yungsteval
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 309
- 109
Haya sasa, habari ndiyo hiyo. Lowasa kapita 5 bora.
Nilipost post asubuhi juu ya ukweli kuhusu Lowasa kupita na sasa anajiandaa kutafuta 1bora uzi ukafutwa baada ya Nape kulalamika kuwa tunapotosha wakati anajua kuwa ukweli tumeupata.
Wana bod narudia tena Lowasa kapenya 5 bora na hii ni taarifa niliyoipata tena muda huu toka kwa reporter wangu aliopo dodoma.
Narudia tena kama nimedanganya nilimwe ban
Hakatwi mtu hapa,,akikatwa patachimbika
Hii ndio nimeota mda huu na lowasa yumo
1.JOHN P MAGUFULI
2.BERNARD MEMBE
3.Prof MACK MWANDOSYA
4.EDWARD N LOWASSA
5.ASHAROSE. MIGIRO
Hatuandamani hatunywi sumuuuuuu
Ccm mbele kwa mbeleeee
Tumeipenda wenyeweeee
1.JPM
2.ARM
3.MM
4.EL
5.MY
Haya sasa kazi kwishaaa
Subiri, orodha ikishatolewa utasikitika!
Makasisi,mapadri,mashekhe,Na mitume na manabii wote akikatwa lowassa wataporomoka kihiduma na kinabii.Na majina tunawajuwa wote,wa nje na wa ndani ya tanzania.