Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,368
- 7,935
- Thread starter
- #421
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe usiyejua sheria na kesi zinaendeshwaje unaona ya kijinga,lakini hayohayo yatawatoa mnaowatuhumuAisee wanarudia maswali yaleyale tena ya kijinga sana
USSR
Halafu ulikuwa wajibu wake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kiwhelo: Mtuhumiwa namba tatu, alipochukuliwa na afande Jumanne alirudishwa saaa ngapi?
Shahidi: Sikumbuki
Tatizo tayari..
Kama ni ya kijinga judge asingeyaruhusuAisee wanarudia maswali yaleyale tena ya kijinga sana
USSR
Umri nao unaenda kaka mbowe sio mwenzetuIla mwamba kazeeka ghafla.
Bado tupo pamoja mkuu!
Bwana mdogo Acha Uboya wewe shule imekusaidia Nini zaidi ya kulamba makalio ya mabosi wako pale Lumumba?kibatala ana maswali ya kijinga sana yakupoteza muda tu yaani shule haijamsaidia kituhapo anahangaika tu
jamaa zake USSR wanapigwa Maswali hadi nyaa inagonga pichu, ni vile tu wamelazimishwa watafanyeje lkn nina uhakika hawa wote kichapo cha Maswali kinawakuta..... na hili litakuwa funzo kwa mashahidi wengine wa kupangwa, akiwaza maswali ya Kibatala anagoma kuwa miongoni maana hata watoto wao wanaona baba zao walivyo mrenda mwiba!!!Shahidi: Sifahamu
Kibatala: Unafahamu aina za chakula na resheni za chakula ambavyo watuhumiwa wakiwa rumande wanapewa mpaka na kiasi wakiwa rumande?