Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Ametmia lugha ya picha tu....kama ww ni mkatoliki utaelewa kipindi papa anachaguliwa pale vatcan
 
Haya sasa, habari ndiyo hiyo. Lowasa kapita 5 bora.

Nilipost post asubuhi juu ya ukweli kuhusu Lowasa kupita na sasa anajiandaa kutafuta 1bora uzi ukafutwa baada ya Nape kulalamika kuwa tunapotosha wakati anajua kuwa ukweli tumeupata.

Wana bod narudia tena Lowasa kapenya 5 bora na hii ni taarifa niliyoipata tena muda huu toka kwa reporter wangu aliopo dodoma.

Narudia tena kama nimedanganya nilimwe ban

mkuu kama ni kweli lowasa ndo mgombea wa urais kupitia ccm. hongera kingunge.....
 
Sio kumkata tu wahakikishe wanamzika uko uko dodoma tusione hata maiti yake
 
Kazi sio rahisi kama mnavyodhani, huenda ikatufikisha usiku wa manane.Kwa sasa tuna majina matatu,mwanamke mmoja,mzanzibar pamoja na Magufuri,endeleeni kuwa na subira.
 
Back
Top Bottom