pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,660
- 6,282
Tatizo la hawa mashaidi wanatreniwa wakihisi maswali aliyoulizwa mahita ndo ataulizwa kingai mwisho wa siku kila swali wakiulizwa wanaishia sifahamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana mkuu kwa update!
Kwani wewe umelazimishwa kusoma?Kulikuwa na ulazima gani wa kujipa credit kwenye kuandika ule mtiririko, mngekaa kimya tu bila kujitangaza wasingejua nani anaandika.
Mawakili wa PGO kila wakili PGO sema wameteswaje?Wewe usiyejua sheria na kesi zinaendeshwaje unaona ya kijinga,lakini hayohayo yatawatoa mnaowatuhumu
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Kiba-tala ndio huyu anayeuliza "umewakamata wakila wakiwa wamekaa au turn anatembea"maswali ya kijinga sanaKila akianza kuuliza maswali Kibatala unaona kabisa shahidi anatamani kwenda haja ndogo!
Jaji anawachora tu maana kesi yenyewe badoKama ni ya kijinga judge asingeyaruhusu
Ataachaje kuzeeka na damu za watu zinamliliaUmri nao unaenda kaka mbowe sio mwenzetu
Watoto wa magaidi kutukana ndio style zenuBwana mdogo Acha Uboya wewe shule imekusaidia Nini zaidi ya kulamba makalio ya mabosi wako pale Lumumba?
Huna fact Toka mwanzo unapiga tu kelele Kama za mbwa Koko humu Kwa malipo ya buku Saba na kununuliwa bando na wanaume wenzio Ili uje upost uharo humu
Wewe ni mweupe Sana kichwani
Badilisha hiyo I'd name jiite LIBOYA la 2021!
Hata akili za kuvukia Barabara inaonekana huna
Kibatala kakuzidi Elimu,Pesa, Exposure na Kila kitu Kama unaona anauliza maswali ya kijinga Nenda pale kamjibu kiuwerevu tuone usipotoa haja kubwa Kama yule boya mwenzio!
Shwaini!
Counter attacks ,naona maswali ya kitoto Sana eti supu ilikuwa ya mbuzi au kuku ,ruzuku zenu zinaliwa sanajamaa zake USSR wanapigwa Maswali hadi nyaa inagonga pichu, ni vile tu wamelazimishwa watafanyeje lkn nina uhakika hawa wote kichapo cha Maswali kinawakuta..... na hili litakuwa funzo kwa mashahidi wengine wa kupangwa, akiwaza maswali ya Kibatala anagoma kuwa miongoni maana hata watoto wao wanaona baba zao walivyo mrenda mwiba!!!
Ndio kawaida yetu kushusha matusi Tena ukizingua unakula risasi ya Tako hizo mbinu tumejifunza Kwa mshua wetu Hamza aliyefundishwa UGAIDI na Ma CCM!Watoto wa magaidi kutukana ndio style zenu
USSR
Kesi gani kibatara aliwahi kushindaWAKILI MSOMI KIBATALA, kwa heshima yako nakuomba msamehe huyu ndugu. Atajinyea
Aliyejifanya mungu mtu tayari kashaliwa ni wadudu.Ataachaje kuzeeka na damu za watu zinamlilia
USSR
Kwani wewe ulileta hoja gani ya maana?Haya ni majibu TYPICAL YA YALE YA TOBO, akikosa HOJA anaangukia kwenye matusi ya reja reja kama haya. Lete hoja badala ya maneno ya kipuuzi na yasiyo jenga JF!
Kwanza kawaulize hawo waliombakia kesi PGO maana yake nini.Hata Mheshimiwa Jaji kesha ng'amua janja ya hawa Mawakili wa upande Gaidi Mwenyekigoda, ni kutaka kupoteza muda na kupata "huruma" au sympathy kutoka kwa wana CHADEMA kwa kuuliza vijiswali vya uongo uongo na upotoshaji kwa mashahidi wa Serikali as a way of justifying their payments. Waache hizo, wafanye kazi zao kiweledi ili "mbivu na mbichi" zijulikane!
Unajitoa fahamu wewe yaani na ukubwa wote huo hauzijui kesi alizoshinda Wakili Msomi?Kesi gani kibatara aliwahi kushinda
USSR
Mkuu unaamini kwamba kweli kuna mtu anaenda kufungwa??Jaji anawachora tu maana kesi yenyewe bado
USSR
yaani unampa title ya 'Mkuu' huyo MATAGA?Mkuu unaamini kwamba kweli kuna mtu anaenda kufungwa??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mashahidi wenyewe ndio wale wa sijui, nimesahau, n.k?