Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani hizi comments nacheka sana...Kwa nini msiwe wapole? Mambo yatawekwa hadharani.
Haya sasa, habari ndiyo hiyo. Lowasa kapita 5 bora.
Nilipost post asubuhi juu ya ukweli kuhusu Lowasa kupita na sasa anajiandaa kutafuta 1bora uzi ukafutwa baada ya Nape kulalamika kuwa tunapotosha wakati anajua kuwa ukweli tumeupata.
Wana bod narudia tena Lowasa kapenya 5 bora na hii ni taarifa niliyoipata tena muda huu toka kwa reporter wangu aliopo dodoma.
Narudia tena kama nimedanganya nilimwe ban
Wametumia ganzi au wamemkata kikatili?
wewe utagonokea humu taraweeUKAWA mtakesha?
Kawashika pabaya sana,nahisi washalazimishwa wamtaje bila hiari yao.
Invisible plz pita hapa na like hii postHaya sasa, habari ndiyo hiyo. Lowasa kapita 5 bora.
Nilipost post asubuhi juu ya ukweli kuhusu Lowasa kupita na sasa anajiandaa kutafuta 1bora uzi ukafutwa baada ya Nape kulalamika kuwa tunapotosha wakati anajua kuwa ukweli tumeupata.
Wana bod narudia tena Lowasa kapenya 5 bora na hii ni taarifa niliyoipata tena muda huu toka kwa reporter wangu aliopo dodoma.
Narudia tena kama nimedanganya nilimwe ban
Lowasa akikatwa basi ntaamini Mungu hayupo
Hongera Mkuu na pole sana
Kaka hakuna timing yeyote dawa ya kobe ni sululu ya mgongo tu na biashara inaishia hapo.Kumchinja kobe kuna hitaji timing mkuu