Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Hapo cdhani kama tutaletewa 5 bora. Sana sana tukiambulia ni 3 bora na yenyewe tutapewa ndani ya 1hr kabla ya kuingia mkutano mkuu. Hiyo ni technique ya kuzuia waliokatwa kupanga mageuzi kwa wajumbe.... chezea ccm wewe.
 
Haya sasa, habari ndiyo hiyo. Lowasa kapita 5 bora.

Nilipost post asubuhi juu ya ukweli kuhusu Lowasa kupita na sasa anajiandaa kutafuta 1bora uzi ukafutwa baada ya Nape kulalamika kuwa tunapotosha wakati anajua kuwa ukweli tumeupata.

Wana bod narudia tena Lowasa kapenya 5 bora na hii ni taarifa niliyoipata tena muda huu toka kwa reporter wangu aliopo dodoma.

Narudia tena kama nimedanganya nilimwe ban

Sidhani kwamba ccm wanaweza kumpitisha mtu waliyekuwa wakizunguka huko na huko wakimuita fisadi na GAMBA. Haiwezi tokea na ikitokea basi ccm ni chama dhaifu kuliko tunavyodhani..!!

BACK TANGANYIKA
 
Kweli bana.mi mwenyewe huku watu wanapigiana simu 'amekatwa' 'amekatwa'.watu watapatwa na presha kesho!,,,,,,only time will tell!
 
Ama kweli Lowassa ni noma ndani ya ccm, japo simpendi lakini napenda alivyoteka siasa za Tanzania.
 
Duh tano bado kutangazwa tupo page 105 kwenye hii thread, bila shaka mpaka huu mchakato uishe tutakuwa na page zaidi ya 3000
 
Waganga wamejaa viunga vyote vya Dodoma. Sasa wanakamati wote wamechanganyikiwa.
 
Haya sasa, habari ndiyo hiyo. Lowasa kapita 5 bora.

Nilipost post asubuhi juu ya ukweli kuhusu Lowasa kupita na sasa anajiandaa kutafuta 1bora uzi ukafutwa baada ya Nape kulalamika kuwa tunapotosha wakati anajua kuwa ukweli tumeupata.

Wana bod narudia tena Lowasa kapenya 5 bora na hii ni taarifa niliyoipata tena muda huu toka kwa reporter wangu aliopo dodoma.

Narudia tena kama nimedanganya nilimwe ban
[/QUOT

Mkuu kweli? tupe list kamili basi au unacheza bahati nasibu?
 
Yaani hizi comments nacheka sana...Kwa nini msiwe wapole? Mambo yatawekwa hadharani.
 
™Ccm tuliwaeleza hatuwahitaji mkakaidi tutawakaya tu™ hamna namna unless mtupie goli LA maradona..only we need freeand fairelection
 
Back
Top Bottom