Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu, Coplo Hafidh Abdallah Mohamed atoa ushahidi wake, kesi kuendelea Jumatatu 01 November 2021

Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu, Coplo Hafidh Abdallah Mohamed atoa ushahidi wake, kesi kuendelea Jumatatu 01 November 2021

Kesi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake itaendelea leo katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa, ambapo upande wa mashitaka utaleta shahidi mwingine.

Fuatilia hapa kujua kitakachojiri katika mchakato mzima wa kesi hiyo kwa siku ya leo 29/10/2021


UPDATES

Mpaka sasa mawakili upande wa utetezi tayari wamewasili mahakamani.

Mpaka sasa ni saa nne kasoro, kesi bado haijaanza.

Jaji anaingia 3:50

Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe dhidi ya Jamhuri inatajwa.

Wakili wa Serikali Robert Kidando anasimama kutambulisha

1. Robert Kidando
2. Nassoro Katuga
3. Ignas Mwanuka
4. Esther Martin
5. Tulumanywa Majige
6. Jenitreza Kitali
7. Abdallah Chavula

Wote ni Mawakili wa Serikali Waandamizi isipokuwa Jenitreza Kitali ni Wakili wa Serikali.

Wakili wa Serikali Robert Kidando: Shauri limekuja kwa ajili ya kusikilizwa na Leo tuna shahidi Mmoja, tupo tayari Kuendelea

Jaji: Utetezi

Wakili Peter Kibatala: na sisi tupo tayari Kuendelea

Jaji anaandika

JAJI: Anakuwa Shahidi namba ngapi?

Wakili wa Serikali: Namba 03

Jaji: Majina

Shahidi: namba F 5914 D Coplo Hafidh Abdallah Mohamed

JAJI: umri

Shahidi: 38yrs

Jaji: Kazi S

hahidi: Askari Polisi

Jaji: Dini

Shahidi: Muislam

Shahidi: Mimi namba F5914 Coplo Hafidh naapa kuwa kwa ushahidi huu nitakaotoa utakuwa wa kweli, Eeeh Mwezi Mungu nisaidie

JAJI: KIAPO KIPO SAWA?

Jaji: asaidiwe

Shahidi: Mimi Coplo Hafidh nathibitisha kuwa Ushahidi nitaka toa utakuwa wa kweli, kweli mtupu, Eeh Mwenye Mungu nisaidie

Wakili wa Serikali: nitakuuliza Maswali utajibu kwa Sauti

Wakili wa Serikali: Kazi yako

Shahidi: Askari Polisi, nafanya Makao Makuu DSM

Wakili wa Serikali: Askari polisi tangu lini

Shahidi: 2013

Wakili wa Serikali: Ieleze Mahakama tukufu Kituo chako cha kazi ni wapi

Shahidi: Forensic Beaural Dar es Salaam

Wakili wa Serikali: Forensic Beaureau ni kitu gani

Shahidi: ni Maabara ya Uchunguzi wa Kisayansi

Wakili wa Serikali: Upo Kitengo gani

Shahidi: Silaha na Milipuko

Wakili wa Serikali: ieleze Mahakama Kitengo chako kinahusika na Nini (Ballistic and Explosions)

Shahidi: Uchunguzi wa silaha na Milipuko

Wakili wa Serikali: Upo tangu lini?

Shahidi: Tangu 2014

Wakili wa Serikali: umesema Kitengo Chako Kinahusika Kuchunguza silaha, eleza Majukumu yako ya Msingi ni yapi

Shahidi: Kuchunguza Kitako cha Risasi(cartridges)

Wakili wa Serikali: Jingine

Shahidi: Kwenda Eneo la tukio kwa Uchunguzi

Wakili wa Serikali: Jingine

Shahidi: Kuandaa Riport baada ya Kuchunguza Ballistic and Explosion Report

Wakili wa Serikali: Jingine

Shahidi: Kutoa Ushahidi Mahakamani

Wakili wa Serikali: ieleze Mahakama kama unajukumu lingine

Shahidi: Hakuna

Wakili wa Serikali: Mnafanya Mambo yapi

Shahidi: Kupokea Silaha mbalimbali zinazofanya Uhalifu, Je hii silaha Inafanya kazi..? Hii silaha ni Mzima..? Hii sasa ni Physical Examination.

Wakili wa Serikali: sasa Mnafanya nini

Shahidi: Tunafanya Visual Examination

Shahidi: hii Bunduki ni Mzima, Ina Koki,.? Ina Magazini.? Je Magazini ni Nzima..? Kama inagonga Vizuri kama Nyundo inanguvu..? NitaIkoki katika Upande wa Mitambo Inafanya Vizuri Je Fine pin Inafanya Kazi?

JAJI: fine pin ni nini?

Shahidi: Kiwashio cha Risasi

Shahidi: Nitaangalia Ndani ya Bao (Mtutu) internal Ballistic Ni Safi..? Nitaikoki kama Inafanya Vizuri, Ni hayo tu

Wakili wa Serikali: sasa Uchunguzi wa aina ya pili ni upi

Shahidi: Nimepokea Pistol au SMG

WS: Unaitwaje huu Uchunguzi wa Pili

Shahidi: Comparison Examination

Wakili wa Serikali: Kitu gani kinafanyika

Shahidi: Nachukua Ganda nililoletwa na Mteja Kisha napeka kwenye Mitambo Maalum

WSi: Unafanya hii Comparison Kubaini nini

Shahidi: Je hii Risasi inasifa hii

Wakili wa Serikali: Mnatumia Mitambo Maalum

Shahidi: Unaitwa Computer Microscope and digital Camera Forensic Machine LAECA 2004

Wakili wa Serikali: Umeeleza Vyema, Kuhusu Uchunguzi wa Silaha Kwenye Risasi unafanya kitu gani

Shahidi: Kitaalamu inaitwa Life ammunition...Risasi itaangalia Kiwashio, Je imegongwa..!

Wakili wa Serikali: na hiyo Miss fired ieleze Mahakama, Je live ammunition ikiwa Miss fired Maana yake ni nini

Shahidi: Ni mbovu sababu ulipiga haikulipuka

Wakili wa Serikali: fafanua sasa Mahakamani endapo haijagongwa ni vipi

Shahidi: kama haijagongwa ni Nzima

Wakili wa Serikali: Tofauti na Kugomgwa na kutokugongwa Mnafanya kitu gani

Shahidi: tunaangalia Gun Powder Resolutions

Shahidi: kwemye Risasi Kuna Powder tunaangalia Je powder yako imeganda au Nzima

Yani Bullets Catridge tuna angalia Michuruzi yani Internal Ballistic

Hizo alama za Kipekee tunasema Proved, Shahidi Tuna angalia kitu kinaitwa Twist, Twist silaha/Risasi Kuna Twist Right na Twist Left, Na angalia Counts inasema Twist Right na Left Nyingine unapopiga Kuna Counts Mbili unapopiga Mpaka Kumdhuru Mtu. Inatusaidie Silaha mbalimbali zinazoweza Kufanya uhalifu

Wakili wa Serikali: Tumalizie kwenye Mlipuko, unachunguza nini

Shahidi: Inapotokea Mlipuko wowote sisi tunakwenda Kwenye Eneo la Tukio (SCENE), Wanaenda Askari wa awali. Alafu tunaenda sisi wataalamu Kuangalia kama Kilichotokea ni Local Explosive au Industrial Explosive

Wakili wa Serikali: Wewe unautalamu gani sasa,

Shahidi: Kuchunguza Silaha Mbalimbali ambazo zinatumika kwenye Uhalifu

WS: Kozi ya kwanza

Shahidi: Kuchunguza Maganda ya Risasi Mbalimbali

WS: Ulifanya kwa Muda gani

Shahidi: kwa Miaka 2

Wakili wa Serikali: kingine tofauti ya kuchunguza

Shahidi: Kuandaa Riport za Kitaalamu

Wakili wa Serikali: Kozi gani Nyingine umefanya

Shahidi: Kozi ya Uchunguzi wa awali ya Upelelezi, Basic CID course

Wakili wa Serikali: Ulifanya Mwaka gani na wapi

Shahidi: Mwaka 2004 kwenye Polisi College Zanzibar

Wakili wa Serikali: Ulijifunza nini huko Zanzibar

Shahidi: Nilijifunza Mambo mbalimbali ya Kiupelelezi, Nilijfunza Bunduki Kupiga, Kuchukua alama za Vidole, kutafuta Finger Prints. Kulift Finger Prints, baada ya Kuchunguza Finger prints na Kuhamisha

Wakili wa Serikali: Kingine

Shahidi: Kufungua na Kuirudishia Bunduki

Wakili wa Serikali: Kingine

SHAHIDI: Nilipata Elimu ya awali Juu ya ku Collect Ushahidi Katika Crime scenes

Wakili wa Serikali: Ieleze Mahakama kama ulioata Kozi Nyingine

Shahidi: Baada ya Kurudi Ofisni nilihitajika kwenda Kozi Nyingine Moshi Mwaka 2006

Wakili wa Serikali: Ulijifunza kitu gani

Shahidi: Techniques, protocol in Fire arms Evidence

Wakili wa Serikali: fafanua

Shahidi: Kufungua silaha, Vifaa vyake Kuirudishia, na Kutengeneza kama inawezekana NikAfanya Polisi College Dar es Salaam ambayo inaitwa Ballist tools, fire arms, tools and Ballistic Materials testing Mwaka 2007.

Wakili wa Serikali: Kozi Nyingine

Jaji: Jina Kozi rudia

Shahidi: To determine and Examination of fire arms

Wakili wa Serikali: Wapi

Sahidi: Botswana police College Mwaka 2010

WS: NYINGINE

Shahidi: 2015 inaitwa Forensic in General

Ballistic Woundage, Vidonda, Mtu amepigwa Bastola amekufa naangalia Shooter alikuwa Upande gani

Wakili wa Serikali: ieleze Mahakama Utaratibu wa Kupokelewa Vitu Vya kufanyia kazi ukoje

Shahidi: Kwanza Mteja awe na Barua

Wakili wa Serikali: kwenye Barua kuna kuwa na nini

Shahidi: Barua ionyeshe kosa

Wakili wa Serikali: Kingine

Shahidi: aeleze nini anaomba tumfanyie

Wakili wa Serikali: Tofauti na Barua anakuwa na Nini

Shahidi: aje na hivyo Vielelezo husika sasa

Wakili wa Serikali: Barua pamoja na Vielelezo hupokelewa eneo gani na nani anapokea

Shahidi: anakuwa Afisa wa zamu anayetupangia Leo utakuwa zamu na Kupokea Vielelezo Tunakuwa wawili

Wakili wa Serikali: Makishapokea kama Afisa wa zamu anafanya nini

Shahidi: Tunapokea Barua na Kielelezo nafungua Kujiridhisha Alivyovileta yupo sahihi

WS: Ofisini Kwako Unapofanyia kazi, ifahamishe Mahakama Silaha au Mlipuko I natokea wapi

Shahidi: Vituo Vya Polisi na hata TANAPA kuja Kufanya Uchunguzi

WS: ieleze Mahakama Utaratibu wa Kupokelewa Vitu Vya kufanyia kazi ukoje

Shahidi: Kwanza Mteja awe na Barua

Alivyovileta yupo sahihi

WS: Ukishajiridhisha

Shahidi: Lazima niangalie Safety kabla haijaingia Laboratory

WS: Umeshajikizisha Vielelezo na Usalama sasa, Unatakiwa Ufanye kitu gani

Shahidi: Natakiwa Kuingia Laboratory nitai Register

WS: Barua pamoja na Vielelezo hupokelewa eneo gani na nani a napokea

Shahidi: anakuwa Afisa wa zamu anayetupangia Leo utakuwa zamu na Kupokea Vielelezo, Tunakuwa 2

WS: Mkipokea kama Afisa wa zamu anafanya nini

Shahidi: Tunapokea Barua na Kielelezo nafungua Kujiridhisha

WS: inapelekwa kwa Afisa incharge kwa Madhumuni gani

Shahidi: Lazima atambue ni silaha gani, Na nitampa Mtu Kuchunguza hii Kesi

WS: ieleze Mahakama Mnamo tarehe 25 November Unakumbuka ulikuwa wapi

Shahidi: Nilikuwa Ofisini Kwangu Makao Makuu madogo Dar es Salaam

WS: Kwa Kufanya nini

Shahidi: Nita andika Exibit K1 nitaweka FStroke ya Mwaka gani

Wakili wa Serikali: inapelekwa kwa Afisa incharge kwa Madhumuni gani

Shahidi: Lazima atambue ni silaha gani Na atampa Mtu Kuchunguza hii Kesi

WS: baada ya Kusajili Vielelezo Upelekwa wapi

Shahidi: Nitapeleka Sehemu ya Kuhifadhi silaha WS Barua utaipekeleka wapi

Shahidi: Kwa Afisa Incharge

Wakili wa Serikali: inapelekwa kwa Afisa incharge kwa Madhumuni gani

Shahidi: Lazima atambue ni silaha gani Na atampa Mtu Kuchunguza hii Kesi

Wakili wa Serikali: ieleze Mahakama Mnamo tarehe 25 November Unakumbuka ulikuwa wapi

