Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Akili ndogo....Dadeki watajuta kujifanya wanaharakati wa mahakama
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili ndogo....Dadeki watajuta kujifanya wanaharakati wa mahakama
USSR
Mwenye kiburi katangulia....Wawe na subra
Tunaambiwa.... "Heri mwisho wa neno kuliko mwanzo wake, Na mvumilivu rohoni kuliko mwenye roho ya kiburi. Usifanye haraka kukasirika rohoni mwako, Maana hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu."
Mhubiri 7: 8 - 9
Mungu ni mwema wakati wote!Wamefanikiwa kuingia tayari na updates zimeanza kushushwa
Uhuru wa mihimili ya dola. Kinachoendelea ndani ya mahakama ni jukumu la mahakama (kusema kiwe hivi au vile) kama vile kinachoendelea ndani ya bunge (ni jukumu la bunge kusema kiwe hivi au vile) na serikalini (kwenye idara na wizara) ni jukumu la serikali (kusema kiwe hivi au vile). Inapotokea kuna border-crossing, wadau wa mhimili husika wana'raise their voices'.Kulikuwa na ulazima gani wa kujipa credit kwenye kuandika ule mtiririko, mngekaa kimya tu bila kujitangaza wasingejua nani anaandika.
Kwanini?Khaaa!! Policcm mtakufa vibaya nyie
Acha kujivika ngozi ya kondoo wewe chui!Wawe na subra
Tunaambiwa.... "Heri mwisho wa neno kuliko mwanzo wake, Na mvumilivu rohoni kuliko mwenye roho ya kiburi. Usifanye haraka kukasirika rohoni mwako, Maana hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu."
Mhubiri 7: 8 - 9
Mwenye kiburi katangulia....
Mkuu signature yako iweke sawa kwenye r weka l.Dadeki watajuta kujifanya wanaharakati wa mahakama
USSR
👏👏👏Wamefanikiwa kuingia tayari na updates zimeanza kushushwa
Na upo hapa huku ukipata updates ya kinachoendelea mahakamani kwenye kesi ya Mbowe, na wakati huo huo unaandika hayo ya kuonyesha kufurahia wanaokupa update KUZUILIWA kuingia mahakamani..!!! Aisee...!!!Dadeki watajuta kujifanya wanaharakati wa mahakama
USSR
Nani kakwambia hayo unayosema ,mm sio kiazi mbatata kama weweNa upo hapa huku ukipata updates ya kinachoendelea mahakamani kwenye kesi ya Mbowe, na wakati huo huo unaandika hayo ya kuonyesha kufurahia wanaokupa update KUZILIWA kuingia mahakamani..!!! Aisee...!!!
Wametoa sababu gani za kuwazuia na wametoa sababu gani za kuwaruhusu? Polisi wanajidhalilisha kwa vitu visivyokatazwa kisheria.. YAANI FULL HISIAWamefanikiwa kuingia tayari na updates zimeanza kushushwa
Kutoa taarifa ya kinachoendelea si kuingilia uhuru wa mahakama... Mnatumia vibaya sheriaIla kiukweli hii mitandao ya kijamii husasani tweeter jf, na clubhouse wanaingilia sana uhuru wa mahakama.
Kila baada ya kesi kunakuwa na uchambuzi kwenye hii mitandao. Naona kabisa jaji akipata tabu kuamua hii kesi. Maana % kubwa ya watu wapo na mbowe na wenzake. Serekali hii kesi itashindwa vibaya sana.
Tunasubiri update ya kinachoendelea huko mahakamani.