Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
Wote: Ng'wadila?Ilikuwa lazma gwajima wampe maana alivyoihakaza serikali ya makonda hadi aibu so ili kuficha makucha yake lazma wampe naye ulaji wale pamoja asiongee ongee, finally watakuwa pamoja na makonda ktk baraza la mawaziri lijalo.
Makonda akiwa mbunge wakuteulia atakuwa wazir wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa.
Gwajima atakuwa waziri wa mambo ya ndani