Umani Wolbachia
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 327
- 311
Nashukuru kwa masahihisho....ila kuhusu kushinda CDM wamtafutie kazi nyingine yule madam mana anapigwa mapema tuuu..Hatutaki uchaguzi wa fujoNi awamu kiongozi sio hawamu BTW gwajima hapigiwi kula na waumini anapigiwa na kawe HAWEZI kushinda
Sasa mbona ndani ya CCM hakukubalika?
Hiyo mirushwa yao hiyo, mimi wala siwaungi mkono kama mtoa mada anavyotaka kutuaminisha!Wajumbe walijifanya wajanjaaaa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Mzee Mwanri wamemkatili sana. Bora angebaki na ukuu wa mkoa. Mnyonge mnyongeni aki yake mpeni
ahahahaHalima amepata mtu wa kukemea mapepo ya kusagana!
Huu mbuyu ukianguka ccm chaliiiiSijamsikia Chenge? Huu mbuyu wameuangusha!!!
Hongereni wote Mliopitishwa kugombea ubunge Majimbo Tofauti.
Kwa hilo Benchi la Ufundi Wapinzan hawana Chao watatoroka Mapema sana.
Kampeni zimekua rahisi sana hawana pa kutokea.Ccm chama makini
Heko mwenyekiti
I
Anaweza kuwa msaidizi wa mpangoKimei kapeta naona kama yule mkuu wa wizara 💴 anaguna!!
Mzee Mwanri wamemkatili sana. Bora angebaki na ukuu wa mkoa. Mnyonge mnyongeni aki yake mpeni
Personally I like his motive. That Guy is a real scientist.Nafurahi kwa Dr Ndungulile kupita,
Huyu gwajima,aliesema misikiti ataigeuza Sunday school ndo atapita?Mpaka sasa , gwajima keshashinda hapo.
Sio tu suala la dini. Gwajima Kawe hakubaliki, Kawe ni jimbo la wasomi na watu wenye uwezo kifedha, uchafu wa Gwajima kuanzia kimaadili mf video zake za ngono na ule upotoshaji wake mf suala la corona sijui amphiphilo labda angegombania majimbo ya watu wengi wasio la elimu pamoja na uwezo. Sio Jimbo la Kawe!!