Unaifahamu Kawe au wajisemea tu?
Ulimsapoti sanaGwajima atakuja na hoja yake ya Magufuli kuongezewa muda .Ila binafsi namkubali Gwajima sema tu ataniudhi sana akija na hoja yake ya Rais kuongezewa muda.
Mwana FAHakuna jipya ...... wote wamepeta kama ilivyotegemewa. No new surprises.
Acha kuota ndoto za mchana. Labda kitengo cha WCB. Huko vijiweni anawadanganya yupo kitengo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata akikosa ubunge inakuhusu nni?
hujui yupo katika payroll za kitengo?
Wapinzani naona mwaka huu wako makini. Hawapokei wahamiaji ki-ovyo. Ila Kawe, CCM wamekwama.Mengi yatakimbilia upinzani kama kuku waliokatwa vichwa! Umalaya na wanasiasa wengine tofauti hakuna.😀
Labda ni moderator, humu nao ni wajumbe waleta mada kwa id kama yako.Huyu "Replica" bila shaka ana nguvu ya ki-moderator. Ametoa comments zangu zote zenye mwelekeo wa comment yako.
Mwakajoka anakazi ngumu sana tunduma kapelekewa silinde ,silinde anakubalika na Chadema na CCM hili Jimbo gumuChadema tucheze karata zetu vizuri.tumepangiwa vibonde mjimboni
Mimi ni mwana Kawe na miaka yote. Najua kila joto lililopo huku. This time Halima hatoboi! It's sad lakini jiandae kisaikolojiaUnaifahamu Kawe au wajisemea tu?
Ndiyo alikuwa namba tatu,ila mbona wengi hata tatu bora hawakuwepo na wamepetaHivi Gwajima si aishindwa kura za maoni?
Hivi aliposema inategemea ameamkaje hukuelewa?!Hivi Gwajima si aishindwa kura za maoni?
😂😂😂ngoja waje utakomaUzi mzuri Machadema yameuharibu
Yap nilimsaport tokea alipotia nia.Ulimsapoti sana
Makonda kapitaaaaaa