Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Majina ya walioteuliwa kuwania nafasi za Ubunge kwenye Majimbo mbalimbali nchini

Wapi Lugola!!!!! Ati una mfananisha binadamu mwenzako na Yesu... Sasa mwambie akuokoe na wewe nyambafuu. Tukutane kwenye uvuvi na kukata maunoo.
 
Anaweza kuwa msaidizi wa mpango
Uwekezaji au viwanda na biashara.Huyu mzee ni senior serikali haiwezi kufanya kosa la kutokutumia kikamilifu uzoefu wake na exposure yake ktk mambo ya fedha na uwekezaji mitaji
 
Magufuli alishasema,
Inategemea ataamka vipi
Hiyo mirushwa yao hiyo, mimi wala siwaungi mkono kama mtoa mada anavyotaka kutuaminisha!
Nadhani umefika wakati mfumo wa kura za wajumbe ubadilishwe na badala yake zipigwe na wanachama wote ili kudhibiti mihemuko ya watia nia wanaoendekeza rushwa!

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Shinyanga, Kawe, Tunduma, Momba na Arusha mjini CCM watapoteza majimbo mchana kweupe
Kawe Halima hatoboi, kule Ndanda kwa Cecil Chadema kama kuna mtu mwenye ushawishi jimbo wanalichukua mapema tu..

Arusha ngoma nzito.. Lema anapendwa na vijana wa kiume ila Gambo wamama na wasichana wanamkubali sana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…