Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Majina ya walioteuliwa kuwania nafasi za Ubunge kwenye Majimbo mbalimbali nchini

Bashite lazima atarejea kwa mlango wa uani.... tena anaweza kurejea hapa hapa Dar kama RC. baba mtu hawezi tupa mwanae hata siku moja!

hapa anacheza na akili za Watz tu kuondoa ile dhana ya "kwa nini huyu cheti-less anapendelewa na ofisi kuu" ambayo katika kipindi hiki tunapoelekea October inaweza ikatumiwa vilivyo na mahasimu wa kisiasa wa kambi nyingine.
 
Naona Katibu mkuu akatoa angalizo waandishi wa habari watoke kabla ya kikao rasmi kuanza.

Wabakie waandishi wateule.
 
Kwahyo wajumbe walikua na kazi gani?? Kama kura zao haziheshimiwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…