Sisiyemu kuna ambae siyo mwivi????sharti awe ametutumikia ili tumuuze vizuri kwa wananchi na sio mwizi,
Kumbuka sisimizi aweza kumuua tembo. Achana na hofu za kibinadamu.
Kosovo,,Kwani akikatwa itakuwaje?
Unampenda wewe na familia yako pamoja na ndugu zako wa ukoo wako
3.Pinda hafai...hafai...hafai...hafai....kabisa wala sihitaji kuweka ushahidi kila kitu kiko wazi
5.January arudi shule tu mwizi + familia yake tu haiwezi ndio ataweza nchi.....hafai
5.Mwanamke big No!! Atakuwa kilemba tu kama bibi kiroboto
Kosovo,,
Hadi ifike jtatu hili neno la "AMEKATWA" litakuwa limeandikwa na kutajwa ziadi...
Hahaaaaaaa
Mamvi katoboa tano bora.