Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais


FIRE wanatakiwa wajulishwe
 
watu wanaweza kurefresh page mpaka asubuhi yakawa kama ya jana kumbe ..wajumbe wamehailisha wamelala..ccm bana
 
Makasisi,mapadri,mashekhe,Na mitume na manabii wote akikatwa lowassa wataporomoka kihiduma na kinabii.Na majina tunawajuwa wote,wa nje na wa ndani ya tanzania.
nasubiri hii kitu mkuu , wanafiki wote wataumbuka sana .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…