Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Majina ya walioteuliwa kuwania nafasi za Ubunge kwenye Majimbo mbalimbali nchini

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Majina ya walioteuliwa kuwania nafasi za Ubunge kwenye Majimbo mbalimbali nchini

Jamani wakati tunasoma miaka yanyuma tulikuwa tunashindanishwa kishule kufanya mitihani,Kila shule ilichagua mabingwa wamasomo kulingana na darasa, sikuwahi Ina anaeshika mkia darasani kuwakilisha darasa ktk shule, kwakufanya hivyo walimu wangekuwa wanapenda kushiriki tu,,wasifuri kumpa Mia naona Kama nitatizo lakiushindani.
 
Hajafanya lolote la maana Kawe. Na Gwajima ndo atajustfy hayo .Wanakawe watasema twende na Gwajima. Binafsi mimi nitampigia kura Gwajima.
Kwa jinsi barabara za jimbo la Kawe zilivyokuwa mbovu, hatuna ujanja bali kutambua ukweli mchungu ya kuwa baniani mbaya kiatu chake ni dawa.
 
Hivi kwenye kumtambulisha mwanamke si huwa tunatumia neno Bibi fulani na sio ndugu fulani?!
 
Makonda atakuwa mkuu wa wilaya au mkoa huko kwao. Dar es salaam atuachie wenyewe wabishi wa town.
 
Gwajima hawezi kupita, nalitakalomuangusha niudini uliopo Kawe, heri waislam tumchague halima lkn sio Gwajima.
Sio tu suala la dini. Gwajima Kawe hakubaliki, Kawe ni jimbo la wasomi na watu wenye uwezo kifedha, uchafu wa Gwajima kuanzia kimaadili mf video zake za ngono na ule upotoshaji wake mf suala la corona sijui amphiphilo labda angegombania majimbo ya watu wengi wasio la elimu pamoja na uwezo. Sio Jimbo la Kawe!!
 
Back
Top Bottom