Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na rushwa. Shauri kuendelea kesho Nov, 2, 2021

"Hapana Mkuu, walikua na Bastola Means walitaka wanywe bure halafu wafyatue risasi hewani then watokomee"
Hahahahaaaa... ni full kujichanganya... kama nimesoma vyema kuna sehemu kasema saini zake huwa zinafanana akisaini akiwa mezani... lakini baadae akasema zinafanana akiwa amesimama nakutofautiana akiwa amekaa mezani...
 
Shahidi: Niliwajua Majina kabla ya Upekuzi

Mtobesya: Soma sehemu inayosema nilishuduia wakipekuliwa........ Mpaka inaisha Jina la Afande Jumanne, Soma kwa Sauti

Shahidi: Nilishuhudia Kupekuliwa kwa Vijana hao, na Kupekuliwa Mmoja wao alikutwa na Bastola yenye namba A5340 pamoja na Magazine yanye Risasi 3 .......pia alikuwa na Madawa ya Kulevya Ambae nilimfahamu kwa Jina baada ya Kuulizwa baada ya Upekuzi.

Mtobesya: Kwa hiyo Statement Ulifahamu Kabla au Baada

Shahidi: Baada ya Kupekuliwa

NB: sasa sijui mahakama itachukuwa lipi? Kaazi kweli kweli!
 
Hakuna kesi Mkuu ni ushahidi wa KUBUMBA. I hope Mbowe Xmas atailia Moshi na yule maushungi na vikaragosi vyake KUUMBUKA.

 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…