Yaliyojiri kesi ya Mbowe na Wenzake: Upande wa Mashtaka waendelea kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka Septemba 24, 2021

Yaliyojiri kesi ya Mbowe na Wenzake: Upande wa Mashtaka waendelea kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka Septemba 24, 2021

Tatizo la hawa mashaidi wanatreniwa wakihisi maswali aliyoulizwa mahita ndo ataulizwa kingai mwisho wa siku kila swali wakiulizwa wanaishia sifahamu.
 
Huu ulikuwa ni mchongo wa Sabaya na genge lake la mwendazake kabla hajamfika yaliyomfika, Lema na Lissu wangekuwepo ugaidi huu wa kuchongwa ungewahusu.
 
Mbona kesi yenyewe nyepesi!

Watu kuachiwa mapema
Or
Watu kufungwa mapema

Deductive and Inductive Reasoning
 
Kibatala: muda wa kwanza ni saa7 usiku, wa pili ni saa12asubuhi na shifti ya tatu ni saa 10 jioni, je muda wako uliosema kwamba uliingia shift saa 12 asubuhi umetajwa?
Shahidi: haujatajwa
Jaji: kibatala ushamchanganya muache apumzike kidogo
Jaji: shahidi kunywa maji
Shahidi: ninayo
Hahahaha hawa wamezoea kubambikia watu bangi dawa ni kuwatafutia mawakili tu pambaf
 
Kila akianza kuuliza maswali Kibatala unaona kabisa shahidi anatamani kwenda haja ndogo!
Kiba-tala ndio huyu anayeuliza "umewakamata wakila wakiwa wamekaa au turn anatembea"maswali ya kijinga sana

USSR
 
Bwana mdogo Acha Uboya wewe shule imekusaidia Nini zaidi ya kulamba makalio ya mabosi wako pale Lumumba?
Huna fact Toka mwanzo unapiga tu kelele Kama za mbwa Koko humu Kwa malipo ya buku Saba na kununuliwa bando na wanaume wenzio Ili uje upost uharo humu
Wewe ni mweupe Sana kichwani
Badilisha hiyo I'd name jiite LIBOYA la 2021!
Hata akili za kuvukia Barabara inaonekana huna
Kibatala kakuzidi Elimu,Pesa, Exposure na Kila kitu Kama unaona anauliza maswali ya kijinga Nenda pale kamjibu kiuwerevu tuone usipotoa haja kubwa Kama yule boya mwenzio!

Shwaini!
Watoto wa magaidi kutukana ndio style zenu

USSR
 
jamaa zake USSR wanapigwa Maswali hadi nyaa inagonga pichu, ni vile tu wamelazimishwa watafanyeje lkn nina uhakika hawa wote kichapo cha Maswali kinawakuta..... na hili litakuwa funzo kwa mashahidi wengine wa kupangwa, akiwaza maswali ya Kibatala anagoma kuwa miongoni maana hata watoto wao wanaona baba zao walivyo mrenda mwiba!!!
Counter attacks ,naona maswali ya kitoto Sana eti supu ilikuwa ya mbuzi au kuku ,ruzuku zenu zinaliwa sana

USSR
 
Ataachaje kuzeeka na damu za watu zinamlilia

USSR
Aliyejifanya mungu mtu tayari kashaliwa ni wadudu.

Kila kitu mkitukuza na kumramba miguu na kumuekea Kila aina ya ulinzi ili asifikwe jee hamkufanikiwa kuwatumia hawo walinzi ili asife?

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Hata Mheshimiwa Jaji kesha ng'amua janja ya hawa Mawakili wa upande Gaidi Mwenyekigoda, ni kutaka kupoteza muda na kupata "huruma" au sympathy kutoka kwa wana CHADEMA kwa kuuliza vijiswali vya uongo uongo na upotoshaji kwa mashahidi wa Serikali as a way of justifying their payments. Waache hizo, wafanye kazi zao kiweledi ili "mbivu na mbichi" zijulikane!
Kwanza kawaulize hawo waliombakia kesi PGO maana yake nini.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Kesi gani kibatara aliwahi kushinda

USSR
Unajitoa fahamu wewe yaani na ukubwa wote huo hauzijui kesi alizoshinda Wakili Msomi?
Itoshe tu kusema hakuna kesi iliyowahi mshinda huyu nguli labda Kama ulikua humjui maana inaonekana umeishi Sana Kolomije mambo ya huku mjini hata huyajui!
Pole Sana USSR
 
Mkuu unaamini kwamba kweli kuna mtu anaenda kufungwa??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mashahidi wenyewe ndio wale wa sijui, nimesahau, n.k?
yaani unampa title ya 'Mkuu' huyo MATAGA?

Huyo hata akili za kuvukia Barabara Hana,
Walishazitoa na zimefungiwa kwenye Cold room pale Lumumba ndio maana unaona wamekua Kama misukule hata hafikirii mambo madogo Kama hayo

Yanashangilia hata upumbavu tu!
😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom