Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu, Coplo Hafidh Abdallah Mohamed atoa ushahidi wake, kesi kuendelea Jumatatu 01 November 2021

Kuna mtu humu JF ananeno lake anasema huu ni weledi wa kitanzania. Lengo la kumleta huyu shahidi wa leo ni lipi haswa? kama yeye si wa fingerprint wamlete huyo wa fingerprint, sio hizi story za leo.
nimeshindwa kufigure out huyu wa leo what point was he trying to drive home?
 
kukalilishwa
 
Ilo shoka kwa ajili yakumsaizi/kumkata vipande ili awez kuingizwa kwenye freji kwa lazma.
Masoud Great Thinker!!Hyo katuni Inaweza amsha mambo!Please ameshika shoka sjui anataka kulitumia kufany nini. Nchi yangu hii Sjui tunakoelekea wapi???!!
 
Mbona huu ushahidi wa huyu shahidi wa 3 tatu ni kama anaelezea background yake tu?
Yan utasema yuko kwenye usahili wa kazi..!duh..ila hata wale makomando wa mbowe nao walikua wanajiachia hiv hiv kwenye keai ndogo..kuimba kupokezana..ila jamaa kanichosha hata kusoma
 
Hahaha leo nmefurahshwa maswali na majibu ya mwanasheria malya na shahidi.
 
Unafanya kazi gani kanisani?

Mimi ni msaidizi wa padre

Wewe ni mkatoliki?

Hapana, mimi sina dini
Huwezi kuwa msaidizi wa Padre usiwe mkatoliki, NEVER!
unaweza usiwe mkatoliki lakini ukawa mfanya usafi , mpishi wa Padre, not otherwise!
 
nimeshindwa kufigure out huyu wqa leo what point was he trying to drive home?
Nadhani anataka kutupruvia kuwa bastola yenye risasi tatu inaweza kufanya ugaidi, kutakatisha fedha na kuuza madawa ya kulevya...

Washtakiwa wako wanne... Kila mmoja angetumia risasi moja chini ya Usimamizi wa Mbowe

Nadhani hiyo ndio ilinunuliwa na ile laki sita wanayosema ilifadhiliwa na Mbowe
 
Umenichekesha mpaka machozi, yaani unafaa kuwa mtunga script. Thank you
 
Professional coz zote za kijeshi/kipolisi lazma usomee ukiwa ndan ya ajira

Uwe kusomea mambo ya silaha Tz hii wakt wew sio askari na hata ukiw askari lazm uchaguliwe na usomeshwe hizo coz na serikali



Labda mataifa mengne

 
[emoji16][emoji16][emoji2]
 
Sasa polisi anaulizwa unajua kesi ya ugaidi ni kubwa au ndogo?

Anajibu... sijui

Polisi hajui kama kesi ya ugaidi ni kubwa?????

Hawa ndio wale wa division 4 ya 32?
Hivyi waziri aliposema wanatakiwa was div.four anamaanisha ndo haohao wanajizana maswali na jamaa wenye masters of law?

Au Kuna wengine?
 
Watuhumiwa wanarudi rumande,
Jaji na mawakili wanakwenda kulala majumbani mwao.[emoji848][emoji848]
 
Kwa mujibu wa Shahidi:
Terrorist= Ugaidi
Terrorism= Utalii

Kwenu wajuvi wa lugha ya malkia, Ni dictionary gani inasema hivi?View attachment 1991032View attachment 1991034
Moja ajitolee kutusaidia kujua uhusiano wa Mzee wa vilipuzi na jambazi saa mbaya. Kwani hapa naona kama Kuna kutengenezwa ubambikiaji unaoweza kuasisiwa na timu bambikizi Ili dereva aweza kuwa Ile saa mbovu, kabla ya kuwekwa nyavuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…