Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Majina ya walioteuliwa kuwania nafasi za Ubunge kwenye Majimbo mbalimbali nchini

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Majina ya walioteuliwa kuwania nafasi za Ubunge kwenye Majimbo mbalimbali nchini

Ilikuwa lazma gwajima wampe maana alivyoihakaza serikali ya makonda hadi aibu so ili kuficha makucha yake lazma wampe naye ulaji wale pamoja asiongee ongee, finally watakuwa pamoja na makonda ktk baraza la mawaziri lijalo.


Makonda akiwa mbunge wakuteulia atakuwa wazir wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa.


Gwajima atakuwa waziri wa mambo ya ndani
Wote: Ng'wadila?
 
Back
Top Bottom