Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Sidhani kwamba ccm wanaweza kumpitisha mtu waliyekuwa wakizunguka huko na huko wakimuita fisadi na GAMBA. Haiwezi tokea na ikitokea basi ccm ni chama dhaifu kuliko tunavyodhani..!!

BACK TANGANYIKA

haa haa akipita 5 bora nitaamini ufisadi ndo sera rasmi huko ccm. na je ile gic ya kumsafisha mgombea wao itabidi ibebwe kila mahali wakati wa kampeni kumsafisha.
 
vipi huyo mzee wa kimasai bado huko dodoma hawajamkata govi?
 
Huku tunaelekea kukesha kwa siku Ingine tena... tatizo ni nini, si watangaze tu
 
jamaa katoka kuvuta sigara anasema muda wote walikua wanajadili video ya Kingunge na ile ya Nyerere inayohusu mgombea anayekubalika
 
mimi nime sikia baadhi ya wajumbe nje hapa ya makao makuu kuwa wanajaribu kumshauri aliondoe mwenyewe jina.Ili kutuliza upepo wasionekane wamelikata wao.Hali ni tete kwa uamuzi wowote.Wakimkata chama kitaharibikiwa.Wakimwacha kwenye tano bora amepata na hivyo kejeli zao atazilipiza kwavyovyote vile.Mtu kama Nape ana jua akipita EL,ita bidi arudi kijijini kulima nyanya

Akatwe tu
 
Haina ubishi kwamba huyu mheshimiwa ni maarufu kuliko chama chenyewe sasa,,maana macho na masikio ni kwa lowasa tu,,jamaa anawapa shida wenzake huyu
 
We need a choice of God and not Men. Whoever God gives favour we must accept and choice must be put aside. God bless you.
 
Tukutane mapema kesho si unajua nini kinafata kama ukipoteza hiyo zahabu yangu.....tutagombana sana coz tupo wengi sana jamaa me sijalala na silali mpaka j3
 
Back
Top Bottom