Shahidi: Nilikuwa Ofisini Kwangu Makao Makuu madogo Dar es Salaam

Wakili wa Serikali: Ulikuwa wapi

Shahidi: Kwenye Dawati la Kupokea Vielelezo Mbalimbali

Wakili wa Serikalil Ulipokea Vielelezo Vipi Siku hiyo

Shahidi: nikipokea Vielelezo Kutoka Ofisi ya DCI, Ambavyo ni Pistol yenye namba A5340 callibre 9mm, Ikiwa na Magazine Yenye Rangi Nyeusi Na Nikapokea Risasi 03 WS: za Silaha gani

Shahidi: za Pistol Caliber 9mm

Wakili wa Serikali: Vielelezo hivyo viliambatana na nini

Shahidi: kwanza alivileta PC Goodluck kutoka Ofisi ya DCI

Wakili wa Serikali: Goodluck aliwasilisha nini

Shahidi: Barua

Wakili wa Serikali: baada ya Kupokea Vielelezo hivi na Barua ieleze Mahakama Ulifanya nini

Shahidi: Nilivi-Lebel kama nilivyosema awalI Pistol niliioa alama Exhibit K1, Nikosa ili kwa FB /BALL/LAB 158/2020

Wakili wa Serikali: na hizi Risasi 03

Shahidi: nilizipa alama ya K2 K3 na K4 Wakili wa Serikali: Risasi hizi ulizipa Usajili upi

Shahidi: 158 Kama Pistol

Wakili wa Serikali: Baada ya Kukamilisha Usajili wa Vielelezo Ulichukua hatua gani

Shahidi: Kufanya Uchunguzi wa Kuutambua Hiyo Bunduki na Risasi ni Nzima K2, K3 na K4

Wakili wa Serikali: na Kuhusu Vielelezo Pistol na Risasi ukafanya nini

Shahidi: Kwanza ile Pistol niliipima

Wakili wa Serikali: Kabla ya Kupima, Tupo kwenye hatua ya Upokeaji

Shahidi: Nika-Minutes Kumpelekea Boss

Wakili wa Serikali: Vielelezo Ukapeleka wapi

Shahidi: Nilipeleka Chumba cha Kuhifadhia Silaha

Wakili wa Serikali: Ieleze Mahakama Nani aliteuliwa kufanya Uchunguzi

Shahidi: Mimi Mmoja wapo

Wakili wa Serikali: Uchunguzi huo ulifanya lini

Shahidi: nilianza Kufanya Tarehe 25 Uchunguzi wa Awali

Wakili wa Serikali: Katika Uchunguzi wako Ulifanya nini Kulingana na Mahitaji

Shahidi: Hatua ya kwanza

Wakili wa Serikali: Mteja alikuwa anataka nini

Shahidi: Mteja alikuwa anataka Kujua ile Pistol na Risasi zilifanya kazi

Wakili wa Serikali: sasa wewe Ulifanya nini

Shahidi: Kwanza Ile Bastola nilipima na Kifaa kinaitwa GUN BARROW GAUGE

Hapo nilikuwa napima Kwenye Barrow yani Mtutu kwamba ile Callibre ni kweli 9mm

Nikaona ni kweli ipo sahihi ni 9mm

Wakili wa Serikali: KingiNe

Shahidi: nikatoa Magazine kumbuka ilikuwa na Magazine inaitwa MAGAZINE RELEASE, Naangalia Magazine yake ile Bastola ni ya kwake, Nikaona Okey Magazine ni ya Kwake

Wakili wa Serikali: Jingine

Shahidi: Ndani ya Magazine Kuna Spring ambayo Ukiweka Risasi inashuka Chini, yenyewe inapandisha Risasi juu, Nikaona Nzima Nikaangalia Nyundo Hummer Kama Nzima sometime inakuwa loose nimabaini, Nzima Nikaangalia Triger kwa kutumia Triger Pull ....kama inafika kwenye 100 nimEbaini ni Nzima

Shahidi: Nikaenda ndani ya Barrow nikatumia Mdeki Kuangalia kama Ilikuwa Safi au Chafu Kupoteza Ubora wake, Nimabaini Barrow lipo Vizuri halina Vumbi hakuna Mchanga Maana yake Barrow lipo safi, Lolote linaweza Kufanya Baada ya hapo nikaikoki kungalia Firing Pin Mechanism kama ..Nilibaini Ipo

Kwa hatua hiyo niliishia hapo

Wakili wa Serikali: Kwa Aina za Uchunguzi ulizotutajia huu ni Uchunguzi wa aina gani

Shahidi: ni Visual Examination

Wakili wa Serikali: kwenye zile Risasi 3 ulichunguza nini

Shahidi: pale niliingia Sana kwenye Pin Impresion kwa Maana Primer au Kiswahili Chake ni Kiwashio au Kitako cha Risasi

Wakili wa Serikali: Hatu gani ikafuata Shahidi: Hatua ya Pili ya Uchunguzi wa Pili

Shahidi: Nilichukua Risasi Mbili ya zile nilizoletewa callibre yake 9mm, Nikaenda kwenye Chumba Maalum Kwenye Chumba Kuna sehemu ya kupigia Silaha Mbalimbali.

Wakili wa Serikali: Ulienda na Kitu gani

Shahidi: Nilikuwa na Pistol na Risasi 03

Wakili wa Serikali: Ulienda Kufanya akitu gani hasa

Shahidi: Kuna Kifaa kinaitwa Tank Water Recovered Bullets

Ws: Kiswahili ni nini

Shahidi: Ni tanki la Maji tunalotumia kupata risasi

Wakili wa Serikali: Kwanini sasa Mnapiga Risasi Kwenye Tanki la Maji

Shahidi: ili Kupata Maganda ya Risasi na Vichwa vyake

Wakili wa Serikali: Kwanini sasa Mnapiga Vile Vielelezo

Shahidi: Najiridhisha sasa, Je Ni kweli zile Risasi ni Nzima.? Na kwenda Kupiga sasa

Wakili wa Serikali: Nini Matokea ya Uchunguzi wa Kina

Shahidi: Nikichukua Risasi Mbili nikaweka Kwenye Magazine Nikaweka kwenye ile Bastola nikapiga sasa, nikapata Maganda na Vichwa Vya risasi. Nikafanya hivyo tena kwa Risasi ya pili, nikapiga

Wakili wa Serikali: Risasi zako zilikuwa na alama, Je Risasi zina alama zipi ambazo ulipiga

Shahidi: K2 na K4

Wakili wa Serikali: Ulifanya nini sasa kuhusiana na Yake maganda

Shahidi: Nilienda kuyalebo yale Maganda yangu mawili

Wakili wa Serikali: Kwa kuyapa alama gani

Shahidi: T1 na T2, T1 ilikuwa K2 na T2 iliyokuwa K4

Wakili wa Serikali: baada ya Labeling Kitu gani sasa Kingine kilifuata

Shahidi: Nikaenda Kuandaa Report yangu (Ballistic Examination Report)

Wakili wa Serikali: baada ya Kuandaa Ulifanya nini

Shahidi: Nilisaini

Wakili wa Serikali: Kingine

Shahidi: Nilipiga Muhuri

Wakili wa Serikali: Muhuri gani

Shahidi: Forensic Beaural Dar es Salaam

Wakili wa Serikali: Kuhusiana sasa na Silaha Yenyewe

Shahidi: Baada ya hatua zote zote hizo nikafunga kwenye Mfuko na Nikafunga seal, nikasaini na Kuandika Tarehe

Wakili wa Serikali: Baada ya Kusaini Ukapeleka wapi

Shahidi: Chumba cha Kutunzia Silaha Wakili wa Serikali: Na Report yako sasa

Shahidi: Niliweka kwenye Bahasha na Nikairudisha kwenye File Book. Baada ya hapo nikiwa nasubiri wenyewe Waje Kuchukua Vielelezo vyao

Wakili wa Serikali: Vielelezo Vyao Vilikuwa Kuchuliwa Siku gani

Shahidi: Tarehe 27 November 2020

Wakili wa Serikali: Nani alikuja Kuchukua Vielelezo hivyo

Shahidi: Afande Swila Kutoka Ofisi ya DCI

Wakili wa Serikali: Nani aliyemkabidhi afande Swila hivyo Vielelezo

Shahidi: Mimi Mwenyewe

Wakili wa Serikali: Ulimkabidhi Swila Vitu gani

Shahidi: Riport yangu ya Kiuchunguzi Ballistic Examination Report, nikamkabidhi Pistol Moja ambayo ni Exibit K1 Callibre A5340 9mm Model yake CZ 41 Rangi Nyeusi Ikiwa na magazine yake. Pia nikamkabidhi Risasi Moja Nzima iliyobaki Ambayo nili nililebel K3. Nikamkabidhi Maganda Mawili na Bullets zake Yale Maganda niliyalebel kama T1 na T2

Wakili wa Serikali: ieleze Mahakama Kwamba tangu ulivyomkabidhi Swila ni Lini tena ulipata Kuviona tena Vielelezo

Shahidi: Jana

Wakili wa Serikali: Kwa Jambo lipi

Shahidi: ili aniletee Vielelezo Kwa ajili ya Ushaidi Mahakamani hii Leo.

Wakili wa Serikali: ieleze Mahakama hii Report yako ya Kiuchunguzi uliyoiandaa ni kitu gani kitakutambulisha

Shahidi: Kwanza Kwa Nembo ya Ofisi, Nembo ya Polisi Force a namba zangu F5914 Majina yangu ya Copo Hafidh Abdallah

Wakili wa Serikali: Kingine

Shahidi: Na Signature Na Muhuri wa Ofisi

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi anaonyesha anaweza akatambua Nyaraka aliyofanyia Kazi kwa Ruhusa ya Mahakama Tunaomba Kumuonyesha Shahidi anakabidhiwa

Wakili wa Serikali: Shahidi itizame hiyo Kabrasha Ndogo sasa Uimbie Mahakama nilichokupatia ni Kitu gani

Shahidi: Ni report Yangu niliyoindaa kuhusiana na Uchunguzi wa Silaha na Risasi

Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama Vitu gani vinaonyesha wewe Ndiyo uliandaa

Shahidi: Kuna Nembo ya polisi, Force Namba, Signature yangu, Kuna Muhuri wa Ofisi kwa hiyo Riport hii ni ya kwangu

Wakili wa Serikali: Unaiomba nini Mahakama hii

Shahidi: Naomba Mahakama hii Ipokee Riport yangu kama Sehemu ya Ushahidi

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi anaomba Ipokelewa Ballistic Examination Report Wakili wa Serikali Wanaipeleka Upande wa Mawakili wa Utetezi

Nashon Nkungu: kwa niaba ya Mshitakiwa wa kwanza sina Pingamizi

John Mallya: Kwa niaba ya Mshitakiwa wa Pili Pia sina Pingamizi

Dickson Matata: Kwa niaba ya Mshitakiwa wa tatu pia hatuna Pingamizi

Peter Kibatala: Kwa niaba Ya Mashitakiwa wa Nne pia hatuna Pingamizi

Jaji anapelekewa Nyaraka Mahakama bado Ipo Kimya Kidogo, Jaji anaendelea kuandika

JAJI: Mahakama Imepokea Nyaraka Hii yenye Kichwa cha Habari Ballistic Report Ambayo iliandaliwa tarehe 26 November 2020, Napokea na Kama Kielelezo namba 02

Jaji: Nakuomba Shahidi usaidie Kuisoma

Shahidi anapewa

Shahidi: Forensic Beaural Ballistic Laboratory DSM/F Ya Tarehe 26, Nov 2020 Shahidi anaisoma upya yote

Shahidi amemaliza Kusoma Riport yote ambayo Ndiyo yale aliyokuwa anayaeleza, lakini Sheria inataka asome Upya Mahakamani.

Wakili wa Serikali: Kwa mujibu wa a Taarifa hiyo ulikuwa unachunguza silaha ya aina gani

Shahidi: Pistol A5340 ya Callibre 9mm

Wakili wa Serikali: Kwa Mujibu wa Uchunguzi wako Ulibaini nini Kuhusu Bastola

Shahidi: Ni Nzima

Wakili wa Serikali: Unamaanisha Nini Nzima

Shahidi: Ukiweka Risasi inalipua

Wakili wa Serikali: Kwa Mujibu wa Taarifa yako uliyofanyia Uchunguzi Risasi tatu, Je za Silaha gani

Shahidi: za Pistol caliber 9mm

Wakili wa Serikali: Uhusiano wake Risasi na Bunduki ukoje

Shahidi: Ni za Kwake, kwa Maana zimeingia na Ikapiga (Fire)

Wakili wa Serikali: Kwa Mujibu wa Taarifa yako umesema Unaambatanisha K1, K2, K3 na K4, was attached, sasa Elezea kwanini Kwenye Taarifa Yako Umeandika tena K4 Wakati unasema Ulishailipua

Shahidi: Nimekosea Mheshimiwa Jaji, Ni Typing Error Kwa sababu Nilishailipua.

