Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm wameshagundua sisi mapoyoyo acha watupelekeshe kama gari lililokosa breki.
Ingekuwa enzi za nyerere saa hiz kingeshaeleweka zamaaaaani...lakini leo naona ccm hakuna straika wa kuamua mchezo ndio maana mechi imeenda muda wa nyongeza had matuta lakini bado holaa...! Ccm ya sasa ni kama brazil ya sasa hakuna mastraika wa kumaliza gemu...!
Ukatae ukubali shauri yako lakini Magufuri ndio atakae pita 5 bora, 3 bora na hatimae 1
Mbona maamuzi yanakua magumu, hata majasiri wanagwaya kutoa maamuzi maguma
Yaani hizi comments nacheka sana...Kwa nini msiwe wapole? Mambo yatawekwa hadharani.
Mbona sioni wanasiasa wakongwe kama Sitta, Pinda, Mwakyembe, Bilal, Wassira na Sumaye ambao wametangaza nia wakiongelewa humu? au ndo washakubali matokeo? Yaani wanashindwa kuungana wote angalau tukasikia ata tetesi feki ya kuwemo 5 bora? Hakika siasa za urais zina wenye nazo