Yaliyojiri kesi ya Mbowe na Wenzake: Upande wa Mashtaka waendelea kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka Septemba 24, 2021

Mahita alimchukua kwa ajili ya upelelezi kazi ya shahidi ni kulinda mahabusu kituoni nk
 
Kiwhelo: Mtuhumiwa namba tatu, alipochukuliwa na afande Jumanne alirudishwa saaa ngapi?
Shahidi: Sikumbuki


Tatizo tayari..
Hapo hakuna tatizo kwa sababu maelezo yake shahidi yapo yanayoonyesha muda na saa aliyotoka na kuludi
 
Shukrani za dhati sana ndugu kwa kutuupdate kwa muda wote huu maana siyo kazi ndogo hasa kwa watu wavivu kama mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…