoyote ya kibinadamu na mazira umesababisha!
 
Back
Top Bottom