Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Unaifahamu Kawe au wajisemea tu?
Halima Mdee Kawe hawamtaki kabisa, na kilichomponza ni kwamba hajihusishi na Jimbo kabisa, yeye kila siku Mahakamani, kukimbizana na Askari wetu na kulia lia hovyo , yoyote yule atambwaga Halima Mdee, ...