Sikiliza ndugu ,unatafuta laana katika maisha Kwa sababu ya umaskini wako.
Huku ni liko tuna mtu mmoja alikuwa napiga kelele sana kipindi cha Magufuli akifurahia sana LISSU kupigwa risasi akifurahia sana Ben saanane kupotezwa .Leo hii anamuuguza Mama yake Kwa kansa(CA OF LIVER) isiyopona Mungu hakuacha tu hilo akamwadhibu amepata ajali amekatwa mguu ni mlemavu!Mke wake alijifungua akatokwa na damu nyingi (PPH) akafariki,ameacha kitoto kichanga.Alikuwa ni maarufu sana humu Jamii forum Sasa hivi hata simu ya smartphone hana.CCM aliyosababisha laana kwake ilimpa msaada Kwa kuchangishana kwa kumuuguza Mama yake ikachoka.Juzi ananiambia ni afadhali ningekufa tu .Watu wasionahuruma huwa Wana mkumbusha kuhusu LISSU .
akilinene nakukumbusha Kama nilivyomwambia ndugu yako
zandrano kuwa usijaribu sana kumuombea ndugu yako mabaya Kwa sababu ya njaa,Usijaribu kuomba kifo Kwa ndugu yako Kwasababu ya 7000/-.
USSR Magufuri alitamani sana LISSU afe lakini akafa yeye kwanza.
Leo hii mnatamani MBOWE afungwe bila hatia yoyote,Lakini mwaka huu Kabla haujaisha,Mungu mwenye kuhukumu ya kweli at waonesha Na kuwafundisha.
Huyu mwenzenu mpaka
PolePole alikuwa anamkubali Leo hii anateseka