Wakili wa Serikali: Kwa hiyo attachments zitakuwa ni nini

Shahidi: K1 ambayo ni Bastola na K3 Wakili wa Serikali: Ukionyeshwa utavitambuaje

Shahidi: Nimeweka Kwenye bahasha, nimesaini nikaandika na tarehe

Wakili wa Serikali: Mbali na hivyo, silaha ina vitu gani Vingine vitakavyokufanya uitambue

Shahidi: kwanza ni serial Namba, Lebbeling ya Forensic ambayo ni K1 FB /BALL /LAB 158 of 2020 Maganda niliya-Lebel kwa T1 na T2 Na vile vile Nika-Lebel FB /BALL /LAB 158 of 2020

Na Bullets nili-Lebel kwa Maganda yake

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi ameonyesha Uwezo wa Kuvitambua, Kwa Ruhusa ya Mahakama naomba Kumuonyesha anaruhusiwa na mahakama Shahidi Tizama Mfuko Mmoja baada ya Mwingime Shahidi anatizama Mifuko ya Nailon ambayo ni Transparent

Wakili wa Serikali: Huo Mfuko ni nini

Shahidi: Mfuko wa Kuwekea Vielelezo Mbalimbali

Wakili wa Serikali: Una uhusiano gani na wewe Shahidi

Shahidi: Ndiyo nilitumia kuweka Bastola

Wakili wa Serikali: Kitu gani Kinachotambulisha kuwa wewe ndiye Ukiweka silaha

Shahidi: Nilisaini nikaweka na Tarehe 26 November 2020

Wakili wa Serikali: Unasema Kwenye Mfuko huo kuna Kitu gani

Shahidi: Bastola yenye serial Namba A5340 Callibre 9mm CZ 100 nyeusi

Wakili wa Serikali: Mfuko wa Kwanza

Shahidi: Una Risasi, na Nika Lebel na Nikafunga Kwa Seal

Wakili wa Serikali: Kinachokutambulisha kuwa wewe Ndiye Uliweka

Shahidi: Nilisaini na Nikaweka Tarehe, ina alama Exibit K3

Wakili wa Serikali: Tumalizie Mfuko wa Mwisho

Shahidi: Niliweka Maganda T1 na T3 na Bullets zake

Wakili wa Serikali: Unaiomba nini Mahakama

Shahidi: Naomba Mahakama hii Ipokee Vielelezo hivi kwenye kesi husika Wakili wa Serikali: Ipokee nini

Shahidi: Bastola yenye serial Namba A5340 Callibre 9mm ikiwa na Magazine Nyeusi kwa Rangi yake, Model ni CZ 100.

Wakili wa Serikali: Kwenye hiyo Mifuko Mingine

Shahidi: Naomba Mahakama Ipokee Risasi ya Pistol ya Callibre 9mm

Wakili wa Serikali: Uliipa alama gani

Shahidi: K3

Wakili wa Serikali: Mfuko wa Mwisho Mahakama Ipokee

Shahidi: Maganda Mawili ya risasi na Bullets Mbili (Vichwa Vya Risasi)

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi ameomba Vielelezo ambavyo amevitaja Vipokelewe na Mahakama

Wakili wa Serikali Wanaipeleka Mifuko 3 kwa Mawakili Wa Utetezi Mawakili Wa Utetezi Wamezingira Vielelezo wanavikagua Kimoja baada ya Kingine vikiwa bado ndani ya Mifuko.

Nashon Nkungu: Kwa niaba ya Mshitakiwa wa kwanza hatuna Pingamizi dhidi ya Vielelezo hivi vyote kwa Pomoja

John Malya: hatuna Pingamizi kwa niaba ya Mshitakiwa wa Pili

Dickson Matata: Hatuna Pingamizi kwa Vielelezo Vyote

Peter Kibatala: Mhe. Jaji nasi pia hatuna Pingamizi

Jaji anainama anaandika Kidogo Jaji anawakumbusha kuwa Mahakama Ya Rufani imesema Kuwa Vielelezo havipaswi kupokelewa kwa pamoja Kwa hiyo kwa namba nitavipokea Kwa tofauti tofauti.

Jaji: Basi Mahakama Inapokea Silaha Moja ya Moto aina ya Pistol aina ya A5340 kama Kielelezo Mahakama Inapokea Maganda Mawili ya Risasi ambayo yametumika kama T1 na T3

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji naomba Sasa Shahidi akate Mifuko ili aweze Kutuelezea anaruhusiwa Shahidi anachana Mifuko MAHAKAMA ipo Kimyaaaaa

Wakili wa Serikali: Shahidi hiyo unasema ni silaha ya aina gani

Shahidi: Ya Pistol

Wakili wa Serikali: anaishika na yeye

JAJI: Wakili wa Serikali nakutaadharisha ulivyoibeba naona Unamuelekezea Jaji MAHAKAMA KICHEKO Kidogo

Wakili wa Serikali: hii ni Pistol ya aina gani

Shahidi: Luger ya 2005

Wakili wa Serikali: elezea mahakama ulivyokuwa unaelezea hii Pistol

Shahidi: Hiki ni Kifunguo cha Magazine Ukiminya Unaruhusu Magazine Itoke Magazine hii inauwezo wa Kuchukua Risasi nane

Wakili wa Serikali: Unasema Ulitest Magazine

Shahidi: Ukibonyeza hii spiring, nilipima Kama Inanguvu ya kusukuma Risasi Na hiii ni Box Magazine, Na Magazine hii ni Nzima

Wakili wa Serikali: na Ulisema Barrow ndiyo ipi

Shahidi: Ndiyo hii kwa Kiswahili ni Mtutu. Nilipima kwa Kuchukua Barrow Gauge nikatoa kwenye Barrow, Je hii ni 9mm, Ikaniambia ni Yenyewe

Wakili wa Serikali: Ulisema Triger, Triger eleze Triger ipo wapi

Shahidi: nilipima Triger kwa Kuminya hivi, Nikaona Ikafika kwenye 100

Wakili wa Serikali: Kwenye 100 Ikafika hapa

Wakili wa Serikali: Hebu onyesha Mahakamani Firing yake na Uwezo wake

Shahidi: Hapa naikoki, hii ni Pini na hapa Nikikoki pana kuwa na Risasi inaenda Chemba nikaikoki nika-fire nikaona Nyundo Inagonga Vizuri.

Wakili wa Serikali: Kitu gani Nyingine Ulifanya

Shahidi: Nilipima Barrow Kupima Kama ni safi, Nikaona Barrow ipo Safi hii ina serial Namba hawa Luger wanaweka Serial Namba hapa na hapa

Wakili wa Serikali: Ni ipi

Shahidi: Imesajiliwa A5340 Kama haijagongwa serial Namba sijajua imeingia Vipi Nchini hii pia ni Risasi niliipa K3

Wakili wa Serikali: Ulichunguza nini kwenye hii Risasi

Shahidi: Nilichunguza Kiwashio, hapa ikiwa na Chuma Ukigonga inalipuka

Wakili wa Serikali: Kiwashio cha hiyo Risasi kikoje

Shahidi: Kizima

Wakili wa Serikali: Twende Kielelezo Cha Mwisho

Shahidi: Haya ni Maganda Kama Ulienda Marekani wanakuandika 9mm Pass 50 Kwamba Kutoka kwenye Base hadi kwenye Kichwa ni Pass 50 Hizi mbili ni Bullets nimezipata baada ya Kupiga kwenye tenki la Maji Kwa Maana hazikudhuru Mtu. Wanaita Terminal Firing Shahidi anarudishia Vielelezo kwenye mifuko yake

Wakili wa Serikali: Mwisho, kwa ufupi nini Ugunduzi wako

Shahidi: Kwamba Vyote Kuanzia Bastola na Hizo Risasi 3 ni Vizima na Vinafanya kazi

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji ni hayo tu

Jaji: upande wa Utetezi

Wakili Peter Kibatala: Naomba kwa Ruhusa yako nimtambulishe Jeremiah Mtobesya ambaye alichelewa kwa sababu alikuwa Mahakama ya Rufaa Na ninamatambulisha kwa sababu Yeye Ndiye ataanza Maswali Kwa niaba ya Mshitakiwa wa kwanza

Jaji anaandika Kidogo

Jaji: naliingiza Jina lako kwenye Orodha ya Mawakili

Jaji: Nitaruhusu watu wapumzike Kidogo kunyoosha Miguu na Kupata maji Mpaka Saa saba Na nusu

Naomba tujitahidi Kutunza Muda

Jaji anatoka
WAJINGA TAYARI WAMEFUNGA TWITTER ATA KWA VPN HAIPATIKANI,UKWELI MBOWE NI BALAA !
 
Kesi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake itaendelea leo katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa, ambapo upande wa mashitaka utaleta shahidi mwingine.

Fuatilia hapa kujua kitakachojiri katika mchakato mzima wa kesi hiyo kwa siku ya leo 29/10/2021


UPDATES

Mpaka sasa mawakili upande wa utetezi tayari wamewasili mahakamani.

Mpaka sasa ni saa nne kasoro, kesi bado haijaanza.

Jaji anaingia 3:50

Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe dhidi ya Jamhuri inatajwa.

Wakili wa Serikali Robert Kidando anasimama kutambulisha

1. Robert Kidando
2. Nassoro Katuga
3. Ignas Mwanuka
4. Esther Martin
5. Tulumanywa Majige
6. Jenitreza Kitali
7. Abdallah Chavula

Wote ni Mawakili wa Serikali Waandamizi isipokuwa Jenitreza Kitali ni Wakili wa Serikali.

Wakili wa Serikali Robert Kidando: Shauri limekuja kwa ajili ya kusikilizwa na Leo tuna shahidi Mmoja, tupo tayari Kuendelea

Jaji: Utetezi

Wakili Peter Kibatala: na sisi tupo tayari Kuendelea

Jaji anaandika

JAJI: Anakuwa Shahidi namba ngapi?

Wakili wa Serikali: Namba 03

Jaji: Majina

Shahidi: namba F 5914 D Coplo Hafidh Abdallah Mohamed

JAJI: umri

Shahidi: 38yrs

Jaji: Kazi S

hahidi: Askari Polisi

Jaji: Dini

Shahidi: Muislam

Shahidi: Mimi namba F5914 Coplo Hafidh naapa kuwa kwa ushahidi huu nitakaotoa utakuwa wa kweli, Eeeh Mwezi Mungu nisaidie

JAJI: KIAPO KIPO SAWA?

Jaji: asaidiwe

Shahidi: Mimi Coplo Hafidh nathibitisha kuwa Ushahidi nitaka toa utakuwa wa kweli, kweli mtupu, Eeh Mwenye Mungu nisaidie

Wakili wa Serikali: nitakuuliza Maswali utajibu kwa Sauti

Wakili wa Serikali: Kazi yako

Shahidi: Askari Polisi, nafanya Makao Makuu DSM

Wakili wa Serikali: Askari polisi tangu lini

Shahidi: 2013

Wakili wa Serikali: Ieleze Mahakama tukufu Kituo chako cha kazi ni wapi

Shahidi: Forensic Beaural Dar es Salaam

Wakili wa Serikali: Forensic Beaureau ni kitu gani

Shahidi: ni Maabara ya Uchunguzi wa Kisayansi

Wakili wa Serikali: Upo Kitengo gani

Shahidi: Silaha na Milipuko

Wakili wa Serikali: ieleze Mahakama Kitengo chako kinahusika na Nini (Ballistic and Explosions)

Shahidi: Uchunguzi wa silaha na Milipuko

Wakili wa Serikali: Upo tangu lini?

Shahidi: Tangu 2014

Wakili wa Serikali: umesema Kitengo Chako Kinahusika Kuchunguza silaha, eleza Majukumu yako ya Msingi ni yapi

Shahidi: Kuchunguza Kitako cha Risasi(cartridges)

Wakili wa Serikali: Jingine

Shahidi: Kwenda Eneo la tukio kwa Uchunguzi

Wakili wa Serikali: Jingine

Shahidi: Kuandaa Riport baada ya Kuchunguza Ballistic and Explosion Report

Wakili wa Serikali: Jingine

Shahidi: Kutoa Ushahidi Mahakamani

Wakili wa Serikali: ieleze Mahakama kama unajukumu lingine

Shahidi: Hakuna

Wakili wa Serikali: Mnafanya Mambo yapi

Shahidi: Kupokea Silaha mbalimbali zinazofanya Uhalifu, Je hii silaha Inafanya kazi..? Hii silaha ni Mzima..? Hii sasa ni Physical Examination.

Wakili wa Serikali: sasa Mnafanya nini

Shahidi: Tunafanya Visual Examination

Shahidi: hii Bunduki ni Mzima, Ina Koki,.? Ina Magazini.? Je Magazini ni Nzima..? Kama inagonga Vizuri kama Nyundo inanguvu..? NitaIkoki katika Upande wa Mitambo Inafanya Vizuri Je Fine pin Inafanya Kazi?

JAJI: fine pin ni nini?

Shahidi: Kiwashio cha Risasi

Shahidi: Nitaangalia Ndani ya Bao (Mtutu) internal Ballistic Ni Safi..? Nitaikoki kama Inafanya Vizuri, Ni hayo tu

Wakili wa Serikali: sasa Uchunguzi wa aina ya pili ni upi

Shahidi: Nimepokea Pistol au SMG

WS: Unaitwaje huu Uchunguzi wa Pili

Shahidi: Comparison Examination

Wakili wa Serikali: Kitu gani kinafanyika

Shahidi: Nachukua Ganda nililoletwa na Mteja Kisha napeka kwenye Mitambo Maalum

WSi: Unafanya hii Comparison Kubaini nini

Shahidi: Je hii Risasi inasifa hii

Wakili wa Serikali: Mnatumia Mitambo Maalum

Shahidi: Unaitwa Computer Microscope and digital Camera Forensic Machine LAECA 2004

Wakili wa Serikali: Umeeleza Vyema, Kuhusu Uchunguzi wa Silaha Kwenye Risasi unafanya kitu gani

Shahidi: Kitaalamu inaitwa Life ammunition...Risasi itaangalia Kiwashio, Je imegongwa..!

