Yaliyojiri kesi ya Mbowe na Wenzake: Upande wa Mashtaka waendelea kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka Septemba 24, 2021

Yaliyojiri kesi ya Mbowe na Wenzake: Upande wa Mashtaka waendelea kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka Septemba 24, 2021

Kiwhelo: Mtuhumiwa namba tatu, alipochukuliwa na afande Jumanne alirudishwa saaa ngapi?
Shahidi: Sikumbuki


Tatizo tayari..
Halafu ulikuwa wajibu wake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
kibatala ana maswali ya kijinga sana yakupoteza muda tu yaani shule haijamsaidia kituhapo anahangaika tu
Bwana mdogo Acha Uboya wewe shule imekusaidia Nini zaidi ya kulamba makalio ya mabosi wako pale Lumumba?
Huna fact Toka mwanzo unapiga tu kelele Kama za mbwa Koko humu Kwa malipo ya buku Saba na kununuliwa bando na wanaume wenzio Ili uje upost uharo humu
Wewe ni mweupe Sana kichwani
Badilisha hiyo I'd name jiite LIBOYA la 2021!
Hata akili za kuvukia Barabara inaonekana huna
Kibatala kakuzidi Elimu,Pesa, Exposure na Kila kitu Kama unaona anauliza maswali ya kijinga Nenda pale kamjibu kiuwerevu tuone usipotoa haja kubwa Kama yule boya mwenzio!

Shwaini!
 
Shahidi: Sifahamu

Kibatala: Unafahamu aina za chakula na resheni za chakula ambavyo watuhumiwa wakiwa rumande wanapewa mpaka na kiasi wakiwa rumande?
jamaa zake USSR wanapigwa Maswali hadi nyaa inagonga pichu, ni vile tu wamelazimishwa watafanyeje lkn nina uhakika hawa wote kichapo cha Maswali kinawakuta..... na hili litakuwa funzo kwa mashahidi wengine wa kupangwa, akiwaza maswali ya Kibatala anagoma kuwa miongoni maana hata watoto wao wanaona baba zao walivyo mrenda mwiba!!!
 
Back
Top Bottom