Hata hajui pia maana ya terrorist.Kama terrorism ni masuala ya utalii basi mbowe anahusika maana anahoteli ya watalii pale hai.
Kama polisi msomi mtaalam wa silaha hajui tofauti ya tourisms na terrorism badi kazi tunayo!!! Fomfo feliaz hao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hajui pia maana ya terrorist.Kama terrorism ni masuala ya utalii basi mbowe anahusika maana anahoteli ya watalii pale hai.
Kama polisi msomi mtaalam wa silaha hajui tofauti ya tourisms na terrorism badi kazi tunayo!!! Fomfo feliaz hao
Heri hebu nisaidie, hivi mahojiano ya leo yalilenga nini /kuthibitisha nini kwa prosecution? sikuona yalivyoulizwa kama yalilenga kum iplicate mtu na possesson ya silaha etcKama ikiwezekana defense wangejaribu to determine ownership of the firearm kutoka kwa manufacturer. Ie where was sold and to whom. You might find it originated from some armoury
Kunywa Cappuchino, nitalipa.Sio kweli,wajinga wengi ndio mnajificha kwenye matokeo mazuri.
Mwerevu utamjua kwenye kitu positive anachofanya kwenye jamii sio kwenye makaratasi.
Ndio maana tuna watu kama Bill Gates,na yule Chinese richest man, they don t have good grades!
Mbowe ni Habari nyingine when it comes to successful people kupitia biashara na siasa!
Wewe ata familia yako hawajui ulichowatendea achilia mbali mtaani!
Mbowe ni ten times greater than all people in your clan combined...
Sio kweli,wajinga wengi ndio mnajificha kwenye matokeo mazuri.kaka ukitaka kujua mtu ni mwerevu ama famba wala usihangaike wewe angalia matokeo yake ya kidato cha nne na sita tu.
Terrorism...ugaidiTerrorist ni masuala ya ugaidi.
Kama terrorism ni masuala ya utalii basi mbowe anahusika maana anahoteli ya watalii pale hai.
Huyu atakuwa amesoma kuliko kingai na mahita!!! Askari tegemeo lao na msomi wao wakimataifa.
Kama polisi msomi mtaalam wa silaha hajui tofauti ya tourisms na terrorism badi kazi tunayo!!! Fomfo feliaz hao
masuala ya utaliii 😀😀😀😀😀Sio kweli,wajinga wengi ndio mnajificha kwenye matokeo mazuri.
Mwerevu utamjua kwenye kitu positive anachofanya kwenye jamii sio kwenye makaratasi.
Ndio maana tuna watu kama Bill Gates,na yule Chinese richest man!
Mbowe ni Habari nyingine when it comes to successful people kupitia biashara na siasa!
Wewe ata familia yako hawajui ulichowatendea achilia mbali mtaani!
Mbowe ni ten times greater than all people in your clan
Terrorism...ugaidi
Terrorist...gaidi
leo kweli nimelewa uwezo wa polisi hata walio kuwa ngazi za juu kuwa ni tatizo ndani ya jeshi !
Terrorism ni utalii wa maabara ya ugaidi(Terrorist) K vant zitamkoma huyu jamaa leo.🤸🤸🤸Sio kweli,wajinga wengi ndio mnajificha kwenye matokeo mazuri.
Mwerevu utamjua kwenye kitu positive anachofanya kwenye jamii sio kwenye makaratasi.
Ndio maana tuna watu kama Bill Gates,na yule Chinese richest man!
Mbowe ni Habari nyingine when it comes to successful people kupitia biashara na siasa!
Wewe ata familia yako hawajui ulichowatendea achilia mbali mtaani!
Mbowe ni ten times greater than all people in your clan
Terrorism...ugaidi
Terrorist...gaidi
ha ha ha, kama hawa ndiyo wataalam wetu wa jeshi, kitengo cha vilipuzi tumekwisha aisee, kuna siku wasije wakatulipuaMallya: I have been Engaged Maana yake nini
Shahidi: Maana yake "Nimefanya Uchunguzi
Sawa wamfunge mbowe ila ushuzi waliotuandalia kwa ajili ya kumfunga mbowe utatunukia karne na karne😃😀😀Kwamba terrorism ni maswala ya utaliii😆😆
😂😂😂😂😂Terrorist = Ugaidi
Terrorism = Utalii
Hiyo ni kwa mujibu wa shahidi
Ndo ivyo bado wana ajiri failureleo kweli nimelewa uwezo wa polisi hata walio kuwa ngazi za juu kuwa ni tatizo ndani ya jeshi !
View attachment 1990852
Huyu the highest promotion he deserves ni kulinda mageti ya viongozi nothing more nothing less! Kinyume chake ni bingwa wa milipuko na silaha; ha ha ha! Hii nchi raha sana!Kama terrorism ni masuala ya utalii basi mbowe anahusika maana anahoteli ya watalii pale hai.
Huyu atakuwa amesoma kuliko kingai na mahita!!! Askari tegemeo lao na msomi wao wakimataifa.
Kama polisi msomi mtaalam wa silaha hajui tofauti ya tourisms na terrorism badi kazi tunayo!!! Fomfo feliaz hao
Zoezi la vyeti feki lilikwepa idara ya polisi sio kwa bahati mbaya kaka. Ilijulikana mapema sana "yaliyomo hayamo".Ndo ivyo bado wana ajiri failure
SUBIRI KIDOGO