Wakili wa Serikali: na hiyo Miss fired ieleze Mahakama, Je live ammunition ikiwa Miss fired Maana yake ni nini

Shahidi: Ni mbovu sababu ulipiga haikulipuka

Wakili wa Serikali: fafanua sasa Mahakamani endapo haijagongwa ni vipi

Shahidi: kama haijagongwa ni Nzima

Wakili wa Serikali: Tofauti na Kugomgwa na kutokugongwa Mnafanya kitu gani

Shahidi: tunaangalia Gun Powder Resolutions

Shahidi: kwemye Risasi Kuna Powder tunaangalia Je powder yako imeganda au Nzima

Yani Bullets Catridge tuna angalia Michuruzi yani Internal Ballistic

Hizo alama za Kipekee tunasema Proved, Shahidi Tuna angalia kitu kinaitwa Twist, Twist silaha/Risasi Kuna Twist Right na Twist Left, Na angalia Counts inasema Twist Right na Left Nyingine unapopiga Kuna Counts Mbili unapopiga Mpaka Kumdhuru Mtu. Inatusaidie Silaha mbalimbali zinazoweza Kufanya uhalifu

Wakili wa Serikali: Tumalizie kwenye Mlipuko, unachunguza nini

Shahidi: Inapotokea Mlipuko wowote sisi tunakwenda Kwenye Eneo la Tukio (SCENE), Wanaenda Askari wa awali. Alafu tunaenda sisi wataalamu Kuangalia kama Kilichotokea ni Local Explosive au Industrial Explosive

Wakili wa Serikali: Wewe unautalamu gani sasa,

Shahidi: Kuchunguza Silaha Mbalimbali ambazo zinatumika kwenye Uhalifu

WS: Kozi ya kwanza

Shahidi: Kuchunguza Maganda ya Risasi Mbalimbali

WS: Ulifanya kwa Muda gani

Shahidi: kwa Miaka 2

Wakili wa Serikali: kingine tofauti ya kuchunguza

Shahidi: Kuandaa Riport za Kitaalamu

Wakili wa Serikali: Kozi gani Nyingine umefanya

Shahidi: Kozi ya Uchunguzi wa awali ya Upelelezi, Basic CID course

Wakili wa Serikali: Ulifanya Mwaka gani na wapi

Shahidi: Mwaka 2004 kwenye Polisi College Zanzibar

Wakili wa Serikali: Ulijifunza nini huko Zanzibar

Shahidi: Nilijifunza Mambo mbalimbali ya Kiupelelezi, Nilijfunza Bunduki Kupiga, Kuchukua alama za Vidole, kutafuta Finger Prints. Kulift Finger Prints, baada ya Kuchunguza Finger prints na Kuhamisha

Wakili wa Serikali: Kingine

Shahidi: Kufungua na Kuirudishia Bunduki

Wakili wa Serikali: Kingine

SHAHIDI: Nilipata Elimu ya awali Juu ya ku Collect Ushahidi Katika Crime scenes

Wakili wa Serikali: Ieleze Mahakama kama ulioata Kozi Nyingine

Shahidi: Baada ya Kurudi Ofisni nilihitajika kwenda Kozi Nyingine Moshi Mwaka 2006

Wakili wa Serikali: Ulijifunza kitu gani

Shahidi: Techniques, protocol in Fire arms Evidence

Wakili wa Serikali: fafanua

Shahidi: Kufungua silaha, Vifaa vyake Kuirudishia, na Kutengeneza kama inawezekana NikAfanya Polisi College Dar es Salaam ambayo inaitwa Ballist tools, fire arms, tools and Ballistic Materials testing Mwaka 2007.

Wakili wa Serikali: Kozi Nyingine

Jaji: Jina Kozi rudia

Shahidi: To determine and Examination of fire arms

Wakili wa Serikali: Wapi

Sahidi: Botswana police College Mwaka 2010

WS: NYINGINE

Shahidi: 2015 inaitwa Forensic in General

Ballistic Woundage, Vidonda, Mtu amepigwa Bastola amekufa naangalia Shooter alikuwa Upande gani

Wakili wa Serikali: ieleze Mahakama Utaratibu wa Kupokelewa Vitu Vya kufanyia kazi ukoje

Shahidi: Kwanza Mteja awe na Barua

Wakili wa Serikali: kwenye Barua kuna kuwa na nini

Shahidi: Barua ionyeshe kosa

Wakili wa Serikali: Kingine

Shahidi: aeleze nini anaomba tumfanyie

Wakili wa Serikali: Tofauti na Barua anakuwa na Nini

Shahidi: aje na hivyo Vielelezo husika sasa

Wakili wa Serikali: Barua pamoja na Vielelezo hupokelewa eneo gani na nani anapokea

Shahidi: anakuwa Afisa wa zamu anayetupangia Leo utakuwa zamu na Kupokea Vielelezo Tunakuwa wawili

Wakili wa Serikali: Makishapokea kama Afisa wa zamu anafanya nini

Shahidi: Tunapokea Barua na Kielelezo nafungua Kujiridhisha Alivyovileta yupo sahihi

WS: Ofisini Kwako Unapofanyia kazi, ifahamishe Mahakama Silaha au Mlipuko I natokea wapi

Shahidi: Vituo Vya Polisi na hata TANAPA kuja Kufanya Uchunguzi

WS: ieleze Mahakama Utaratibu wa Kupokelewa Vitu Vya kufanyia kazi ukoje

Shahidi: Kwanza Mteja awe na Barua

Alivyovileta yupo sahihi

WS: Ukishajiridhisha

Shahidi: Lazima niangalie Safety kabla haijaingia Laboratory

WS: Umeshajikizisha Vielelezo na Usalama sasa, Unatakiwa Ufanye kitu gani

Shahidi: Natakiwa Kuingia Laboratory nitai Register

WS: Barua pamoja na Vielelezo hupokelewa eneo gani na nani a napokea

Shahidi: anakuwa Afisa wa zamu anayetupangia Leo utakuwa zamu na Kupokea Vielelezo, Tunakuwa 2

WS: Mkipokea kama Afisa wa zamu anafanya nini

Shahidi: Tunapokea Barua na Kielelezo nafungua Kujiridhisha

WS: inapelekwa kwa Afisa incharge kwa Madhumuni gani

Shahidi: Lazima atambue ni silaha gani, Na nitampa Mtu Kuchunguza hii Kesi

WS: ieleze Mahakama Mnamo tarehe 25 November Unakumbuka ulikuwa wapi

Shahidi: Nilikuwa Ofisini Kwangu Makao Makuu madogo Dar es Salaam

WS: Kwa Kufanya nini

Shahidi: Nita andika Exibit K1 nitaweka FStroke ya Mwaka gani

Wakili wa Serikali: inapelekwa kwa Afisa incharge kwa Madhumuni gani

Shahidi: Lazima atambue ni silaha gani Na atampa Mtu Kuchunguza hii Kesi

WS: baada ya Kusajili Vielelezo Upelekwa wapi

Shahidi: Nitapeleka Sehemu ya Kuhifadhi silaha WS Barua utaipekeleka wapi

Shahidi: Kwa Afisa Incharge

Wakili wa Serikali: inapelekwa kwa Afisa incharge kwa Madhumuni gani

Shahidi: Lazima atambue ni silaha gani Na atampa Mtu Kuchunguza hii Kesi

Wakili wa Serikali: ieleze Mahakama Mnamo tarehe 25 November Unakumbuka ulikuwa wapi

Shahidi: Nilikuwa Ofisini Kwangu Makao Makuu madogo Dar es Salaam

Wakili wa Serikali: Ulikuwa wapi

Shahidi: Kwenye Dawati la Kupokea Vielelezo Mbalimbali

Wakili wa Serikalil Ulipokea Vielelezo Vipi Siku hiyo

Shahidi: nikipokea Vielelezo Kutoka Ofisi ya DCI, Ambavyo ni Pistol yenye namba A5340 callibre 9mm, Ikiwa na Magazine Yenye Rangi Nyeusi Na Nikapokea Risasi 03 WS: za Silaha gani

Shahidi: za Pistol Caliber 9mm

Wakili wa Serikali: Vielelezo hivyo viliambatana na nini

Shahidi: kwanza alivileta PC Goodluck kutoka Ofisi ya DCI

Wakili wa Serikali: Goodluck aliwasilisha nini

Shahidi: Barua

Wakili wa Serikali: baada ya Kupokea Vielelezo hivi na Barua ieleze Mahakama Ulifanya nini

Shahidi: Nilivi-Lebel kama nilivyosema awalI Pistol niliioa alama Exhibit K1, Nikosa ili kwa FB /BALL/LAB 158/2020

Wakili wa Serikali: na hizi Risasi 03

Shahidi: nilizipa alama ya K2 K3 na K4 Wakili wa Serikali: Risasi hizi ulizipa Usajili upi

Shahidi: 158 Kama Pistol

Wakili wa Serikali: Baada ya Kukamilisha Usajili wa Vielelezo Ulichukua hatua gani

Shahidi: Kufanya Uchunguzi wa Kuutambua Hiyo Bunduki na Risasi ni Nzima K2, K3 na K4

Wakili wa Serikali: na Kuhusu Vielelezo Pistol na Risasi ukafanya nini

Shahidi: Kwanza ile Pistol niliipima

Wakili wa Serikali: Kabla ya Kupima, Tupo kwenye hatua ya Upokeaji

Shahidi: Nika-Minutes Kumpelekea Boss

Wakili wa Serikali: Vielelezo Ukapeleka wapi

Shahidi: Nilipeleka Chumba cha Kuhifadhia Silaha

Wakili wa Serikali: Ieleze Mahakama Nani aliteuliwa kufanya Uchunguzi

Shahidi: Mimi Mmoja wapo

Wakili wa Serikali: Uchunguzi huo ulifanya lini

Shahidi: nilianza Kufanya Tarehe 25 Uchunguzi wa Awali

Wakili wa Serikali: Katika Uchunguzi wako Ulifanya nini Kulingana na Mahitaji

Shahidi: Hatua ya kwanza

Wakili wa Serikali: Mteja alikuwa anataka nini

Shahidi: Mteja alikuwa anataka Kujua ile Pistol na Risasi zilifanya kazi

Wakili wa Serikali: sasa wewe Ulifanya nini

Shahidi: Kwanza Ile Bastola nilipima na Kifaa kinaitwa GUN BARROW GAUGE

Hapo nilikuwa napima Kwenye Barrow yani Mtutu kwamba ile Callibre ni kweli 9mm

Nikaona ni kweli ipo sahihi ni 9mm

Wakili wa Serikali: KingiNe

Shahidi: nikatoa Magazine kumbuka ilikuwa na Magazine inaitwa MAGAZINE RELEASE, Naangalia Magazine yake ile Bastola ni ya kwake, Nikaona Okey Magazine ni ya Kwake

Wakili wa Serikali: Jingine

Shahidi: Ndani ya Magazine Kuna Spring ambayo Ukiweka Risasi inashuka Chini, yenyewe inapandisha Risasi juu, Nikaona Nzima Nikaangalia Nyundo Hummer Kama Nzima sometime inakuwa loose nimabaini, Nzima Nikaangalia Triger kwa kutumia Triger Pull ....kama inafika kwenye 100 nimEbaini ni Nzima

Shahidi: Nikaenda ndani ya Barrow nikatumia Mdeki Kuangalia kama Ilikuwa Safi au Chafu Kupoteza Ubora wake, Nimabaini Barrow lipo Vizuri halina Vumbi hakuna Mchanga Maana yake Barrow lipo safi, Lolote linaweza Kufanya Baada ya hapo nikaikoki kungalia Firing Pin Mechanism kama ..Nilibaini Ipo

Kwa hatua hiyo niliishia hapo

Wakili wa Serikali: Kwa Aina za Uchunguzi ulizotutajia huu ni Uchunguzi wa aina gani

Shahidi: ni Visual Examination

Wakili wa Serikali: kwenye zile Risasi 3 ulichunguza nini

Shahidi: pale niliingia Sana kwenye Pin Impresion kwa Maana Primer au Kiswahili Chake ni Kiwashio au Kitako cha Risasi

Wakili wa Serikali: Hatu gani ikafuata Shahidi: Hatua ya Pili ya Uchunguzi wa Pili

Shahidi: Nilichukua Risasi Mbili ya zile nilizoletewa callibre yake 9mm, Nikaenda kwenye Chumba Maalum Kwenye Chumba Kuna sehemu ya kupigia Silaha Mbalimbali.

