Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Sijui jema lipi lifanywe ili kuona CCM ipo sahihi.
Comment nyingi ziliandikwa kuwa CCM ikimsimamisha Lowasa ndo itakuwa mwisho wake, amekatwa watu wanadai UKAWA itashika dola. Au isingemsimamisha mgombea?
 
Shein yeye hana mpinzani urais serikali ya mapinduzi zanzbar. Ameshatangazwa kitambo. Spati picha ccm visiwan huku ukawa bara
 
Wakuu nijuzenn, itawezekana kweli haya majina kutenguliwa na kupitishwa upya??? Naomba tu kujua
 
Mwaka huu naiona harufu ya vurugu kali ndan ya ardhi ya tz,
CCM wamechagua watu dhaifu na wasio na uwezo wa kuongoza nchi hapa natabir ushindi kwa wapinzan lakn CCM hawatakubali kushindwa watatumia plan B ili kushinda sasa hapo ndipo hata wapinzan hawatakubali hapo tayar vumbi ndan ya nchi yangu.
 
Acheni ujinga wa kuingiza UDINI hapa, katika watano Migiro, Magufuri na Membe dini moja na Amina na Makamba dini nyingine udini uko wapi hapo? Msitudanganye Fisadi mwenzenu hakupita mnawaza mirija yenu mtaiweka wapi sasa mnataka kuleta uchochezi, Shame on you!!

Asha-Roze Mtengeti Migiro
Bernard Bakari Membe
Amina Salim
January Makamba


Hao wote ni waislam

John Pombe Magufuli

Huyu ni mkristo.
 
Muulize huyo mjumbe kala maharage ya wapi? nani kamroga? au kavembewa wali..
 
Akiwa anahojiwa na Charles Hilali Kingunge amesema mazingira ya kuwakata baadhi ya wagombea yalijengwa mapema,na viongozi waliopo serikarini mapema kabisa.
Sasa maamuzi yanayo tokea na yatakayo tokea,yatatokana na kile ambacho kiliandaliwa toka mwanzo.
chok
wao wavunjike tu vipande vipande tumewako wanafiki wakubwa
 
Mwaka huu naiona harufu ya vurugu kali ndan ya ardhi ya tz,
CCM wamechagua watu dhaifu na wasio na uwezo wa kuongoza nchi hapa natabir ushindi kwa wapinzan lakn CCM hawatakubali kushindwa watatumia plan B ili kushinda sasa hapo ndipo hata wapinzan hawatakubali hapo tayar vumbi ndan ya nchi yangu.

Be positive.
 
Kajiabisha mwenyewe lowasa,alikua akitamba eti hakuna wa kinikata ndani ya ccm,akitishia watu sasa tunataka tuone atafanya nini fisadi huyu.
 
Back
Top Bottom