Wakili wa Serikali: Ulienda na Kitu gani

Shahidi: Nilikuwa na Pistol na Risasi 03

Wakili wa Serikali: Ulienda Kufanya akitu gani hasa

Shahidi: Kuna Kifaa kinaitwa Tank Water Recovered Bullets

Ws: Kiswahili ni nini

Shahidi: Ni tanki la Maji tunalotumia kupata risasi

Wakili wa Serikali: Kwanini sasa Mnapiga Risasi Kwenye Tanki la Maji

Shahidi: ili Kupata Maganda ya Risasi na Vichwa vyake

Wakili wa Serikali: Kwanini sasa Mnapiga Vile Vielelezo

Shahidi: Najiridhisha sasa, Je Ni kweli zile Risasi ni Nzima.? Na kwenda Kupiga sasa

Wakili wa Serikali: Nini Matokea ya Uchunguzi wa Kina

Shahidi: Nikichukua Risasi Mbili nikaweka Kwenye Magazine Nikaweka kwenye ile Bastola nikapiga sasa, nikapata Maganda na Vichwa Vya risasi. Nikafanya hivyo tena kwa Risasi ya pili, nikapiga

Wakili wa Serikali: Risasi zako zilikuwa na alama, Je Risasi zina alama zipi ambazo ulipiga

Shahidi: K2 na K4

Wakili wa Serikali: Ulifanya nini sasa kuhusiana na Yake maganda

Shahidi: Nilienda kuyalebo yale Maganda yangu mawili

Wakili wa Serikali: Kwa kuyapa alama gani

Shahidi: T1 na T2, T1 ilikuwa K2 na T2 iliyokuwa K4

Wakili wa Serikali: baada ya Labeling Kitu gani sasa Kingine kilifuata

Shahidi: Nikaenda Kuandaa Report yangu (Ballistic Examination Report)

Wakili wa Serikali: baada ya Kuandaa Ulifanya nini

Shahidi: Nilisaini

Wakili wa Serikali: Kingine

Shahidi: Nilipiga Muhuri

Wakili wa Serikali: Muhuri gani

Shahidi: Forensic Beaural Dar es Salaam

Wakili wa Serikali: Kuhusiana sasa na Silaha Yenyewe

Shahidi: Baada ya hatua zote zote hizo nikafunga kwenye Mfuko na Nikafunga seal, nikasaini na Kuandika Tarehe

Wakili wa Serikali: Baada ya Kusaini Ukapeleka wapi

Shahidi: Chumba cha Kutunzia Silaha Wakili wa Serikali: Na Report yako sasa

Shahidi: Niliweka kwenye Bahasha na Nikairudisha kwenye File Book. Baada ya hapo nikiwa nasubiri wenyewe Waje Kuchukua Vielelezo vyao

Wakili wa Serikali: Vielelezo Vyao Vilikuwa Kuchuliwa Siku gani

Shahidi: Tarehe 27 November 2020

Wakili wa Serikali: Nani alikuja Kuchukua Vielelezo hivyo

Shahidi: Afande Swila Kutoka Ofisi ya DCI

Wakili wa Serikali: Nani aliyemkabidhi afande Swila hivyo Vielelezo

Shahidi: Mimi Mwenyewe

Wakili wa Serikali: Ulimkabidhi Swila Vitu gani

Shahidi: Riport yangu ya Kiuchunguzi Ballistic Examination Report, nikamkabidhi Pistol Moja ambayo ni Exibit K1 Callibre A5340 9mm Model yake CZ 41 Rangi Nyeusi Ikiwa na magazine yake. Pia nikamkabidhi Risasi Moja Nzima iliyobaki Ambayo nili nililebel K3. Nikamkabidhi Maganda Mawili na Bullets zake Yale Maganda niliyalebel kama T1 na T2

Wakili wa Serikali: ieleze Mahakama Kwamba tangu ulivyomkabidhi Swila ni Lini tena ulipata Kuviona tena Vielelezo

Shahidi: Jana

Wakili wa Serikali: Kwa Jambo lipi

Shahidi: ili aniletee Vielelezo Kwa ajili ya Ushaidi Mahakamani hii Leo.

Wakili wa Serikali: ieleze Mahakama hii Report yako ya Kiuchunguzi uliyoiandaa ni kitu gani kitakutambulisha

Shahidi: Kwanza Kwa Nembo ya Ofisi, Nembo ya Polisi Force a namba zangu F5914 Majina yangu ya Copo Hafidh Abdallah

Wakili wa Serikali: Kingine

Shahidi: Na Signature Na Muhuri wa Ofisi

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi anaonyesha anaweza akatambua Nyaraka aliyofanyia Kazi kwa Ruhusa ya Mahakama Tunaomba Kumuonyesha Shahidi anakabidhiwa

Wakili wa Serikali: Shahidi itizame hiyo Kabrasha Ndogo sasa Uimbie Mahakama nilichokupatia ni Kitu gani

Shahidi: Ni report Yangu niliyoindaa kuhusiana na Uchunguzi wa Silaha na Risasi

Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama Vitu gani vinaonyesha wewe Ndiyo uliandaa

Shahidi: Kuna Nembo ya polisi, Force Namba, Signature yangu, Kuna Muhuri wa Ofisi kwa hiyo Riport hii ni ya kwangu

Wakili wa Serikali: Unaiomba nini Mahakama hii

Shahidi: Naomba Mahakama hii Ipokee Riport yangu kama Sehemu ya Ushahidi

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi anaomba Ipokelewa Ballistic Examination Report Wakili wa Serikali Wanaipeleka Upande wa Mawakili wa Utetezi

Nashon Nkungu: kwa niaba ya Mshitakiwa wa kwanza sina Pingamizi

John Mallya: Kwa niaba ya Mshitakiwa wa Pili Pia sina Pingamizi

Dickson Matata: Kwa niaba ya Mshitakiwa wa tatu pia hatuna Pingamizi

Peter Kibatala: Kwa niaba Ya Mashitakiwa wa Nne pia hatuna Pingamizi

Jaji anapelekewa Nyaraka Mahakama bado Ipo Kimya Kidogo, Jaji anaendelea kuandika

JAJI: Mahakama Imepokea Nyaraka Hii yenye Kichwa cha Habari Ballistic Report Ambayo iliandaliwa tarehe 26 November 2020, Napokea na Kama Kielelezo namba 02

Jaji: Nakuomba Shahidi usaidie Kuisoma

Shahidi anapewa

Shahidi: Forensic Beaural Ballistic Laboratory DSM/F Ya Tarehe 26, Nov 2020 Shahidi anaisoma upya yote

Shahidi amemaliza Kusoma Riport yote ambayo Ndiyo yale aliyokuwa anayaeleza, lakini Sheria inataka asome Upya Mahakamani.

Wakili wa Serikali: Kwa mujibu wa a Taarifa hiyo ulikuwa unachunguza silaha ya aina gani

Shahidi: Pistol A5340 ya Callibre 9mm

Wakili wa Serikali: Kwa Mujibu wa Uchunguzi wako Ulibaini nini Kuhusu Bastola

Shahidi: Ni Nzima

Wakili wa Serikali: Unamaanisha Nini Nzima

Shahidi: Ukiweka Risasi inalipua

Wakili wa Serikali: Kwa Mujibu wa Taarifa yako uliyofanyia Uchunguzi Risasi tatu, Je za Silaha gani

Shahidi: za Pistol caliber 9mm

Wakili wa Serikali: Uhusiano wake Risasi na Bunduki ukoje

Shahidi: Ni za Kwake, kwa Maana zimeingia na Ikapiga (Fire)

Wakili wa Serikali: Kwa Mujibu wa Taarifa yako umesema Unaambatanisha K1, K2, K3 na K4, was attached, sasa Elezea kwanini Kwenye Taarifa Yako Umeandika tena K4 Wakati unasema Ulishailipua

Shahidi: Nimekosea Mheshimiwa Jaji, Ni Typing Error Kwa sababu Nilishailipua.

Wakili wa Serikali: Kwa hiyo attachments zitakuwa ni nini

Shahidi: K1 ambayo ni Bastola na K3 Wakili wa Serikali: Ukionyeshwa utavitambuaje

Shahidi: Nimeweka Kwenye bahasha, nimesaini nikaandika na tarehe

Wakili wa Serikali: Mbali na hivyo, silaha ina vitu gani Vingine vitakavyokufanya uitambue

Shahidi: kwanza ni serial Namba, Lebbeling ya Forensic ambayo ni K1 FB /BALL /LAB 158 of 2020 Maganda niliya-Lebel kwa T1 na T2 Na vile vile Nika-Lebel FB /BALL /LAB 158 of 2020

Na Bullets nili-Lebel kwa Maganda yake

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi ameonyesha Uwezo wa Kuvitambua, Kwa Ruhusa ya Mahakama naomba Kumuonyesha anaruhusiwa na mahakama Shahidi Tizama Mfuko Mmoja baada ya Mwingime Shahidi anatizama Mifuko ya Nailon ambayo ni Transparent

Wakili wa Serikali: Huo Mfuko ni nini

Shahidi: Mfuko wa Kuwekea Vielelezo Mbalimbali

Wakili wa Serikali: Una uhusiano gani na wewe Shahidi

Shahidi: Ndiyo nilitumia kuweka Bastola

Wakili wa Serikali: Kitu gani Kinachotambulisha kuwa wewe ndiye Ukiweka silaha

Shahidi: Nilisaini nikaweka na Tarehe 26 November 2020

Wakili wa Serikali: Unasema Kwenye Mfuko huo kuna Kitu gani

Shahidi: Bastola yenye serial Namba A5340 Callibre 9mm CZ 100 nyeusi

Wakili wa Serikali: Mfuko wa Kwanza

Shahidi: Una Risasi, na Nika Lebel na Nikafunga Kwa Seal

Wakili wa Serikali: Kinachokutambulisha kuwa wewe Ndiye Uliweka

Shahidi: Nilisaini na Nikaweka Tarehe, ina alama Exibit K3

Wakili wa Serikali: Tumalizie Mfuko wa Mwisho

Shahidi: Niliweka Maganda T1 na T3 na Bullets zake

Wakili wa Serikali: Unaiomba nini Mahakama

Shahidi: Naomba Mahakama hii Ipokee Vielelezo hivi kwenye kesi husika Wakili wa Serikali: Ipokee nini

Shahidi: Bastola yenye serial Namba A5340 Callibre 9mm ikiwa na Magazine Nyeusi kwa Rangi yake, Model ni CZ 100.

Wakili wa Serikali: Kwenye hiyo Mifuko Mingine

Shahidi: Naomba Mahakama Ipokee Risasi ya Pistol ya Callibre 9mm

Wakili wa Serikali: Uliipa alama gani

Shahidi: K3

Wakili wa Serikali: Mfuko wa Mwisho Mahakama Ipokee

Shahidi: Maganda Mawili ya risasi na Bullets Mbili (Vichwa Vya Risasi)

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi ameomba Vielelezo ambavyo amevitaja Vipokelewe na Mahakama

Wakili wa Serikali Wanaipeleka Mifuko 3 kwa Mawakili Wa Utetezi Mawakili Wa Utetezi Wamezingira Vielelezo wanavikagua Kimoja baada ya Kingine vikiwa bado ndani ya Mifuko.

Nashon Nkungu: Kwa niaba ya Mshitakiwa wa kwanza hatuna Pingamizi dhidi ya Vielelezo hivi vyote kwa Pomoja

John Malya: hatuna Pingamizi kwa niaba ya Mshitakiwa wa Pili

Dickson Matata: Hatuna Pingamizi kwa Vielelezo Vyote

Peter Kibatala: Mhe. Jaji nasi pia hatuna Pingamizi

Jaji anainama anaandika Kidogo Jaji anawakumbusha kuwa Mahakama Ya Rufani imesema Kuwa Vielelezo havipaswi kupokelewa kwa pamoja Kwa hiyo kwa namba nitavipokea Kwa tofauti tofauti.

Jaji: Basi Mahakama Inapokea Silaha Moja ya Moto aina ya Pistol aina ya A5340 kama Kielelezo Mahakama Inapokea Maganda Mawili ya Risasi ambayo yametumika kama T1 na T3

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji naomba Sasa Shahidi akate Mifuko ili aweze Kutuelezea anaruhusiwa Shahidi anachana Mifuko MAHAKAMA ipo Kimyaaaaa

Wakili wa Serikali: Shahidi hiyo unasema ni silaha ya aina gani

Shahidi: Ya Pistol

Wakili wa Serikali: anaishika na yeye

JAJI: Wakili wa Serikali nakutaadharisha ulivyoibeba naona Unamuelekezea Jaji MAHAKAMA KICHEKO Kidogo

Wakili wa Serikali: hii ni Pistol ya aina gani

Shahidi: Luger ya 2005

Wakili wa Serikali: elezea mahakama ulivyokuwa unaelezea hii Pistol

Shahidi: Hiki ni Kifunguo cha Magazine Ukiminya Unaruhusu Magazine Itoke Magazine hii inauwezo wa Kuchukua Risasi nane

Wakili wa Serikali: Unasema Ulitest Magazine

Shahidi: Ukibonyeza hii spiring, nilipima Kama Inanguvu ya kusukuma Risasi Na hiii ni Box Magazine, Na Magazine hii ni Nzima

Wakili wa Serikali: na Ulisema Barrow ndiyo ipi

Shahidi: Ndiyo hii kwa Kiswahili ni Mtutu. Nilipima kwa Kuchukua Barrow Gauge nikatoa kwenye Barrow, Je hii ni 9mm, Ikaniambia ni Yenyewe

Wakili wa Serikali: Ulisema Triger, Triger eleze Triger ipo wapi

Shahidi: nilipima Triger kwa Kuminya hivi, Nikaona Ikafika kwenye 100

Wakili wa Serikali: Kwenye 100 Ikafika hapa

Wakili wa Serikali: Hebu onyesha Mahakamani Firing yake na Uwezo wake

Shahidi: Hapa naikoki, hii ni Pini na hapa Nikikoki pana kuwa na Risasi inaenda Chemba nikaikoki nika-fire nikaona Nyundo Inagonga Vizuri.

Wakili wa Serikali: Kitu gani Nyingine Ulifanya

Shahidi: Nilipima Barrow Kupima Kama ni safi, Nikaona Barrow ipo Safi hii ina serial Namba hawa Luger wanaweka Serial Namba hapa na hapa

Wakili wa Serikali: Ni ipi

Shahidi: Imesajiliwa A5340 Kama haijagongwa serial Namba sijajua imeingia Vipi Nchini hii pia ni Risasi niliipa K3

Wakili wa Serikali: Ulichunguza nini kwenye hii Risasi

Shahidi: Nilichunguza Kiwashio, hapa ikiwa na Chuma Ukigonga inalipuka

Wakili wa Serikali: Kiwashio cha hiyo Risasi kikoje

Shahidi: Kizima

Wakili wa Serikali: Twende Kielelezo Cha Mwisho

Shahidi: Haya ni Maganda Kama Ulienda Marekani wanakuandika 9mm Pass 50 Kwamba Kutoka kwenye Base hadi kwenye Kichwa ni Pass 50 Hizi mbili ni Bullets nimezipata baada ya Kupiga kwenye tenki la Maji Kwa Maana hazikudhuru Mtu. Wanaita Terminal Firing Shahidi anarudishia Vielelezo kwenye mifuko yake

Wakili wa Serikali: Mwisho, kwa ufupi nini Ugunduzi wako

Shahidi: Kwamba Vyote Kuanzia Bastola na Hizo Risasi 3 ni Vizima na Vinafanya kazi

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji ni hayo tu

Jaji: upande wa Utetezi

Wakili Peter Kibatala: Naomba kwa Ruhusa yako nimtambulishe Jeremiah Mtobesya ambaye alichelewa kwa sababu alikuwa Mahakama ya Rufaa Na ninamatambulisha kwa sababu Yeye Ndiye ataanza Maswali Kwa niaba ya Mshitakiwa wa kwanza

Jaji anaandika Kidogo

Jaji: naliingiza Jina lako kwenye Orodha ya Mawakili

Jaji: Nitaruhusu watu wapumzike Kidogo kunyoosha Miguu na Kupata maji Mpaka Saa saba Na nusu

Naomba tujitahidi Kutunza Muda

Jaji anatoka
Akimaliza huyu anakuja wa bangi, tutegemee naye ataitesti hapo mahakamani kama inavinasaba vya Afuganistani au Somalia, siku hiyo si ya kukosa na pia siku mahakama itakapohamia barabara ya Morogoro kwenye ushahidi wa jinsi ambavyo miti ingekatwa na kusambaza barabarani.
 
Endelea kujifariji Mama saidi.Huyu shahidi wa leo inaonyesha yupo vizuri.Halafu ndugu yangu usitushikie akili bana kwa kutuaminisha polisi wote hawajasoma,wengi tumehitimu nao vyuo vikuu.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kuhitimu vyuo viguu siyo kipimo cha kuelimika ukute na we ulikuwa kwenye lile kudi la kuvuliwa chu..pi ili uchomoe supp. upate gpa nzuri. Mbowe siyo gaidi ni suala la muda watesi wake wote wataibika soon
 
Shahdi mtaalam wa kupima milipuko ya vituo vya mafuta / kuosha bunduki na magazine zake kwa spirit, bado tu hajaaza kuhojiwa to na makwakili wa utetezi.
 
Wanatishia na elimu kwahivo vikozi vifupifupi eti ukasoma wapi? wapitena? Hahahhhaaah...!!
Wote hao wamefeli form four na wengi hata darasa la saba walifeli

Sasa mnawaonea kuhojiwa namtu smart alopiga madivisheni wani mwanzo mwisho kama wakili msomi kibatala.

Mashahidi wao wengi hawanashule wanaiaibisha serikali.
kaka ukitaka kujua mtu ni mwerevu ama famba wala usihangaike wewe angalia matokeo yake ya kidato cha nne na sita tu.
 
Endelea kujifariji Mama saidi.Huyu shahidi wa leo inaonyesha yupo vizuri.Halafu ndugu yangu usitushikie akili bana kwa kutuaminisha polisi wote hawajasoma,wengi tumehitimu nao vyuo vikuu.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Hamna lolote hapo angekuwa amesoma miaka yote hiyo aliokaa polisi asingekuwa copro mpaka leo.
 
Acha kutuingiza chaka, graduates hawaendi CCP wanaenda Police College na wakifuzu wanaanza na jiwe moja...
CCP - Chuo Cha Polisi.
Police College - Chuo Cha Polisi.
Inawezekana alidhani China Communist Party (CCP).
Lugha gongana.
 
FC3GJNOXEAQAwA4
 
tatizo mnao ripoti kesi hii ya mbowe mnaingiza ushabiki, hivyo mnapotosha ukweli wa kile kinacho jiri mahakamani.
ni bora mkakaa kimya tu.
maana mahakamani huwa sio sehemu ya ushabiki, ni ushahidi tu.
 
Kama ikiwezekana defense wangejaribu to determine ownership of the firearm kutoka kwa manufacturer. Ie where was sold and to whom. You might find it originated from some armoury
 
Kesi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake itaendelea leo katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa, ambapo upande wa mashitaka utaleta shahidi mwingine.

Fuatilia hapa kujua kitakachojiri katika mchakato mzima wa kesi hiyo kwa siku ya leo 29/10/2021


UPDATES

Mpaka sasa mawakili upande wa utetezi tayari wamewasili mahakamani.

Mpaka sasa ni saa nne kasoro, kesi bado haijaanza.

Jaji anaingia 3:50

Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe dhidi ya Jamhuri inatajwa.

Wakili wa Serikali Robert Kidando anasimama kutambulisha

1. Robert Kidando
2. Nassoro Katuga
3. Ignas Mwanuka
4. Esther Martin
5. Tulumanywa Majige
6. Jenitreza Kitali
7. Abdallah Chavula

Wote ni Mawakili wa Serikali Waandamizi isipokuwa Jenitreza Kitali ni Wakili wa Serikali.

Wakili wa Serikali Robert Kidando: Shauri limekuja kwa ajili ya kusikilizwa na Leo tuna shahidi Mmoja, tupo tayari Kuendelea

Jaji: Utetezi

Wakili Peter Kibatala: na sisi tupo tayari Kuendelea

Jaji anaandika

JAJI: Anakuwa Shahidi namba ngapi?

Wakili wa Serikali: Namba 03

Jaji: Majina

Shahidi: namba F 5914 D Coplo Hafidh Abdallah Mohamed

JAJI: umri

Shahidi: 38yrs

Jaji: Kazi S

hahidi: Askari Polisi

Jaji: Dini

Shahidi: Muislam

Shahidi: Mimi namba F5914 Coplo Hafidh naapa kuwa kwa ushahidi huu nitakaotoa utakuwa wa kweli, Eeeh Mwezi Mungu nisaidie

JAJI: KIAPO KIPO SAWA?

Jaji: asaidiwe

Shahidi: Mimi Coplo Hafidh nathibitisha kuwa Ushahidi nitaka toa utakuwa wa kweli, kweli mtupu, Eeh Mwenye Mungu nisaidie

Wakili wa Serikali: nitakuuliza Maswali utajibu kwa Sauti

Wakili wa Serikali: Kazi yako

Shahidi: Askari Polisi, nafanya Makao Makuu DSM

Wakili wa Serikali: Askari polisi tangu lini

Shahidi: 2013

Wakili wa Serikali: Ieleze Mahakama tukufu Kituo chako cha kazi ni wapi

Shahidi: Forensic Beaural Dar es Salaam

Wakili wa Serikali: Forensic Beaureau ni kitu gani

Shahidi: ni Maabara ya Uchunguzi wa Kisayansi

Wakili wa Serikali: Upo Kitengo gani

Shahidi: Silaha na Milipuko

Wakili wa Serikali: ieleze Mahakama Kitengo chako kinahusika na Nini (Ballistic and Explosions)

Shahidi: Uchunguzi wa silaha na Milipuko

Wakili wa Serikali: Upo tangu lini?

Shahidi: Tangu 2014

Wakili wa Serikali: umesema Kitengo Chako Kinahusika Kuchunguza silaha, eleza Majukumu yako ya Msingi ni yapi

Shahidi: Kuchunguza Kitako cha Risasi(cartridges)

Wakili wa Serikali: Jingine

Shahidi: Kwenda Eneo la tukio kwa Uchunguzi

Wakili wa Serikali: Jingine

Shahidi: Kuandaa Riport baada ya Kuchunguza Ballistic and Explosion Report

Wakili wa Serikali: Jingine

Shahidi: Kutoa Ushahidi Mahakamani

Wakili wa Serikali: ieleze Mahakama kama unajukumu lingine

Shahidi: Hakuna

Wakili wa Serikali: Mnafanya Mambo yapi

Shahidi: Kupokea Silaha mbalimbali zinazofanya Uhalifu, Je hii silaha Inafanya kazi..? Hii silaha ni Mzima..? Hii sasa ni Physical Examination.

Wakili wa Serikali: sasa Mnafanya nini

Shahidi: Tunafanya Visual Examination

Shahidi: hii Bunduki ni Mzima, Ina Koki,.? Ina Magazini.? Je Magazini ni Nzima..? Kama inagonga Vizuri kama Nyundo inanguvu..? NitaIkoki katika Upande wa Mitambo Inafanya Vizuri Je Fine pin Inafanya Kazi?

JAJI: fine pin ni nini?

Shahidi: Kiwashio cha Risasi

Shahidi: Nitaangalia Ndani ya Bao (Mtutu) internal Ballistic Ni Safi..? Nitaikoki kama Inafanya Vizuri, Ni hayo tu

Wakili wa Serikali: sasa Uchunguzi wa aina ya pili ni upi

Shahidi: Nimepokea Pistol au SMG

WS: Unaitwaje huu Uchunguzi wa Pili

Shahidi: Comparison Examination

Wakili wa Serikali: Kitu gani kinafanyika

Shahidi: Nachukua Ganda nililoletwa na Mteja Kisha napeka kwenye Mitambo Maalum

WSi: Unafanya hii Comparison Kubaini nini

Shahidi: Je hii Risasi inasifa hii

Wakili wa Serikali: Mnatumia Mitambo Maalum

Shahidi: Unaitwa Computer Microscope and digital Camera Forensic Machine LAECA 2004

Wakili wa Serikali: Umeeleza Vyema, Kuhusu Uchunguzi wa Silaha Kwenye Risasi unafanya kitu gani

Shahidi: Kitaalamu inaitwa Life ammunition...Risasi itaangalia Kiwashio, Je imegongwa..!

Wakili wa Serikali: na hiyo Miss fired ieleze Mahakama, Je live ammunition ikiwa Miss fired Maana yake ni nini

Shahidi: Ni mbovu sababu ulipiga haikulipuka

Wakili wa Serikali: fafanua sasa Mahakamani endapo haijagongwa ni vipi

Shahidi: kama haijagongwa ni Nzima

Wakili wa Serikali: Tofauti na Kugomgwa na kutokugongwa Mnafanya kitu gani

Shahidi: tunaangalia Gun Powder Resolutions

Shahidi: kwemye Risasi Kuna Powder tunaangalia Je powder yako imeganda au Nzima

Yani Bullets Catridge tuna angalia Michuruzi yani Internal Ballistic

Hizo alama za Kipekee tunasema Proved, Shahidi Tuna angalia kitu kinaitwa Twist, Twist silaha/Risasi Kuna Twist Right na Twist Left, Na angalia Counts inasema Twist Right na Left Nyingine unapopiga Kuna Counts Mbili unapopiga Mpaka Kumdhuru Mtu. Inatusaidie Silaha mbalimbali zinazoweza Kufanya uhalifu

Wakili wa Serikali: Tumalizie kwenye Mlipuko, unachunguza nini

Shahidi: Inapotokea Mlipuko wowote sisi tunakwenda Kwenye Eneo la Tukio (SCENE), Wanaenda Askari wa awali. Alafu tunaenda sisi wataalamu Kuangalia kama Kilichotokea ni Local Explosive au Industrial Explosive

Wakili wa Serikali: Wewe unautalamu gani sasa,

Shahidi: Kuchunguza Silaha Mbalimbali ambazo zinatumika kwenye Uhalifu

WS: Kozi ya kwanza

Shahidi: Kuchunguza Maganda ya Risasi Mbalimbali

WS: Ulifanya kwa Muda gani

Shahidi: kwa Miaka 2

Wakili wa Serikali: kingine tofauti ya kuchunguza

Shahidi: Kuandaa Riport za Kitaalamu

Wakili wa Serikali: Kozi gani Nyingine umefanya

Shahidi: Kozi ya Uchunguzi wa awali ya Upelelezi, Basic CID course

Wakili wa Serikali: Ulifanya Mwaka gani na wapi

Shahidi: Mwaka 2004 kwenye Polisi College Zanzibar

Wakili wa Serikali: Ulijifunza nini huko Zanzibar

Shahidi: Nilijifunza Mambo mbalimbali ya Kiupelelezi, Nilijfunza Bunduki Kupiga, Kuchukua alama za Vidole, kutafuta Finger Prints. Kulift Finger Prints, baada ya Kuchunguza Finger prints na Kuhamisha

Wakili wa Serikali: Kingine

Shahidi: Kufungua na Kuirudishia Bunduki

Wakili wa Serikali: Kingine

SHAHIDI: Nilipata Elimu ya awali Juu ya ku Collect Ushahidi Katika Crime scenes

Wakili wa Serikali: Ieleze Mahakama kama ulioata Kozi Nyingine

Shahidi: Baada ya Kurudi Ofisni nilihitajika kwenda Kozi Nyingine Moshi Mwaka 2006

Wakili wa Serikali: Ulijifunza kitu gani

Shahidi: Techniques, protocol in Fire arms Evidence

Wakili wa Serikali: fafanua

Shahidi: Kufungua silaha, Vifaa vyake Kuirudishia, na Kutengeneza kama inawezekana NikAfanya Polisi College Dar es Salaam ambayo inaitwa Ballist tools, fire arms, tools and Ballistic Materials testing Mwaka 2007.

Wakili wa Serikali: Kozi Nyingine

Jaji: Jina Kozi rudia

Shahidi: To determine and Examination of fire arms

Wakili wa Serikali: Wapi

Sahidi: Botswana police College Mwaka 2010

WS: NYINGINE

Shahidi: 2015 inaitwa Forensic in General

Ballistic Woundage, Vidonda, Mtu amepigwa Bastola amekufa naangalia Shooter alikuwa Upande gani

Wakili wa Serikali: ieleze Mahakama Utaratibu wa Kupokelewa Vitu Vya kufanyia kazi ukoje

Shahidi: Kwanza Mteja awe na Barua

Wakili wa Serikali: kwenye Barua kuna kuwa na nini

Shahidi: Barua ionyeshe kosa

Wakili wa Serikali: Kingine

Shahidi: aeleze nini anaomba tumfanyie

Wakili wa Serikali: Tofauti na Barua anakuwa na Nini

Shahidi: aje na hivyo Vielelezo husika sasa

Wakili wa Serikali: Barua pamoja na Vielelezo hupokelewa eneo gani na nani anapokea

Shahidi: anakuwa Afisa wa zamu anayetupangia Leo utakuwa zamu na Kupokea Vielelezo Tunakuwa wawili

Wakili wa Serikali: Makishapokea kama Afisa wa zamu anafanya nini

Shahidi: Tunapokea Barua na Kielelezo nafungua Kujiridhisha Alivyovileta yupo sahihi

WS: Ofisini Kwako Unapofanyia kazi, ifahamishe Mahakama Silaha au Mlipuko I natokea wapi

Shahidi: Vituo Vya Polisi na hata TANAPA kuja Kufanya Uchunguzi

WS: ieleze Mahakama Utaratibu wa Kupokelewa Vitu Vya kufanyia kazi ukoje

Shahidi: Kwanza Mteja awe na Barua

Alivyovileta yupo sahihi

WS: Ukishajiridhisha

Shahidi: Lazima niangalie Safety kabla haijaingia Laboratory

WS: Umeshajikizisha Vielelezo na Usalama sasa, Unatakiwa Ufanye kitu gani

Shahidi: Natakiwa Kuingia Laboratory nitai Register

WS: Barua pamoja na Vielelezo hupokelewa eneo gani na nani a napokea

Shahidi: anakuwa Afisa wa zamu anayetupangia Leo utakuwa zamu na Kupokea Vielelezo, Tunakuwa 2

WS: Mkipokea kama Afisa wa zamu anafanya nini

Shahidi: Tunapokea Barua na Kielelezo nafungua Kujiridhisha

WS: inapelekwa kwa Afisa incharge kwa Madhumuni gani

Shahidi: Lazima atambue ni silaha gani, Na nitampa Mtu Kuchunguza hii Kesi

WS: ieleze Mahakama Mnamo tarehe 25 November Unakumbuka ulikuwa wapi

Shahidi: Nilikuwa Ofisini Kwangu Makao Makuu madogo Dar es Salaam

WS: Kwa Kufanya nini

Shahidi: Nita andika Exibit K1 nitaweka FStroke ya Mwaka gani

Wakili wa Serikali: inapelekwa kwa Afisa incharge kwa Madhumuni gani

Shahidi: Lazima atambue ni silaha gani Na atampa Mtu Kuchunguza hii Kesi

WS: baada ya Kusajili Vielelezo Upelekwa wapi

Shahidi: Nitapeleka Sehemu ya Kuhifadhi silaha WS Barua utaipekeleka wapi

Shahidi: Kwa Afisa Incharge

Wakili wa Serikali: inapelekwa kwa Afisa incharge kwa Madhumuni gani

Shahidi: Lazima atambue ni silaha gani Na atampa Mtu Kuchunguza hii Kesi

Wakili wa Serikali: ieleze Mahakama Mnamo tarehe 25 November Unakumbuka ulikuwa wapi

Shahidi: Nilikuwa Ofisini Kwangu Makao Makuu madogo Dar es Salaam

Wakili wa Serikali: Ulikuwa wapi

Shahidi: Kwenye Dawati la Kupokea Vielelezo Mbalimbali

Wakili wa Serikalil Ulipokea Vielelezo Vipi Siku hiyo

Shahidi: nikipokea Vielelezo Kutoka Ofisi ya DCI, Ambavyo ni Pistol yenye namba A5340 callibre 9mm, Ikiwa na Magazine Yenye Rangi Nyeusi Na Nikapokea Risasi 03 WS: za Silaha gani

Shahidi: za Pistol Caliber 9mm

Wakili wa Serikali: Vielelezo hivyo viliambatana na nini

Shahidi: kwanza alivileta PC Goodluck kutoka Ofisi ya DCI

Wakili wa Serikali: Goodluck aliwasilisha nini

Shahidi: Barua

Wakili wa Serikali: baada ya Kupokea Vielelezo hivi na Barua ieleze Mahakama Ulifanya nini

Shahidi: Nilivi-Lebel kama nilivyosema awalI Pistol niliioa alama Exhibit K1, Nikosa ili kwa FB /BALL/LAB 158/2020

Wakili wa Serikali: na hizi Risasi 03

Shahidi: nilizipa alama ya K2 K3 na K4 Wakili wa Serikali: Risasi hizi ulizipa Usajili upi

Shahidi: 158 Kama Pistol

Wakili wa Serikali: Baada ya Kukamilisha Usajili wa Vielelezo Ulichukua hatua gani

Shahidi: Kufanya Uchunguzi wa Kuutambua Hiyo Bunduki na Risasi ni Nzima K2, K3 na K4

Wakili wa Serikali: na Kuhusu Vielelezo Pistol na Risasi ukafanya nini

Shahidi: Kwanza ile Pistol niliipima

Wakili wa Serikali: Kabla ya Kupima, Tupo kwenye hatua ya Upokeaji

Shahidi: Nika-Minutes Kumpelekea Boss

Wakili wa Serikali: Vielelezo Ukapeleka wapi

Shahidi: Nilipeleka Chumba cha Kuhifadhia Silaha

Wakili wa Serikali: Ieleze Mahakama Nani aliteuliwa kufanya Uchunguzi

Shahidi: Mimi Mmoja wapo

Wakili wa Serikali: Uchunguzi huo ulifanya lini

Shahidi: nilianza Kufanya Tarehe 25 Uchunguzi wa Awali

Wakili wa Serikali: Katika Uchunguzi wako Ulifanya nini Kulingana na Mahitaji

Shahidi: Hatua ya kwanza

Wakili wa Serikali: Mteja alikuwa anataka nini

Shahidi: Mteja alikuwa anataka Kujua ile Pistol na Risasi zilifanya kazi

Wakili wa Serikali: sasa wewe Ulifanya nini

Shahidi: Kwanza Ile Bastola nilipima na Kifaa kinaitwa GUN BARROW GAUGE

Hapo nilikuwa napima Kwenye Barrow yani Mtutu kwamba ile Callibre ni kweli 9mm

Nikaona ni kweli ipo sahihi ni 9mm

Wakili wa Serikali: KingiNe

Shahidi: nikatoa Magazine kumbuka ilikuwa na Magazine inaitwa MAGAZINE RELEASE, Naangalia Magazine yake ile Bastola ni ya kwake, Nikaona Okey Magazine ni ya Kwake

Wakili wa Serikali: Jingine

Shahidi: Ndani ya Magazine Kuna Spring ambayo Ukiweka Risasi inashuka Chini, yenyewe inapandisha Risasi juu, Nikaona Nzima Nikaangalia Nyundo Hummer Kama Nzima sometime inakuwa loose nimabaini, Nzima Nikaangalia Triger kwa kutumia Triger Pull ....kama inafika kwenye 100 nimEbaini ni Nzima

Shahidi: Nikaenda ndani ya Barrow nikatumia Mdeki Kuangalia kama Ilikuwa Safi au Chafu Kupoteza Ubora wake, Nimabaini Barrow lipo Vizuri halina Vumbi hakuna Mchanga Maana yake Barrow lipo safi, Lolote linaweza Kufanya Baada ya hapo nikaikoki kungalia Firing Pin Mechanism kama ..Nilibaini Ipo

Kwa hatua hiyo niliishia hapo

Wakili wa Serikali: Kwa Aina za Uchunguzi ulizotutajia huu ni Uchunguzi wa aina gani

Shahidi: ni Visual Examination

Wakili wa Serikali: kwenye zile Risasi 3 ulichunguza nini

Shahidi: pale niliingia Sana kwenye Pin Impresion kwa Maana Primer au Kiswahili Chake ni Kiwashio au Kitako cha Risasi

Wakili wa Serikali: Hatu gani ikafuata Shahidi: Hatua ya Pili ya Uchunguzi wa Pili

Shahidi: Nilichukua Risasi Mbili ya zile nilizoletewa callibre yake 9mm, Nikaenda kwenye Chumba Maalum Kwenye Chumba Kuna sehemu ya kupigia Silaha Mbalimbali.

Wakili wa Serikali: Ulienda na Kitu gani

Shahidi: Nilikuwa na Pistol na Risasi 03

Wakili wa Serikali: Ulienda Kufanya akitu gani hasa

Shahidi: Kuna Kifaa kinaitwa Tank Water Recovered Bullets

Ws: Kiswahili ni nini

Shahidi: Ni tanki la Maji tunalotumia kupata risasi

Wakili wa Serikali: Kwanini sasa Mnapiga Risasi Kwenye Tanki la Maji

Shahidi: ili Kupata Maganda ya Risasi na Vichwa vyake

Wakili wa Serikali: Kwanini sasa Mnapiga Vile Vielelezo

Shahidi: Najiridhisha sasa, Je Ni kweli zile Risasi ni Nzima.? Na kwenda Kupiga sasa

Wakili wa Serikali: Nini Matokea ya Uchunguzi wa Kina

Shahidi: Nikichukua Risasi Mbili nikaweka Kwenye Magazine Nikaweka kwenye ile Bastola nikapiga sasa, nikapata Maganda na Vichwa Vya risasi. Nikafanya hivyo tena kwa Risasi ya pili, nikapiga

Wakili wa Serikali: Risasi zako zilikuwa na alama, Je Risasi zina alama zipi ambazo ulipiga

Shahidi: K2 na K4

Wakili wa Serikali: Ulifanya nini sasa kuhusiana na Yake maganda

Shahidi: Nilienda kuyalebo yale Maganda yangu mawili

Wakili wa Serikali: Kwa kuyapa alama gani

Shahidi: T1 na T2, T1 ilikuwa K2 na T2 iliyokuwa K4

Wakili wa Serikali: baada ya Labeling Kitu gani sasa Kingine kilifuata

Shahidi: Nikaenda Kuandaa Report yangu (Ballistic Examination Report)

Wakili wa Serikali: baada ya Kuandaa Ulifanya nini

Shahidi: Nilisaini

Wakili wa Serikali: Kingine

Shahidi: Nilipiga Muhuri

Wakili wa Serikali: Muhuri gani

Shahidi: Forensic Beaural Dar es Salaam

Wakili wa Serikali: Kuhusiana sasa na Silaha Yenyewe

Shahidi: Baada ya hatua zote zote hizo nikafunga kwenye Mfuko na Nikafunga seal, nikasaini na Kuandika Tarehe

Wakili wa Serikali: Baada ya Kusaini Ukapeleka wapi

Shahidi: Chumba cha Kutunzia Silaha Wakili wa Serikali: Na Report yako sasa

Shahidi: Niliweka kwenye Bahasha na Nikairudisha kwenye File Book. Baada ya hapo nikiwa nasubiri wenyewe Waje Kuchukua Vielelezo vyao

Wakili wa Serikali: Vielelezo Vyao Vilikuwa Kuchuliwa Siku gani

Shahidi: Tarehe 27 November 2020

Wakili wa Serikali: Nani alikuja Kuchukua Vielelezo hivyo

Shahidi: Afande Swila Kutoka Ofisi ya DCI

Wakili wa Serikali: Nani aliyemkabidhi afande Swila hivyo Vielelezo

Shahidi: Mimi Mwenyewe

Wakili wa Serikali: Ulimkabidhi Swila Vitu gani

Shahidi: Riport yangu ya Kiuchunguzi Ballistic Examination Report, nikamkabidhi Pistol Moja ambayo ni Exibit K1 Callibre A5340 9mm Model yake CZ 41 Rangi Nyeusi Ikiwa na magazine yake. Pia nikamkabidhi Risasi Moja Nzima iliyobaki Ambayo nili nililebel K3. Nikamkabidhi Maganda Mawili na Bullets zake Yale Maganda niliyalebel kama T1 na T2

Wakili wa Serikali: ieleze Mahakama Kwamba tangu ulivyomkabidhi Swila ni Lini tena ulipata Kuviona tena Vielelezo

Shahidi: Jana

Wakili wa Serikali: Kwa Jambo lipi

Shahidi: ili aniletee Vielelezo Kwa ajili ya Ushaidi Mahakamani hii Leo.

Wakili wa Serikali: ieleze Mahakama hii Report yako ya Kiuchunguzi uliyoiandaa ni kitu gani kitakutambulisha

Shahidi: Kwanza Kwa Nembo ya Ofisi, Nembo ya Polisi Force a namba zangu F5914 Majina yangu ya Copo Hafidh Abdallah

Wakili wa Serikali: Kingine

Shahidi: Na Signature Na Muhuri wa Ofisi

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi anaonyesha anaweza akatambua Nyaraka aliyofanyia Kazi kwa Ruhusa ya Mahakama Tunaomba Kumuonyesha Shahidi anakabidhiwa

Wakili wa Serikali: Shahidi itizame hiyo Kabrasha Ndogo sasa Uimbie Mahakama nilichokupatia ni Kitu gani

Shahidi: Ni report Yangu niliyoindaa kuhusiana na Uchunguzi wa Silaha na Risasi

Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama Vitu gani vinaonyesha wewe Ndiyo uliandaa

Shahidi: Kuna Nembo ya polisi, Force Namba, Signature yangu, Kuna Muhuri wa Ofisi kwa hiyo Riport hii ni ya kwangu

Wakili wa Serikali: Unaiomba nini Mahakama hii

Shahidi: Naomba Mahakama hii Ipokee Riport yangu kama Sehemu ya Ushahidi

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi anaomba Ipokelewa Ballistic Examination Report Wakili wa Serikali Wanaipeleka Upande wa Mawakili wa Utetezi

Nashon Nkungu: kwa niaba ya Mshitakiwa wa kwanza sina Pingamizi

John Mallya: Kwa niaba ya Mshitakiwa wa Pili Pia sina Pingamizi

Dickson Matata: Kwa niaba ya Mshitakiwa wa tatu pia hatuna Pingamizi

Peter Kibatala: Kwa niaba Ya Mashitakiwa wa Nne pia hatuna Pingamizi

Jaji anapelekewa Nyaraka Mahakama bado Ipo Kimya Kidogo, Jaji anaendelea kuandika

JAJI: Mahakama Imepokea Nyaraka Hii yenye Kichwa cha Habari Ballistic Report Ambayo iliandaliwa tarehe 26 November 2020, Napokea na Kama Kielelezo namba 02

Jaji: Nakuomba Shahidi usaidie Kuisoma

Shahidi anapewa

Shahidi: Forensic Beaural Ballistic Laboratory DSM/F Ya Tarehe 26, Nov 2020 Shahidi anaisoma upya yote

Shahidi amemaliza Kusoma Riport yote ambayo Ndiyo yale aliyokuwa anayaeleza, lakini Sheria inataka asome Upya Mahakamani.

Wakili wa Serikali: Kwa mujibu wa a Taarifa hiyo ulikuwa unachunguza silaha ya aina gani

Shahidi: Pistol A5340 ya Callibre 9mm

Wakili wa Serikali: Kwa Mujibu wa Uchunguzi wako Ulibaini nini Kuhusu Bastola

Shahidi: Ni Nzima

Wakili wa Serikali: Unamaanisha Nini Nzima

Shahidi: Ukiweka Risasi inalipua

Wakili wa Serikali: Kwa Mujibu wa Taarifa yako uliyofanyia Uchunguzi Risasi tatu, Je za Silaha gani

Shahidi: za Pistol caliber 9mm

Wakili wa Serikali: Uhusiano wake Risasi na Bunduki ukoje

Shahidi: Ni za Kwake, kwa Maana zimeingia na Ikapiga (Fire)

Wakili wa Serikali: Kwa Mujibu wa Taarifa yako umesema Unaambatanisha K1, K2, K3 na K4, was attached, sasa Elezea kwanini Kwenye Taarifa Yako Umeandika tena K4 Wakati unasema Ulishailipua

Shahidi: Nimekosea Mheshimiwa Jaji, Ni Typing Error Kwa sababu Nilishailipua.

Wakili wa Serikali: Kwa hiyo attachments zitakuwa ni nini

Shahidi: K1 ambayo ni Bastola na K3 Wakili wa Serikali: Ukionyeshwa utavitambuaje

Shahidi: Nimeweka Kwenye bahasha, nimesaini nikaandika na tarehe

Wakili wa Serikali: Mbali na hivyo, silaha ina vitu gani Vingine vitakavyokufanya uitambue

Shahidi: kwanza ni serial Namba, Lebbeling ya Forensic ambayo ni K1 FB /BALL /LAB 158 of 2020 Maganda niliya-Lebel kwa T1 na T2 Na vile vile Nika-Lebel FB /BALL /LAB 158 of 2020

Na Bullets nili-Lebel kwa Maganda yake

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi ameonyesha Uwezo wa Kuvitambua, Kwa Ruhusa ya Mahakama naomba Kumuonyesha anaruhusiwa na mahakama Shahidi Tizama Mfuko Mmoja baada ya Mwingime Shahidi anatizama Mifuko ya Nailon ambayo ni Transparent

Wakili wa Serikali: Huo Mfuko ni nini

Shahidi: Mfuko wa Kuwekea Vielelezo Mbalimbali

Wakili wa Serikali: Una uhusiano gani na wewe Shahidi

Shahidi: Ndiyo nilitumia kuweka Bastola

Wakili wa Serikali: Kitu gani Kinachotambulisha kuwa wewe ndiye Ukiweka silaha

Shahidi: Nilisaini nikaweka na Tarehe 26 November 2020

Wakili wa Serikali: Unasema Kwenye Mfuko huo kuna Kitu gani

Shahidi: Bastola yenye serial Namba A5340 Callibre 9mm CZ 100 nyeusi

Wakili wa Serikali: Mfuko wa Kwanza

Shahidi: Una Risasi, na Nika Lebel na Nikafunga Kwa Seal

Wakili wa Serikali: Kinachokutambulisha kuwa wewe Ndiye Uliweka

Shahidi: Nilisaini na Nikaweka Tarehe, ina alama Exibit K3

Wakili wa Serikali: Tumalizie Mfuko wa Mwisho

Shahidi: Niliweka Maganda T1 na T3 na Bullets zake

Wakili wa Serikali: Unaiomba nini Mahakama

Shahidi: Naomba Mahakama hii Ipokee Vielelezo hivi kwenye kesi husika Wakili wa Serikali: Ipokee nini

Shahidi: Bastola yenye serial Namba A5340 Callibre 9mm ikiwa na Magazine Nyeusi kwa Rangi yake, Model ni CZ 100.

Wakili wa Serikali: Kwenye hiyo Mifuko Mingine

Shahidi: Naomba Mahakama Ipokee Risasi ya Pistol ya Callibre 9mm

Wakili wa Serikali: Uliipa alama gani

Shahidi: K3

Wakili wa Serikali: Mfuko wa Mwisho Mahakama Ipokee

Shahidi: Maganda Mawili ya risasi na Bullets Mbili (Vichwa Vya Risasi)

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi ameomba Vielelezo ambavyo amevitaja Vipokelewe na Mahakama

Wakili wa Serikali Wanaipeleka Mifuko 3 kwa Mawakili Wa Utetezi Mawakili Wa Utetezi Wamezingira Vielelezo wanavikagua Kimoja baada ya Kingine vikiwa bado ndani ya Mifuko.

Nashon Nkungu: Kwa niaba ya Mshitakiwa wa kwanza hatuna Pingamizi dhidi ya Vielelezo hivi vyote kwa Pomoja

John Malya: hatuna Pingamizi kwa niaba ya Mshitakiwa wa Pili

Dickson Matata: Hatuna Pingamizi kwa Vielelezo Vyote

Peter Kibatala: Mhe. Jaji nasi pia hatuna Pingamizi

Jaji anainama anaandika Kidogo Jaji anawakumbusha kuwa Mahakama Ya Rufani imesema Kuwa Vielelezo havipaswi kupokelewa kwa pamoja Kwa hiyo kwa namba nitavipokea Kwa tofauti tofauti.

Jaji: Basi Mahakama Inapokea Silaha Moja ya Moto aina ya Pistol aina ya A5340 kama Kielelezo Mahakama Inapokea Maganda Mawili ya Risasi ambayo yametumika kama T1 na T3

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji naomba Sasa Shahidi akate Mifuko ili aweze Kutuelezea anaruhusiwa Shahidi anachana Mifuko MAHAKAMA ipo Kimyaaaaa

Wakili wa Serikali: Shahidi hiyo unasema ni silaha ya aina gani

Shahidi: Ya Pistol

Wakili wa Serikali: anaishika na yeye

JAJI: Wakili wa Serikali nakutaadharisha ulivyoibeba naona Unamuelekezea Jaji MAHAKAMA KICHEKO Kidogo

Wakili wa Serikali: hii ni Pistol ya aina gani

Shahidi: Luger ya 2005

Wakili wa Serikali: elezea mahakama ulivyokuwa unaelezea hii Pistol

Shahidi: Hiki ni Kifunguo cha Magazine Ukiminya Unaruhusu Magazine Itoke Magazine hii inauwezo wa Kuchukua Risasi nane

Wakili wa Serikali: Unasema Ulitest Magazine

Shahidi: Ukibonyeza hii spiring, nilipima Kama Inanguvu ya kusukuma Risasi Na hiii ni Box Magazine, Na Magazine hii ni Nzima

Wakili wa Serikali: na Ulisema Barrow ndiyo ipi

Shahidi: Ndiyo hii kwa Kiswahili ni Mtutu. Nilipima kwa Kuchukua Barrow Gauge nikatoa kwenye Barrow, Je hii ni 9mm, Ikaniambia ni Yenyewe

Wakili wa Serikali: Ulisema Triger, Triger eleze Triger ipo wapi

Shahidi: nilipima Triger kwa Kuminya hivi, Nikaona Ikafika kwenye 100

Wakili wa Serikali: Kwenye 100 Ikafika hapa

Wakili wa Serikali: Hebu onyesha Mahakamani Firing yake na Uwezo wake

Shahidi: Hapa naikoki, hii ni Pini na hapa Nikikoki pana kuwa na Risasi inaenda Chemba nikaikoki nika-fire nikaona Nyundo Inagonga Vizuri.

Wakili wa Serikali: Kitu gani Nyingine Ulifanya

Shahidi: Nilipima Barrow Kupima Kama ni safi, Nikaona Barrow ipo Safi hii ina serial Namba hawa Luger wanaweka Serial Namba hapa na hapa

Wakili wa Serikali: Ni ipi

Shahidi: Imesajiliwa A5340 Kama haijagongwa serial Namba sijajua imeingia Vipi Nchini hii pia ni Risasi niliipa K3

Wakili wa Serikali: Ulichunguza nini kwenye hii Risasi

Shahidi: Nilichunguza Kiwashio, hapa ikiwa na Chuma Ukigonga inalipuka

Wakili wa Serikali: Kiwashio cha hiyo Risasi kikoje

Shahidi: Kizima

Wakili wa Serikali: Twende Kielelezo Cha Mwisho

Shahidi: Haya ni Maganda Kama Ulienda Marekani wanakuandika 9mm Pass 50 Kwamba Kutoka kwenye Base hadi kwenye Kichwa ni Pass 50 Hizi mbili ni Bullets nimezipata baada ya Kupiga kwenye tenki la Maji Kwa Maana hazikudhuru Mtu. Wanaita Terminal Firing Shahidi anarudishia Vielelezo kwenye mifuko yake

Wakili wa Serikali: Mwisho, kwa ufupi nini Ugunduzi wako

Shahidi: Kwamba Vyote Kuanzia Bastola na Hizo Risasi 3 ni Vizima na Vinafanya kazi

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji ni hayo tu

Jaji: upande wa Utetezi

Wakili Peter Kibatala: Naomba kwa Ruhusa yako nimtambulishe Jeremiah Mtobesya ambaye alichelewa kwa sababu alikuwa Mahakama ya Rufaa Na ninamatambulisha kwa sababu Yeye Ndiye ataanza Maswali Kwa niaba ya Mshitakiwa wa kwanza

Jaji anaandika Kidogo

Jaji: naliingiza Jina lako kwenye Orodha ya Mawakili

Jaji: Nitaruhusu watu wapumzike Kidogo kunyoosha Miguu na Kupata maji Mpaka Saa saba Na nusu

Naomba tujitahidi Kutunza Muda

Jaji anatoka
Ushahidi wa huyu ni kuwa pisto ni nzima inafanya kazi na yanani hajui na kama ilitumika hivi karibuni, na sidhani kama alichukua alama za vidole.
 
tatizo mnao ripoti kesi hii ya mbowe mnaingiza ushabiki, hivyo mnapotosha ukweli wa kile kinacho jiri mahakamani.
ni bora mkakaa kimya tu.
maana mahakamani huwa sio sehemu ya ushabiki, ni ushahidi tu.
Sio kweli,watu wanaripoti neno kwa neno mimi binafsi nilihudhuria mahakamani jana kuhakiki.

Na wewe nenda ushuhudie usiongee tu kwa hisia binafsi.
 
Nieleweshe, hivi unasomea kazi za polisi kabla ya kuajiliwa au unaajiliwa then unapelekwa kusoma?
Sijui sana kuhusu polisi ila nadhani huanza kuajiliwa halafu kutokana na uhitaji wa jeshi la polisi unaweza pelekwa nje ya nchi kusomea kozi mbali mbali kama vile:-

-Cyber security
-Forencic bureau 'Fb'..n.k


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mama asema anataka kuona haki kwa wote, hii picha iliandaliwa na jiwe sasa inachezwa tu, tusubiri itaishaje!
 
Back
Top Bottom